Nikushukuru kwa andishi zuri na lefu,japo umeonyesha kukosa ustahimilivu,binafsi mie nimeishi Congo zaidi ya miezi 21,ninaijua Congo vzr,lkn pia kulingana na shughuri zangu nimekaa sana Nubi,sudani kusini kipindi wanapigana wao kwa wao,Mr Malcolm lumumba,ivue hiyo miwani uliyoivaa ili uweze kusoma nilichoandika na unielewe,hakuna mahari niliposhangilia ila nimeonya matumizi mabaya ya ulimi,labda huo ndio Ushenzi wangu,lkn hebu kasome hata maandiko ya vitabu vya mungu,quruani na biblia,vimeonya juu ya kutokuzitii mamlaka,lkn pia mchukue huyo mdude nyangali mpeleke rwanda akayafanye hayo anayoyafanya kama atabaki hai,tusiwatie watu ujinga kwa kuwahamasisha wafanye upumbavu,tuwape vijana wetu hekima,wajifunze kutumia ndimi zao kwa busara na hekima,kwa taarifa yako alichokuwa akikifanya huyu kijana wetu mdude ni hatari kuliko mie ninae shauri matumizi sahihi ya ulimi,hata wewe nakuona huna ustaarabu kama huyo lidude,kama ni kukosoana tukosoane kwa kutumia lugha nzuri za kuelimishana,nakuona km umestaarabika,lkn maandishi yako nayaona km yana umbirikimo wa fikra,hekima na uchaji,TUVUMILIANE TU,