Uchaguzi 2020 Mathematically, haiwezekani kwamba Magufuli ameshinda kwa kura bandia!

Uchaguzi 2020 Mathematically, haiwezekani kwamba Magufuli ameshinda kwa kura bandia!

Mkuu, I am having hard time understanding what you’re trying to convey. Your argument appears to be a combination of some new unsubstantiated election fraud claims and a programming GIGO rhetoric.

Jaribu kufafanua na kuwa more specific tukuelewe!
Mkuu 'Pulchra Animal' kuna aina ya watu, wewe ukiwa mmoja wao hawana uwezo wa kuelewa ya nini kupoteza muda na watu kama nyinyi?
 
Pathetic!

You gotta be very open minded. Just because you voted for your variant of Mr. Savimbi, it doesn’t mean the majority of Tanzanians has! Can’t you tell even from this platform that not everybody agrees with you?

For the sake of argument, even if all followers of Chama Cha Demokrasia ya Matusi (Chadema) agree with you, your total headcount is nowhere close to the majority of Tanzanians. Obviously, there’s no reason to believe that your variant of Mr. Savimbi won this election.

Just call upon your colleagues to concede and move on. There’s life after election!


No arguments, Vote rigging prevailled to the entire election making it the worst election ever in the history of independent Tanzania.

Majority Citizens no longer need CCM, it is the only CCM beneficiaries like you who would stand shylessly advocating such apparently observed nuisence only to cater your short time stomach hunger while leaving millions of Citizens suffer life hardships from the yokes of brutal dictatorship of Tanzania "Iddi Amin", no where in the world did a dictator ever end up in a good fashion and that is a historical moral, the reason being; people's Voice is God's.

So let Him be the judge.
 
Kura feki zilizokamatwa sio zote ZIMECHOMWA MOTO rekebisha kwanza hapo.
pili swali langu linabaki pale pale kwanini NEC wakatae kuwa HAKUNA KURA FEKI?wakati zinaonekanaaa .wanaficha nini?
NAOMBA JIBU.
kama hawajapelekewa na kujiridhisha wakubali nini hapo. ? wakubari kwa kuona kwenye clip? Hv unajua kuna pesa feki na zinapita kwenye mikono mingi tu hadi zitambuliwe? utajuaje km si kwa kuchunguza ukiwa nayo? hz karatasi ht wewe unaweza kutengeneza na kuzitumia kwa lengo lako. Kuona kwenye tv au clip haitoshi kuhalalisha kuwa ni kweli. Wapelekeeni au kafungueni kesi ili waitwe kuthibitisha au kuzikana kuwa si zao.
 
Unapokataa kitu Ina maana una USHAHIDI NACHO.
Sasa Kama nec wanashindwa kujua kuna kura feki zilizokamatwa.NI AIBU HAWAFAI KUONGOZA UCHAGUZI.
waseme kuwa hawajui Kama kuna kura feki.
SIO WAKATAE KUWA HAMNA.
Wakisema hamna wakati zinaonekanaaa ni wazi wameshindwa KAZI.
Kama wameshindwa kujua hujuma ya kura feki kuna udanganyifu mingapi itakuwa imefanywa kwenye uchafuzi huu na hawajui?
kama hawajapelekewa na kujiridhisha wakubali nini hapo. ? wakubari kwa kuona kwenye clip? Hv unajua kuna pesa feki na zinapita kwenye mikono mingi tu hadi zitambuliwe? utajuaje km si kwa kuchunguza ukiwa nayo? hz karatasi ht wewe unaweza kutengeneza na kuzitumia kwa lengo lako. Kuona kwenye tv au clip haitoshi kuhalalisha kuwa ni kweli. Wapelekeeni au kafungueni kesi ili waitwe kuthibitisha au kuzikana kuwa si zao.
 
Nadhani hayo maswali ungewauliza NEC.
Hivi serikali ilishawahi kukataa kuwa HAKUNA NOTI FEKI?
sasa kwanini NEC wakatae kuwa HAKUNA KURA FEKI?.
Kuwepo kura feki inawezekana ikawa ni Jambo la kawaida.
Ila KWANINI WANAKATAA WANASEMA HAKUNA KURA FEKI?.
wanamtetea NANI?hapa ndipo shida inapokuja.
sijui usichoelwa ni nini hapo? kukataa au kukubali inategemea na mtu jinsi anavyojiridhisha na taarifa zilizopo. Tz ni wepesi sana kuamini kila wanachokiona. Una uhakika kuwa zile ni kula feki? umetumia njia ipi kujirizisha? karatsi iliyotumika ni ya nec na inafanana kila kitu na karatasi halisi? serial namba zilizopo ni za nec? umeangalia alama za siri zote zinafanana?
ukiweza kuthibitisha haya, hiyo ndio itakuwa feki.
 
Noti feki zipo.
Ila hakuna mtu aliyewahi kupinga kuwa hakuna noti feki.
Na kuwepo kura feki NI Jambo la kawaida.
Ila wasi wasi wangu kwanini NEC wakatae Wana mlinda nani?.
Wangesema "kweli tumesikia habari za kura feki tunazifanyia kazi hizo habari kuona ukweli upo wapi".
Lakini kitendo Cha kukataa kabisa ni WAZI KUNA WATU WANAWAFICHA
kama hawajapelekewa na kujiridhisha wakubali nini hapo. ? wakubari kwa kuona kwenye clip? Hv unajua kuna pesa feki na zinapita kwenye mikono mingi tu hadi zitambuliwe? utajuaje km si kwa kuchunguza ukiwa nayo? hz karatasi ht wewe unaweza kutengeneza na kuzitumia kwa lengo lako. Kuona kwenye tv au clip haitoshi kuhalalisha kuwa ni kweli. Wapelekeeni au kafungueni kesi ili waitwe kuthibitisha au kuzikana kuwa si zao.
 
Mwenye mamlaka na usimamizi wa makaratasi ya KURA ni NEC.
Inapotokea watu wengine wakiwa na hayo makaratasi ya KURA?.utasema hizo NI kura halali?
sijui usichoelwa ni nini hapo? kukataa au kukubali inategemea na mtu jinsi anavyojiridhisha na taarifa zilizopo. Tz ni wepesi sana kuamini kila wanachokiona. Una uhakika kuwa zile ni kula feki? umetumia njia ipi kujirizisha? karatsi iliyotumika ni ya nec na inafanana kila kitu na karatasi halisi? serial namba zilizopo ni za nec? umeangalia alama za siri zote zinafanana?
ukiweza kuthibitisha haya, hiyo ndio itakuwa feki.
 
Wa kwako ndo mdogo zaidi..... Tena chini ya kiwango.... Fool
Kadri unavyotoa povu na matusi ndo unazidi kuthibitisha kuwa ni kweli uwezo wako Wa kufikiri ni mdogo mno.
Lakini usijali...ni uumbaji Wa Mungu tu, si unajua kazi ya Mungu haina makosa.
 
Unapokataa kitu Ina maana una USHAHIDI NACHO.
Sasa Kama nec wanashindwa kujua kuna kura feki zilizokamatwa.NI AIBU HAWAFAI KUONGOZA UCHAGUZI.
waseme kuwa hawajui Kama kuna kura feki.
SIO WAKATAE KUWA HAMNA.
Wakisema hamna wakati zinaonekanaaa ni wazi wameshindwa KAZI.
Kama wameshindwa kujua hujuma ya kura feki kuna udanganyifu mingapi itakuwa imefanywa kwenye uchafuzi huu na hawajui?
labda sielewi una maanisha nini unaposema kura feki na wakubali kuwa zipo. yaani wakubali kuwa wamezitengeneza wao au wamezitoa wao au zimeibwa kwao?
 
Ebu angalieni .nini hicho?
Yaani na hili nalo bado unataka ushahidi?.
Makaratasi ya KURA ya uchaguzi MKUU wa kuchagua rais,mbunge na diwani yamekuwa Kama takataka?
sijui usichoelwa ni nini hapo? kukataa au kukubali inategemea na mtu jinsi anavyojiridhisha na taarifa zilizopo. Tz ni wepesi sana kuamini kila wanachokiona. Una uhakika kuwa zile ni kula feki? umetumia njia ipi kujirizisha? karatsi iliyotumika ni ya nec na inafanana kila kitu na karatasi halisi? serial namba zilizopo ni za nec? umeangalia alama za siri zote zinafanana?
ukiweza kuthibitisha haya, hiyo ndio itakuwa feki.
Screenshot_20201101-101529.jpg
 
Lakini, tusisahau kwamba mashahidi wa upinzani ni mawakala wao.

Je, mawakala wao wametoa feedback ipi?

Msingi wowote wa madai yao waanzia kwa feedback kutoka kwa mawakala.

Mawakala wakitokeze na wazungumze na vyombo vya habari na kiongozi wao aeleze shida ya kila kituo cha kupiga kura.

Kwa sasa wanachofanya akina Tundu Lissu, Zitto Kabwe na Freeman Mbowe hakina maana.

Jambo la msingi ni hilo la mawakala na kisha kwenda mahakamani.

Tundu Lissu ni mwanasheria nguli na mwenye uelewa mkubwa sana, hivyo aandae hoja za kisheria na wapeleke hoja hizo mahakamani.

Kama wameamua kuingia barabarani wafanye hivyo na kitaeleweka hukohuko barabarani.
Hayapingwi mahakamani ushaambiwa. Acha kutumia kichwa kufugia nywele
 
Ebu angalieni .nini hicho?
Yaani na hili nalo bado unataka ushahidi?.
Makaratasi ya KURA ya uchaguzi MKUU wa kuchagua rais,mbunge na diwani yamekuwa Kama takataka?View attachment 1617000
Hizo ni karatsi tu zinatengezwa tena watoto wadogo watundu. Nimkuuliza maswali, zina serial namba za nec? mfanano wa rangi usikubabaishe mkuu. Linganisha zile alama muhimu za siri na karatasi halisi. Kenye picha unaweza kutengezwa vyovyote watakavyo na ikaonekana halisi.
 
Waseme hizo karatasi zimetoka wapi ikiwa wao ndo wasimamizi.
Na Kama zimeibiwa Nani kaiba?.
Na Wana uhakika gani kuwa hizo kura feki hazijaingizwa kwenye masanduku ya kura.
IKIWA WAO HAWAJUI
labda sielewi una maanisha nini unaposema kura feki na wakubali kuwa zipo. yaani wakubali kuwa wamezitengeneza wao au wamezitoa wao au zimeibwa kwao?
 
Walikuwa wanamdanganya mgombea waonkwa kubeba watu na malori wakijua wana kura za kwenye vikapu.
 
Waseme hizo karatasi zimetoka wapi ikiwa wao ndo wasimamizi.
Na Kama zimeibiwa Nani kaiba?.
Na Wana uhakika gani kuwa hizo kura feki hazijaingizwa kwenye masanduku ya kura.
IKIWA WAO HAWAJUI
mkuu, wao hawawezi kusema unavyotaka wewe. hayo maswali ni vizuri wakajibu walioonyesha. wao wana uhakika kwa ulinzi na mikakati yao, hakuna karasi yao halisi iliyopotea au kuibiwa. sasa wakujibu kuwa zimetoka wapi wao watajuaje? ndio maana wanaseama hakuna hicho kitu.
Yaani ujitenezee mwenyewe huko karatasi zako then nijibu mimi kuwa zimetoka wapi, mimi mwamposa?
 
Kura feki zilizokamatwa sio zote ZIMECHOMWA MOTO rekebisha kwanza hapo.
pili swali langu linabaki pale pale kwanini NEC wakatae kuwa HAKUNA KURA FEKI?wakati zinaonekanaaa .wanaficha nini?
NAOMBA JIBU.
Umemjibu vizuri, wana tabia ya kudandia majibu mepesi ya wenzao na wao wanayabeba wanatembea nayo mchana kutwa!.

Eti simply bcoz kura kadhaa zilichomwa, vichwa maji wanachukulia kama kura vile zote ndio zimechomwa, wanajitahidi sana kuzunguka mbuyu lakini hawajiulizi, kama sio kura sio feki, kwanini zote ziwe na tiki kwa majina ya wagombea wa CCM ukichukulia wao na Tume yao ndio waliokuwa na hizo karatasi mpk dakika ya mwisho?

Hakuna namna wananweza kukwepa hili, wanajidanganya tu.
 
Vyovyote iwavyo, hii ndio siasa.

Siasa ni pamoja na kuchezeana rafu.

Nashauri Wapinzani nao wajipange upya ili uchaguzi ujao waje na maujanja ya kuwawezesha kushinda uchaguzi.

Aidha, nawashauri Washindi watekeleze waloyoyaahidi kwa Wananchi ikiwa ni pamoja na yaliyomo kwenye ilani za baadhi ya Wapinzani kwa kuwa nayo wapo Wananchi wengi wanaoyaona yanawafaa na wanayaunga mkono.

Maswala kama Uhuru,Haki na maendeleo ya Watu yakitekelezwa kwa ujumla wake yatajenga imani kwa Wananchi na hivyo Washindi watakuwa wamejijengea pia uhalali wa ushindi wao.

Yote kwa yote, nashauri Wananchi tushikamane kuijenga nchi yetu badala ya kulumbana na mambo ambayo hayatisaidii kwa sasa.
 
Back
Top Bottom