Uchaguzi 2020 Mathematically, haiwezekani kwamba Magufuli ameshinda kwa kura bandia!

Uchaguzi 2020 Mathematically, haiwezekani kwamba Magufuli ameshinda kwa kura bandia!

Ninachokiona, kura za vituoni hazijakwenda kujumlishwa NEC... Kura za vituoni na zile kule NEC ni tofauti...

Ushindi halali kabisa wa kimatokeo ni ule wa jimbo la Nkasi Kaskazini... Alikoangushwa yule babu mwenye kelele Kessy....
Uwezo wako Wa kufikiri ni mdogo mno...samahani lakini huo ndo ukweli.
 
Waliojiandikisha milioni 29
Magufuli kapata million 12.

Milioni 17 hawakupiga kura??

Hawa milioni 17 wangekuwa na imani na
Uchaguzi wasingegoma kupiga kura..

This is rejection mchana kweupe

If you think this is Maguli rejection, then it could as well be upinzani rejection. This so, because those numbers are enough to make upinzani happy and CCM sad. Those who rejected voting by not voting should have voted and voted for Lissu. Lissu would now be preparing to go to IKULU.
 
Nakuhakikishia kuwa almost katika kila kituo, waliopiga kura hawakuzidi theluthi moja.

1. Pita sehemu walipobandika matokeo angalia idadi ya walioandikishwa na waliopiga kura. HIVYO basi waliopiga kura watakuwa ni theluthi moja tu ya milioni 29.

2. Maeneo ambayo mawakala wa chadema walitolewa wakati wa kuhesabu kura usitegemee kura za Lissu kubaki kama zilivyo.

3. Kilichofanyika vituoni ilikuwa ni kuhalalisha tu, kilichotakiwa kutoka kila kituo ni idadi tu ya wapiga kura na sio matokeo kwani matokeo (kwa asilimia) walishakuwanayo (rejea matokeo ya NEWALA MJINI na TARIME MJINI yaliyofanana kila kitu)

4. Ushahidi wa kura bandia upo. Na huu ilitokana na kusajili "hewa" kwenye daftari la mpiga kura hivyo kuwa na uhakika wa idadi ya ambao hawawezi kupiga kura. Kiuhalisia nchi yenye watu milioni 60 haiwezi kuwa na watu wazima milioni 29 (karibu nusu). Haiwezekani idadi ya watoto kuwa sawa na ya watu wazima. LAZIMA watoto wawe wengi.

5. Kuzima mitandao..............
Kuhusu watu wazima waliyojiandikisha sioni unabisha nini. TZ katika kila watu wazima wawili kuna watoto wastani wa wanne. Do the math. Ama sivyo, consult National Statistics Bureau utapata hesabu kamili.
 
To cut to the chase, Lissu kapata kura ambazo hazifiki hata 2 million. Kama Lissu ni mshindi, maana yake Magufuli amejaziwa kura za bandia zaidi ya 10 million. Registered voters ni chini ya 30 million. No one knew before the fact what the voter turnout would look like.

Magufuli angejaziwa kura za bandia 10 million halafu turnout ikawa 25 million na Lissu akapata kura hata 15 million tu, fraud scheme ingepasuka kwa aibu kubwa. Nani atafanya kosa kama hilo?

Alternatively, kama kura halali za Magufuli ni chache kuliko za Lissu, maana yake voter turnout haikufika hata 4 million. This too doesn’t make any sense!

The only way to argue that Lissu won is to show that some of Lissu’s votes were thrown out or counted as Magufuli’s.

Ushauri wa bure kwa wafuasi wa Chama Cha Demokrasia ya Maendeleo (Chadema): Katika kuchangia, tambueni kuwa matusi sio substitute ya nguvu ya hoja; jengeni hoja mshawishi watu.
Tatizo la chadema wako kama laymen .issue ya figures na facts kwao hawana kabisa yaani wana argue kama watu hawajakanyaga hata la pili .Lissu anajiita ati msomi lakini arguments zake hazi amount anyting hajui kama Tanzania ina watu waelewa sana .duu mtu makini angetafuta facts za technical siyo arguments za kujaziwa kura na usalama jadi wanawaaibisha kule kwingine waliowatuma
 
Ukiona unakuwa provoked by facts basi jua huna base za complain zaidi ya emotions...Tulia, kunywa maji halafu tafakari kama kweli madai haya ya wizi yana mashiko au hisia tu mbaya...


Kila siku ninakunywa maji at least 3litres.

Not only I but you as well will suffer another 5yrs of more hardships and torments, you can't be sane by advocating such misconducts and inequivocalities to deter and defile the majority democratic decision through THEFT; --- God is the one who chooses a right person through people's choice, if at all any thing happens contrary to a majority decision then let God be the judge.
 
katika uchaguzi huu kuna vitu vingi ambavyo ww mtoa mada utakua hujavisoma nje ya pazia!

kwanza watu hao 14 milioni wanaosemekana kupiga kura si kweli ukiangalia watu waliojitokeza.

hilo linajibiwa na idadi ndogo ya kura za wabunge maeneo mengi ukizichanganya kura zote hazizidi 70 elfu lakini za urais nec inasema ni laki 2 (huu ni mfano), yaan kwamba watu 200% wampigie rais tuu?? wabunge wawakatae?

haijawahi kutokea hili. hii pia ni hesabu ya kujua wapi tumetoka. hapa unapata picha ya kura za kubumba ambako hakuendani na kubumba kwa kura za ubunge.

utauliza kwa nini wameongeza figa? jibu ni moja kwamba ingekua ni aibu kwa tume kuwa na wananchi wachache wanaojitokeza kwenye kura, na kilichorudisha sana nyuma ni uchaguz wa wenyeviti.
Your arguments do not hold. Just be open, give specific examples with proof (screen shot) where there were more votes for presidency compared to those who voted for parliamentarians.
 
Nendeni mahakamani? Hao mawakala wenu walikuwa wapi haya yote yakifanyika?
Wewe pimbi mahakama ipi, wakati likatiba lenu lakifala limeweka kinga kuwa uchaguzi wa raisi haupingwi mahakamani? Safari hii utapingwa nje ya mahakama. LIWALO NA LIWE. Tumechoka ushenzi wenu.
 
Kuna scenario nyingi ila mojawapo ni kuwa kila kituo kilikuwa na kura zake prefilled already na walichofanya ni kureplace kabisa na zile kura zoote zilizopigwa kwenye vituo husika. Basically hakukuwa na uchaguzi.

Na hili liliwezekana tu kwa kuwa vituo vingi CHADEMA hawakuweka mawakala kabisa (poor organisation na/ama ukosefu wa fedha), au mawakala walizuiwa kuingia ndani, au mawakala walitolewa nje wakati wa majumuisho au mawakala wa CHADEMA walitishwa na kuhongwa fedha au mawakala walikuwa dhaifu sana (low reasoning capacity) na wakatii kinachofanyika bila kuhoji

Kuna mengi ya kujifunza ila hakuna haja ya Upinzani kushiriki tena chaguzi kwa matumaini ya kuambulia viti vichache ili Ruzuku kiduchu ipatikane
Walikuwa na njaa wakakaribishwa ubwabwa wenye usingizi. Ghafla wamelala kazi ikaendelea
 
To cut to the chase, Lissu kapata kura ambazo hazifiki hata 2 million. Kama Lissu ni mshindi, maana yake Magufuli amejaziwa kura za bandia zaidi ya 10 million. Registered voters ni chini ya 30 million. No one knew before the fact what the voter turnout would look like.

Magufuli angejaziwa kura za bandia 10 million halafu turnout ikawa 25 million na Lissu akapata kura hata 15 million tu, fraud scheme ingepasuka kwa aibu kubwa. Nani atafanya kosa kama hilo?

Alternatively, kama kura halali za Magufuli ni chache kuliko za Lissu, maana yake voter turnout haikufika hata 4 million. This too doesn’t make any sense!

The only way to argue that Lissu won is to show that some of Lissu’s votes were thrown out or counted as Magufuli’s.

Ushauri wa bure kwa wafuasi wa Chama Cha Demokrasia ya Maendeleo (Chadema): Katika kuchangia, tambueni kuwa matusi sio substitute ya nguvu ya hoja; jengeni hoja mshawishi watu.
Nina kubaliana na wewe. Ushindi wa asilimia 84 (kura milioni kumi na mbili na nusu) ni mkubwa sana kwa rais Magufuli, vile vile kura milioni mbili ni chache sana kwa Tundu Lissu. Hata kama tathmini ikifanyika sidhani kama Tundu Lissu anaweza akawa amechaguliwa na watanzania walio wengi. Kurudia uchaguzi sio haki kwa watanzania walio mchagua rais Magufuli.
 
Waliojiandikisha milioni 29
Magufuli kapata million 12.

Milioni 17 hawakupiga kura??

Hawa milioni 17 wangekuwa na imani na
Uchaguzi wasingegoma kupiga kura..

This is rejection mchana kweupe
Hapana, hao watu milioni kumi na saba tayari walikuwa wame jiandikisha. Hawa kupiga kura kwa hiari yao
 
The only way to argue that Lissu won is to show that some of Lissu’s votes were thrown out or counted as Magufuli’s.

Pili kwenye kituo chenye wamejiandikisha 300,000 wanapiga kura wa halali 50,000 Kisha akajaziwa zingine hata 200,000 utashtukaje hapo?

Conclusively mostly probably za TAL kapewa JP, na Nec wakaongezea zao kwa JP again
I think the disparity in votes counted between President Magufuli and Tundu Lissu is just too large. Tundu Lissu was just not elected by the majority of Tanzanians
 
To cut to the chase, Lissu kapata kura ambazo hazifiki hata 2 million. Kama Lissu ni mshindi, maana yake Magufuli amejaziwa kura za bandia zaidi ya 10 million. Registered voters ni chini ya 30 million. No one knew before the fact what the voter turnout would look like.

Magufuli angejaziwa kura za bandia 10 million halafu turnout ikawa 25 million na Lissu akapata kura hata 15 million tu, fraud scheme ingepasuka kwa aibu kubwa. Nani atafanya kosa kama hilo?

Alternatively, kama kura halali za Magufuli ni chache kuliko za Lissu, maana yake voter turnout haikufika hata 4 million. This too doesn’t make any sense!

The only way to argue that Lissu won is to show that some of Lissu’s votes were thrown out or counted as Magufuli’s.

Ushauri wa bure kwa wafuasi wa Chama Cha Demokrasia ya Maendeleo (Chadema): Katika kuchangia, tambueni kuwa matusi sio substitute ya nguvu ya hoja; jengeni hoja mshawishi watu.
Hakuna uchaguzi Tanzania kilichofanyika ni CCM kuulawiti kuubaka kuunajisi uchaguzi kwa njia haramu za kishetani
 
Kuna scenario nyingi ila mojawapo ni kuwa kila kituo kilikuwa na kura zake prefilled already na walichofanya ni kureplace kabisa na zile kura zoote zilizopigwa kwenye vituo husika. Basically hakukuwa na uchaguzi.

Na hili liliwezekana tu kwa kuwa vituo vingi CHADEMA hawakuweka mawakala kabisa (poor organisation na/ama ukosefu wa fedha), au mawakala walizuiwa kuingia ndani, au mawakala walitolewa nje wakati wa majumuisho au mawakala wa CHADEMA walitishwa na kuhongwa fedha au mawakala walikuwa dhaifu sana (low reasoning capacity) na wakatii kinachofanyika bila kuhoji

Kuna mengi ya kujifunza ila hakuna haja ya Upinzani kushiriki tena chaguzi kwa matumaini ya kuambulia viti vichache ili Ruzuku kiduchu ipatikane
Lakini tofauti ya kura milioni kumi ni kubwa sana. Tundu Lissu hawezi kusema kwamba ameshindwa kwasababu ya udanganyifu. Hali halisi ni kwamba haku chaguliwa na watanzania walio wengi.
 
Back
Top Bottom