CHIBURABANU
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 2,921
- 3,474
We si uko jikoni,si ulikuwa unajua matokeo tayari,hata b4 uchaguzi.Nlipokuwa nasema Lisu hatapata, zaidi ya 20% bavicha walikuwa wanatukana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We si uko jikoni,si ulikuwa unajua matokeo tayari,hata b4 uchaguzi.Nlipokuwa nasema Lisu hatapata, zaidi ya 20% bavicha walikuwa wanatukana
Rudi darasani ni mjinga kiwango cha CCM.
Katika nchi ambayo ni rahisi kuuzwa ni tz. Wananchi wake ni wepesi sana kuamini kila wanachokiona.Udanganyifu wa aina yoyote ungetokea ilitakiwa uchaguzi urudiwe..
Suala la kura feki CCM , magufuli na NEC wenyewe hawana sehemu ya kutokea.
Katika nchi ambayo ni rahisi kuuzwa ni tz. Wananchi wake ni wepesi sana kuamini kila wanachokionaUdanganyifu wa aina yoyote ungetokea ilitakiwa uchaguzi urudiwe..
Suala la kura feki CCM , magufuli na NEC wenyewe hawana sehemu ya kutokea.
Wapi nimeandika Kuna kituo kimezidi Wapiga kura?Punguza viingereza, hakuna kituo kilichozidi wapiga kura 500, tambua hilo kabla ya kuongea
yes.Ulipiga kura? If yes, uliona mawakala 17?!
Mimi niliona watatu tu tena wapo hoi bin taabani huku wawili wakiwa busy na simu zao. Sikuona mtu serious mule ndani.
The only way to argue that Lissu won is to show that some of Lissu’s votes were thrown out or counted as Magufuli’s.
Pili kwenye kituo chenye wamejiandikisha 300,000 wanapiga kura wa halali 50,000 Kisha akajaziwa zingine hata 200,000 utashtukaje hapo?
Conclusively mostly probably za TAL kapewa JP, na Nec wakaongezea zao kwa JP again
Kuna scenario nyingi ila mojawapo ni kuwa kila kituo kilikuwa na kura zake prefilled already na walichofanya ni kureplace kabisa na zile kura zoote zilizopigwa kwenye vituo husika. Basically hakukuwa na uchaguzi.
Na hili liliwezekana tu kwa kuwa vituo vingi CHADEMA hawakuweka mawakala kabisa (poor organisation na/ama ukosefu wa fedha), au mawakala walizuiwa kuingia ndani, au mawakala walitolewa nje wakati wa majumuisho au mawakala wa CHADEMA walitishwa na kuhongwa fedha au mawakala walikuwa dhaifu sana (low reasoning capacity) na wakatii kinachofanyika bila kuhoji
Kuna mengi ya kujifunza ila hakuna haja ya Upinzani kushiriki tena chaguzi kwa matumaini ya kuambulia viti vichache ili Ruzuku kiduchu ipatikane
Karibia wote waliombwa wajitolee kusimamia bure kutetea makamanda.Mawakala wengine hata kulipwa hawajalipwa na vyama vyao na hata pesa ya kula hwakuwa nayo then utegemee akulindie wewe kula yako.?
Wale ambao hawajapiga kura wangepiga kura Magufuli angeshinda zaidi ya asilimia 90Waliojiandikisha milioni 29
Magufuli kapata million 12.
Milioni 17 hawakupiga kura??
Hawa milioni 17 wangekuwa na imani na
Uchaguzi wasingegoma kupiga kura..
This is rejection mchana kweupe
Hapo mkuu ndio tatizo lilipo coz kam kuna mishe ya pesa imeingia lazima nitaacha tu kazi yako nitaenda na yangu. Hawa mawakala lazima wajengewe uzalendo wa vyama vyao sio kuokoteza tu watu. Je, kama kuna mamluki kaingia?Karibia wote waliombwa wajitolee kusimamia bure kutetea makamanda.
Kuna baadhi walinunuliwa humo kwa wali biriyani na elfu 30 tu. Hatari sana.
Andamana tarehe 2Yaani Magufuli apate kura Milioni 12 !!??.. Yaani yaani kabisaa..
Then kutokupiga siyo kuibiwa kura. Think the difference!Waliojiandikisha milioni 29
Magufuli kapata million 12.
Milioni 17 hawakupiga kura??
Hawa milioni 17 wangekuwa na imani na
Uchaguzi wasingegoma kupiga kura..
This is rejection mchana kweupe
Ukiona unakuwa provoked by facts basi jua huna base za complain zaidi ya emotions...Tulia, kunywa maji halafu tafakari kama kweli madai haya ya wizi yana mashiko au hisia tu mbaya...Bila shaka Wewe ulikuwa ni mmoja kati ya mawakala waliofanya fraud ya kura for CCM.
Shame on you, God curse be on thieves and those behind the fraud.
Usirudie kupima tena.All the people I know who go by that name are very articulate!
Usirudie kupima tena.
Chadema haijawahi kukubali kitu chochote.
The Boss kama Magufuli kapata 12m votes out of 15m votes is rejection, what can we say for Lissu who got only 1.9m votes?Waliojiandikisha milioni 29
Magufuli kapata million 12.
Milioni 17 hawakupiga kura??
Hawa milioni 17 wangekuwa na imani na
Uchaguzi wasingegoma kupiga kura..
This is rejection mchana kweupe