Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kula bia nitalipa. Watu hawalielewi hili. Kula zote mbunge na raisi sio zile zilizopigwa ni zile zilikuwa drafted tayari. Huu ni wizi wa kijinga kuwahi kutokea. Iba weka margin hata ya 3k kwa mbunge. Sasa mbunge anapata 120,00 vs 3,000 raisi 360, 00 vs 1000. Hawa usalama ni utopolo kabisaKuna scenario nyingi ila mojawapo ni kuwa kila kituo kilikuwa na kura zake prefilled already na walichofanya ni kureplace kabisa na zile kura zoote zilizopigwa kwenye vituo husika. Basically hakukuwa na uchaguzi.
Na hili liliwezekana tu kwa kuwa vituo vingi CHADEMA hawakuweka mawakala kabisa (poor organisation na/ama ukosefu wa fedha), au mawakala walizuiwa kuingia ndani, au mawakala walitolewa nje wakati wa majumuisho au mawakala wa CHADEMA walitishwa na kuhongwa fedha au mawakala walikuwa dhaifu sana (low reasoning capacity) na wakatii kinachofanyika bila kuhoji
Kuna mengi ya kujifunza ila hakuna haja ya Upinzani kushiriki tena chaguzi kwa matumaini ya kuambulia viti vichache ili Ruzuku kiduchu ipatikane
To cut to the chase, Lissu kapata kura ambazo hazifiki hata 2 million. Kama Lissu ni mshindi, maana yake Magufuli amejaziwa kura za bandia zaidi ya 10 million. Registered voters ni chini ya 30 million. No one knew before the fact what the voter turnout would look like.
Magufuli angejaziwa kura za bandia 10 million halafu turnout ikawa 25 million na Lissu akapata kura hata 15 million tu, fraud scheme ingepasuka kwa aibu kubwa. Nani atafanya kosa kama hilo?
Alternatively, kama kura halali za Magufuli ni chache kuliko za Lissu, maana yake voter turnout haikufika hata 4 million. This too doesn’t make any sense!
The only way to argue that Lissu won is to show that some of Lissu’s votes were thrown out or counted as Magufuli’s.
Ushauri wa bure kwa wafuasi wa Chama Cha Demokrasia ya Maendeleo (Chadema): Katika kuchangia, tambueni kuwa matusi sio substitute ya nguvu ya hoja; jengeni hoja mshawishi watu.
Sawa mkuu, kuungana na CCM?Uchaguzi umeisha na mshindi halali ni Rais Magufuli, tuungane katika kujenga nchi.
Hongera Mgufuli, Hongera Mwinyi ,Hongera CCM
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
umeandika utumbo ......To cut to the chase, Lissu kapata kura ambazo hazifiki hata 2 million. Kama Lissu ni mshindi, maana yake Magufuli amejaziwa kura za bandia zaidi ya 10 million. Registered voters ni chini ya 30 million. No one knew before the fact what the voter turnout would look like.
Magufuli angejaziwa kura za bandia 10 million halafu turnout ikawa 25 million na Lissu akapata kura hata 15 million tu, fraud scheme ingepasuka kwa aibu kubwa. Nani atafanya kosa kama hilo?
Alternatively, kama kura halali za Magufuli ni chache kuliko za Lissu, maana yake voter turnout haikufika hata 4 million. This too doesn’t make any sense!
The only way to argue that Lissu won is to show that some of Lissu’s votes were thrown out or counted as Magufuli’s.
Ushauri wa bure kwa wafuasi wa Chama Cha Demokrasia ya Maendeleo (Chadema): Katika kuchangia, tambueni kuwa matusi sio substitute ya nguvu ya hoja; jengeni hoja mshawishi watu.
Ulikwenda vizuri na mada yako huko juu, ambako mtu angekaa chini na kujadili vizuri wazo lako hilo.
Haya ya mwisho kwa nini uliyaona kuwa muhimu hadi uyaweke kwenye mada inayojadilika?
Njia mbalimbali zimetumiwa na serikali, ndio, serikali na sio CCM kuvuruga uchaguzi. Hilo tu linatosha kuifanya hiyo "Mathematically" yako kutokuwa na maana yoyote katika matokeo haya.
Unajaza manamba ya hovyohovyo kwenye 'program' halafu unatarajia upate jibu sahihi katika matokeo? Wewe ni 'mathematician' wa aina gani aiseee!
Hapo peke yake umeonesha una uwezo mdogo sana wa kufanya analysis manake umeangalia upande mmoja wa "kujaza" na sio upande wa "kupora"!
Umeshindwa kufahamu kama inawezekana Jiwe kujaziwa kura bandia zaidi ya 10 million basi pia inawezekana Tundu Lissu kuporwa kura zaidi ya 10 million!
But to make it logical, kwavile jumla ya kura za Jiwe na TL ni almost 15 Million, hapakuwa na haja ya kumwekea Jiwe kura za bandia zaidi ya 10 Million bali all you need to do ni kuiba kura 5M za TL na kuzihesabia upande wa Jiwe, kisha unaongoza zingine fake kwa Jiwe, na end result itakuwa Jiwe kapata kura zaidi 12M na TL roughly 2M na finally kuonesha hoja yako kwamba zingefika kura 25M ni hoja inayothibitisha uwezo wako mdogo wa kuchambua mambo!!
Najua yupo Lofa atakayeuliza unaiba vipi zaidi ya kura 5M! Kama hilo ndo swali lako, kamuulize Jecha aliiba vipi kura zoooooooote na kufuta matokeo ya uchaguzi!
Umefikia argument hiyo kwa sababu mawazo yako yaliganda kwenye kura za bandia za kwenye mabox bandia bila kuelezea uwezekano wa wa kura za X kuhesabiwa upande Y hasa kwa vituo kadhaa ambavyo havikuwa na mawakala wa upinzani!
That being said, hoja yako HAINA MASHIKO!!!
Hata clip ya mabegi ya shehena ya kura zilizopigiwa ccm walizokuwa nazo policcm kwa ajili ya kuingiza vituoni hujaona?!
Hebu nitolee Kiingereza cha kuokoteza hapa! Wewe ni ushahidi wa ubutu wa elimu yetu!
Narudia, una uwezo mdogo sana wa kuchambua mambo!! Kwani ni nani aliyekudanganya kura zinaibiwa kwa option ya kutumia kura fake peke yake?!Wewe kama una uwezo wa kusoma na kuelewa, nikushauri usome tena kwa makini nilichoandika kisha upitie tena andiko lako.
If you have a comprehension issue, I am afraid, we may not be able to extend a helping hand here!
Nilikuwa wakala wa kusimamia kura.ni mjinga tu pekee ndio haamini kama magufuri aliongezewa kura.narudia tena .ni mjinga tu pekee ndio anaamini magufuri napata kura 12 million kwa halali
Unamaanisha mathematically ni utumbo mtupu au biologically ni uozo mtupu 🤣 🤣!!umeandika utumbo ......
Hao million 17 Ni ChademaWaliojiandikisha milioni 29
Magufuli kapata million 12.
Milioni 17 hawakupiga kura??
Hawa milioni 17 wangekuwa na imani na
Uchaguzi wasingegoma kupiga kura..
This is rejection mchana kweupe
Kwa hiyo mtu akijiita tajiri wewe unajua huyo mtu ana pesa nyingi?
Msimamizi mmoja ananiambia kuwa kapiga kura zaidi ya mia mbili yeye pekee yake.To cut to the chase, Lissu kapata kura ambazo hazifiki hata 2 million. Kama Lissu ni mshindi, maana yake Magufuli amejaziwa kura za bandia zaidi ya 10 million. Registered voters ni chini ya 30 million. No one knew before the fact what the voter turnout would look like.
Magufuli angejaziwa kura za bandia 10 million halafu turnout ikawa 25 million na Lissu akapata kura hata 15 million tu, fraud scheme ingepasuka kwa aibu kubwa. Nani atafanya kosa kama hilo?
Alternatively, kama kura halali za Magufuli ni chache kuliko za Lissu, maana yake voter turnout haikufika hata 4 million. This too doesn’t make any sense!
The only way to argue that Lissu won is to show that some of Lissu’s votes were thrown out or counted as Magufuli’s.
Ushauri wa bure kwa wafuasi wa Chama Cha Demokrasia ya Maendeleo (Chadema): Katika kuchangia, tambueni kuwa matusi sio substitute ya nguvu ya hoja; jengeni hoja mshawishi watu.
Msimamizi mmoja ananiambia kuwa kapiga kura zaidi ya mia mbili yeye pekee yake.