Uchaguzi 2020 Mathematically, haiwezekani kwamba Magufuli ameshinda kwa kura bandia!

Uchaguzi 2020 Mathematically, haiwezekani kwamba Magufuli ameshinda kwa kura bandia!

Nakuhakikishia kuwa almost katika kila kituo, waliopiga kura hawakuzidi theluthi moja.

1. Pita sehemu walipobandika matokeo angalia idadi ya walioandikishwa na waliopiga kura. HIVYO basi waliopiga kura watakuwa ni theluthi moja tu ya milioni 29.

2. Maeneo ambayo mawakala wa chadema walitolewa wakati wa kuhesabu kura usitegemee kura za Lissu kubaki kama zilivyo.

3. Kilichofanyika vituoni ilikuwa ni kuhalalisha tu, kilichotakiwa kutoka kila kituo ni idadi tu ya wapiga kura na sio matokeo kwani matokeo (kwa asilimia) walishakuwanayo (rejea matokeo ya NEWALA MJINI na TARIME MJINI yaliyofanana kila kitu)

4. Ushahidi wa kura bandia upo. Na huu ilitokana na kusajili "hewa" kwenye daftari la mpiga kura hivyo kuwa na uhakika wa idadi ya ambao hawawezi kupiga kura. Kiuhalisia nchi yenye watu milioni 60 haiwezi kuwa na watu wazima milioni 29 (karibu nusu). Haiwezekani idadi ya watoto kuwa sawa na ya watu wazima. LAZIMA watoto wawe wengi.

5. Kuzima mitandao..............

Unanihakikishia kwa maneno matupu? What’s the basis for your conclusion?

Tupe credible theory ya jinsi kura bandia zilivyompa Magufuli ushindi!
 
To cut to the chase, Lissu kapata kura ambazo hazifiki hata 2 million. Kama Lissu ni mshindi, maana yake Magufuli amejaziwa kura za bandia zaidi ya 10 million. Registered voters ni chini ya 30 million. No one knew before the fact what the voter turnout would look like.

Magufuli angejaziwa kura za bandia 10 million halafu turnout ikawa 25 million na Lissu akapata kura hata 15 million tu, fraud scheme ingepasuka kwa aibu kubwa. Nani atafanya kosa kama hilo?

Alternatively, kama kura halali za Magufuli ni chache kuliko za Lissu, maana yake voter turnout haikufika hata 4 million. This too doesn’t make any sense!

The only way to argue that Lissu won is to show that some of Lissu’s votes were thrown out or counted as Magufuli’s.

Ushauri wa bure kwa wafuasi wa Chama Cha Demokrasia ya Maendeleo (Chadema): Katika kuchangia, tambueni kuwa matusi sio substitute ya nguvu ya hoja; jengeni hoja mshawishi watu.
Kweli kabisa ushindi huu ni halali kwanza mgombea wa CCM aliwasisitiza sana wananchi wasimchanganyie Gunzi anahitaji Connection na wanachama wa CCM kwa mujibu wa Polepole ni zaidi ya m16

Nilisema na wao watuambie wana wanachama wangapi halali ilikujua watashindaje kama wote wakipiga kura badala yake mgombea wao akipanda jukwaani ni Uwanja wa Chato tu na kumsema Magufuli.

Kuna ile taasisi ya yule mama Mzungu alihoji watanzania karibia 6000 kote walipopita kwenye majiji makubwa na mkoa wa Simiyu wananchi walionyesha kumkubali Magufuli zaidi ya wagombea wengine kwa ushindi wa asilimia 80 kama sijakosea na Lissu asilimia 15 sasa,leo wanasemaje wameibiwa kura ikiwa hata kura ya mtandaoni kapigwa vibaya sana
 
Iko hivi..hayo matokeo ni yaliyotengenezwa/ kupangwa na sio yalijumlishwa kwa kura zilizopatikana. Ndyomaana hata asilimiavzinazidi
 
Nilikuwa wakala wa kusimamia kura.ni mjinga tu pekee ndio haamini kama magufuri aliongezewa kura.narudia tena .ni mjinga tu pekee ndio anaamini magufuri napata kura 12 million kwa halali
 
Hahahahaha ni chache ama?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni chache mno, inawezekana kuna mahali ameibiwa, au kuna wasaliti/wazembe wengi sana, ikumbukwe chama chake kina wanachama milioni 22 na kila mwanachama alikuwa na jukumu la kushawishi angalau watu watatu wampigie kura.
IMG_20201031_144507.jpg
 
Nendeni mahakamani? Hao mawakala wenu walikuwa wapi haya yote yakifanyika?
Hv hua mnaongea kwa kutumia makalio au hao mawakala walikua wapi kivipi wakati walifukuzwa na wasimamizi hv ww kweli hukusikia au kuona hujuma waliofanyiwa mawakala wa upinzani wengi walitolewa vituoni kisa barua na kitambulisho ,walinyimwa baraua mf Jimbo la chato mawakala wote walifukuzwa kisa eti wamegushi signature,tunaposema uchaguz huu haukuwa huru muelewe
 
Nilikuwa wakala wa kusimamia kura.ni mjinga tu pekee ndio haamini kama magufuri aliongezewa kura.narudia tena .ni mjinga tu pekee ndio anaamini magufuri napata kura 12 million kwa halali
Inawezekana ulikuwa wakala kituo cha kupigia kura kituo cha m/kiti mtaa msembeta 2. LAKINI kuna wengine huko Kawe, tmk, mbagala n.k hawakuruhusiwa kabisa kuwepo kipindi cha kuhesabu kura.
 
Ni hivi Voters turn out haikufika hiyo 15 Millions.

Kura zilizopigwa vituoni vilihesabiwa lakini hazikujazwa kwenye form za matokeo.

Baada ya zoezi la kupiga kura mawakala wa vyama vya upinzani hasa CHADEMA walitolewa vituoni kwa nguvu.

Alichokuwa anatangaza jana Kaijage ni namba tu zilizojazwa na wasimamizi wa uchaguzi bila kuzingatia hata idadi ya wapiga kura.

We angalia kuna majimbo mengine kura zilikuwa zinazidi idadi ya registered voters.

Hamisheni tu magoli; hiyo nayo ipo!
 
Mbona simpo tu zile kura kwenye vikapu zimetikiwa wagombea wa CCM zilitoka wapi? Kama zimekamatwa chache nyingi zilizopenya zilijumuishwa au zilitengwa hazikujumuishwa.
 
Waliojiandikisha milioni 29
Magufuli kapata million 12.

Milioni 17 hawakupiga kura??

Hawa milioni 17 wangekuwa na imani na
Uchaguzi wasingegoma kupiga kura..

This is rejection mchana kweupe
Umesoma hesabu kweli mkuu?? Ngoja nikusaidie walijitokeza kupiga kura ni million 15+ hivyo ambao hawakupiga kura ni million 14 na wala si million 17.
 
Kwani hakuk
The only way to argue that Lissu won is to show that some of Lissu’s votes were thrown out or counted as Magufuli’s.

Pili kwenye kituo chenye wamejiandikisha 300,000 wanapiga kura wa halali 50,000 Kisha akajaziwa zingine hata 200,000 utashtukaje hapo?

Conclusively mostly probably za TAL kapewa JP, na Nec wakaongezea zao kwa JP again
Kwani hakukuwa ma mawakara?
 
Back
Top Bottom