Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,503
- 20,892
Thats what I am talking about🙁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thats what I am talking about🙁
To cut to the chase, Lissu kapata kura ambazo hazifiki hata 2 million. Kama Lissu ni mshindi, maana yake Magufuli amejaziwa kura za bandia zaidi ya 10 million. Registered voters ni chini ya 30 million. No one knew before the fact what the voter turnout would look like.
Magufuli angejaziwa kura za bandia 10 million halafu turnout ikawa 25 million na Lissu akapata kura hata 15 million tu, fraud scheme ingepasuka kwa aibu kubwa. Nani atafanya kosa kama hilo?
Alternatively, kama kura halali za Magufuli ni chache kuliko za Lissu, maana yake voter turnout haikufika hata 4 million. This too doesn’t make any sense!
The only way to argue that Lissu won is to show that some of Lissu’s votes were thrown out or counted as Magufuli’s.
Ushauri wa bure kwa wafuasi wa Chama Cha Demokrasia ya Matusi (Chadema): Katika kuchangia, tambueni kuwa matusi sio substitute ya nguvu ya hoja; jengeni hoja mshawishi watu.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Lazima tuwe kama Ulaya wapinzani washenzi sana wali kwamisha sana maendeleo leo tungekuwa kama Toronto au Japan au Thailand au Canada au Singapore au Dubai!
Internet pia ina kwamisha sana maendeleo na kuharibu tamaduni zetu izimwe kabisa
Ni hivi Voters turn out haikufika hiyo 15 Millions.To cut to the chase, Lissu kapata kura ambazo hazifiki hata 2 million. Kama Lissu ni mshindi, maana yake Magufuli amejaziwa kura za bandia zaidi ya 10 million. Registered voters ni chini ya 30 million. No one knew before the fact what the voter turnout would look like.
Magufuli angejaziwa kura za bandia 10 million halafu turnout ikawa 25 million na Lissu akapata kura hata 15 million tu, fraud scheme ingepasuka kwa aibu kubwa. Nani atafanya kosa kama hilo?
Alternatively, kama kura halali za Magufuli ni chache kuliko za Lissu, maana yake voter turnout haikufika hata 4 million. This too doesn’t make any sense!
The only way to argue that Lissu won is to show that some of Lissu’s votes were thrown out or counted as Magufuli’s.
Ushauri wa bure kwa wafuasi wa Chama Cha Demokrasia ya Matusi (Chadema): Katika kuchangia, tambueni kuwa matusi sio substitute ya nguvu ya hoja; jengeni hoja mshawishi watu.
Ulikwenda vizuri na mada yako huko juu, ambako mtu angekaa chini na kujadili vizuri wazo lako hilo.Ushauri wa bure kwa wafuasi wa Chama Cha Demokrasia ya Matusi (Chadema): Katika kuchangia, tambueni kuwa matusi sio substitute ya nguvu ya hoja; jengeni hoja mshawishi watu.
Waliojiandikisha milioni 29
Magufuli kapata million 12.
Milioni 17 hawakupiga kura??
Hawa milioni 17 wangekuwa na imani na
Uchaguzi wasingegoma kupiga kura..
This is rejection mchana kweupe
Hivi unamsimamishaje Salum Mwalimu eti awe makamu wa rais? Ni dharau kwa watanzania na watanzania wekataa kudharauliwa.Vibendera Chalii
Wamebakia na wimbo ule ule Kuibiwa kura
Yaani wanamgombea Wa Hovyo wategemee kushinda
Hahaha tulisema Wakipata Kura 20% Wameshinda
Kuna watu wapo in btn inaonesha ndio walikuwa wanaamua kubuni namba wanazituma. Tatizo sasa ni kila mahali angalau wangebuni maeneo baadhi.Hata hvy yaliyotangzwa sio ya vituoni. Ndo maana namba ziko vululuvululu
Kwani mwaka gani? Au nchi gani wapiga kura walikuwa [emoji817]%Waliojiandikisha milioni 29
Magufuli kapata million 12.
Milioni 17 hawakupiga kura??
Hawa milioni 17 wangekuwa na imani na
Uchaguzi wasingegoma kupiga kura..
This is rejection mchana kweupe
Mmeshindwa kulinda kura.Wizi ni wizi tu hata ukipakwa rangi nzuri kiasi gani utabaki kuwa wizi. Maccm ni wezi wa kura miaka yote ila safari hii wamekuwa majambazi na wameulawiti umma wa Watanzania
'The worst case scenario' happenned! Wanachama wengi wa CCM hawakwenda kupiga kura kwa kubweteka na mafanikio tuliyoyapata kwenye kampeni. Wengi walijua kuwa tumeshashinda hivyo hawakuona haja ya kupiga kura. Hii imetupunguzia ushindi wa kishindo na kufanya tushindwe kufikia asilimia 90+ tulizotegemea kuzivuna!Waliojiandikisha milioni 29
Magufuli kapata million 12.
Milioni 17 hawakupiga kura??
Hawa milioni 17 wangekuwa na imani na
Uchaguzi wasingegoma kupiga kura..
This is rejection mchana kweupe