Uchaguzi 2020 Mathematically, haiwezekani kwamba Magufuli ameshinda kwa kura bandia!

Uchaguzi 2020 Mathematically, haiwezekani kwamba Magufuli ameshinda kwa kura bandia!

Nakuhakikishia kuwa almost katika kila kituo, waliopiga kura hawakuzidi theluthi moja.

1. Pita sehemu walipobandika matokeo angalia idadi ya walioandikishwa na waliopiga kura. HIVYO basi waliopiga kura watakuwa ni theluthi moja tu ya milioni 29.

2. Maeneo ambayo mawakala wa chadema walitolewa wakati wa kuhesabu kura usitegemee kura za Lissu kubaki kama zilivyo.

3. Kilichofanyika vituoni ilikuwa ni kuhalalisha tu, kilichotakiwa kutoka kila kituo ni idadi tu ya wapiga kura na sio matokeo kwani matokeo (kwa asilimia) walishakuwanayo (rejea matokeo ya NEWALA MJINI na TARIME MJINI yaliyofanana kila kitu)

4. Ushahidi wa kura bandia upo. Na huu ilitokana na kusajili "hewa" kwenye daftari la mpiga kura hivyo kuwa na uhakika wa idadi ya ambao hawawezi kupiga kura. Kiuhalisia nchi yenye watu milioni 60 haiwezi kuwa na watu wazima milioni 29 (karibu nusu). Haiwezekani idadi ya watoto kuwa sawa na ya watu wazima. LAZIMA watoto wawe wengi.

5. Kuzima mitandao..............
 
Vibendera Chalii
Wamebakia na wimbo ule ule Kuibiwa kura
Yaani wanamgombea Wa Hovyo wategemee kushinda
Hahaha tulisema Wakipata Kura 20% Wameshinda
Wale wa kupaka rangi dhambi....
 
ingekamatwa hata kura feki MOJA TU.
basi uchaguzi ungekuwa BATILI PIA.
acha malori yaliyokamatwa na kura feki.
Suala hizo kura wataziingiza vipi kwenye hesabu wanajua wao.
Suala ni kwanini NEC wakatae kuwa HAKUNA KURA FEKI?
 
Waliojiandikisha milioni 29
Magufuli kapata million 12.

Milioni 17 hawakupiga kura??

Hawa milioni 17 wangekuwa na imani na
Uchaguzi wasingegoma kupiga kura..

This is rejection mchana kweupe
Ukisusa sisi twala
 
Waliojiandikisha milioni 29
Magufuli kapata million 12.

Milioni 17 hawakupiga kura??

Hawa milioni 17 wangekuwa na imani na
Uchaguzi wasingegoma kupiga kura..

This is rejection mchana kweupe
Ni lini uchaguzi wa Tz turn out ilifika hata 60% tu, 2015 turn out ilikuwa chini ya 60% , mnapenda kuwajaza ujinga CHADEMA fanatics.
 
Aliyeona sehemu watu wanashangilia ushindi wa magufuli aniambie na Mimi nikashangilie.
 
Udanganyifu wa aina yoyote ungetokea ilitakiwa uchaguzi urudiwe..
Suala la kura feki CCM , magufuli na NEC wenyewe hawana sehemu ya kutokea.
Ni lini uchaguzi wa Tz turn out ilifika hata 60% tu, 2015 turn out ilikuwa chini ya 60% , mnapenda kuwajaza ujinga CDM fanatics.
 
Vibendera Chalii
Wamebakia na wimbo ule ule Kuibiwa kura
Yaani wanamgombea Wa Hovyo wategemee kushinda
Hahaha tulisema Wakipata Kura 20% Wameshinda
[emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu, mimi msimamo wangu tangu kampeni zinaanza nilisema Lisu akivusha 20% nipigwe ban ya maisha hapa jf!
 
Hii ni picha ndogo tu ya matokeo,kwa KAWE mheshimiwa amepata kura ngapi? Weka hapo alafu angalia je Kuna uwezekano huo kwa kuchukua idadi ya wapiga kura?

Screenshot_20201031-055833_1.jpg
 
To cut to the chase, Lissu kapata kura ambazo hazifiki hata 2 million. Kama Lissu ni mshindi, maana yake Magufuli amejaziwa kura za bandia zaidi ya 10 million. Registered voters ni chini ya 30 million. No one knew before the fact what the voter turnout would look like.

Magufuli angejaziwa kura za bandia 10 million halafu turnout ikawa 25 million na Lissu akapata kura hata 15 million tu, fraud scheme ingepasuka kwa aibu kubwa. Nani atafanya kosa kama hilo?

Alternatively, kama kura halali za Magufuli ni chache kuliko za Lissu, maana yake voter turnout haikufika hata 4 million. This too doesn’t make any sense!

The only way to argue that Lissu won is to show that some of Lissu’s votes were thrown out or counted as Magufuli’s.

Ushauri wa bure kwa wafuasi wa Chama Cha Demokrasia ya Matusi (Chadema): Katika kuchangia, tambueni kuwa matusi sio substitute ya nguvu ya hoja; jengeni hoja mshawishi watu.
Kila kitu kinafanywa kwa hesabu kali na ndio maana tofauti ya kura imekuwa kubwa ili kufix hilo unalo lisema wewe
 
Waliojiandikisha milioni 29
Magufuli kapata million 12.

Milioni 17 hawakupiga kura??

Hawa milioni 17 wangekuwa na imani na
Uchaguzi wasingegoma kupiga kura..

This is rejection mchana kweupe
Hata hivyo yaliyotangzwa sio ya vituoni. Ndio maana namba ziko vululuvululu
 
To cut to the chase, Lissu kapata kura ambazo hazifiki hata 2 million. Kama Lissu ni mshindi, maana yake Magufuli amejaziwa kura za bandia zaidi ya 10 million. Registered voters ni chini ya 30 million. No one knew before the fact what the voter turnout would look like.

Magufuli angejaziwa kura za bandia 10 million halafu turnout ikawa 25 million na Lissu akapata kura hata 15 million tu, fraud scheme ingepasuka kwa aibu kubwa. Nani atafanya kosa kama hilo?

Alternatively, kama kura halali za Magufuli ni chache kuliko za Lissu, maana yake voter turnout haikufika hata 4 million. This too doesn’t make any sense!

The only way to argue that Lissu won is to show that some of Lissu’s votes were thrown out or counted as Magufuli’s.

Ushauri wa bure kwa wafuasi wa Chama Cha Demokrasia ya Matusi (Chadema): Katika kuchangia, tambueni kuwa matusi sio substitute ya nguvu ya hoja; jengeni hoja mshawishi watu.
The probability that your IQ is below 60 is almost 84%
 
Kuna scenario nyingi ila mojawapo ni kuwa kila kituo kilikuwa na kura zake prefilled already na walichofanya ni kureplace kabisa na zile kura zoote zilizopigwa kwenye vituo husika. Basically hakukuwa na uchaguzi.

Na hili liliwezekana tu kwa kuwa vituo vingi CHADEMA hawakuweka mawakala kabisa (poor organisation na/ama ukosefu wa fedha), au mawakala walizuiwa kuingia ndani, au mawakala walitolewa nje wakati wa majumuisho au mawakala wa CHADEMA walitishwa na kuhongwa fedha au mawakala walikuwa dhaifu sana (low reasoning capacity) na wakatii kinachofanyika bila kuhoji

Kuna mengi ya kujifunza ila hakuna haja ya Upinzani kushiriki tena chaguzi kwa matumaini ya kuambulia viti vichache ili Ruzuku kiduchu ipatikane



IMG-20201028-WA0019.jpg
 
Back
Top Bottom