Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo peke yake umeonesha una uwezo mdogo sana wa kufanya analysis manake umeangalia upande mmoja wa "kujaza" na sio upande wa "kupora"!To cut to the chase, Lissu kapata kura ambazo hazifiki hata 2 million. Kama Lissu ni mshindi, maana yake Magufuli amejaziwa kura za bandia zaidi ya 10 million. Registered voters ni chini ya 30 million. No one knew before the fact what the voter turnout would look like. Magufuli angejaziwa kura za bandia 10 million halafu turnout ikawa 25 million na Lissu akapata kura hata 15 million tu, fraud scheme ingepasuka kwa aibu kubwa. Nani atafanya kosa kama hilo?
Umefikia argument hiyo kwa sababu mawazo yako yaliganda kwenye kura za bandia za kwenye mabox bandia bila kuelezea uwezekano wa wa kura za X kuhesabiwa upande Y hasa kwa vituo kadhaa ambavyo havikuwa na mawakala wa upinzani!Alternatively, kama kura halali za Magufuli ni chache kuliko za Lissu, maana yake voter turnout haikufika hata 4 million. This too doesn’t make any sense!
The only way to argue that Lissu won is to show that some of Lissu’s votes were thrown out or counted as Magufuli’s.
Ushauri wa bure kwa wafuasi wa Chama Cha Demokrasia ya Matusi (Chadema): Katika kuchangia, tambueni kuwa matusi sio substitute ya nguvu ya hoja; jengeni hoja mshawishi watu.
Hata clip ya mabegi ya shehena ya kura zilizopigiwa ccm walizokuwa nazo policcm kwa ajili ya kuingiza vituoni hujaona?!To cut to the chase, Lissu kapata kura ambazo hazifiki hata 2 million. Kama Lissu ni mshindi, maana yake Magufuli amejaziwa kura za bandia zaidi ya 10 million. Registered voters ni chini ya 30 million. No one knew before the fact what the voter turnout would look like.
Magufuli angejaziwa kura za bandia 10 million halafu turnout ikawa 25 million na Lissu akapata kura hata 15 million tu, fraud scheme ingepasuka kwa aibu kubwa. Nani atafanya kosa kama hilo?
Alternatively, kama kura halali za Magufuli ni chache kuliko za Lissu, maana yake voter turnout haikufika hata 4 million. This too doesn’t make any sense!
The only way to argue that Lissu won is to show that some of Lissu’s votes were thrown out or counted as Magufuli’s.
Ushauri wa bure kwa wafuasi wa Chama Cha Demokrasia ya Matusi (Chadema): Katika kuchangia, tambueni kuwa matusi sio substitute ya nguvu ya hoja; jengeni hoja mshawishi watu.
Wengine hawakupata kura?Waliojiandikisha milioni 29
Magufuli kapata million 12.
Milioni 17 hawakupiga kura??
Hawa milioni 17 wangekuwa na imani na
Uchaguzi wasingegoma kupiga kura..
This is rejection mchana kweupe
Nipo hapa Lumumba nina subiria kuchukuwa card kwa polepole🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Umeamkaje kamanda
Hujitambui.
Waliojiandikisha milioni 29
Magufuli kapata million 12.
Milioni 17 hawakupiga kura??
Hawa milioni 17 wangekuwa na imani na
Uchaguzi wasingegoma kupiga kura..
This is rejection mchana kweupe
The only way to argue that Lissu won is to show that some of Lissu’s votes were thrown out or counted as Magufuli’s.
Pili kwenye kituo chenye wamejiandikisha 300,000 wanapiga kura wa halali 50,000 Kisha akajaziwa zingine hata 200,000 utashtukaje hapo?
Conclusively mostly probably za TAL kapewa JP, na Nec wakaongezea zao kwa JP again
Another crap
Daftari la kupigia kura lina kuwa updated kabla ya kupiga kura.Waliojiandikisha milioni 29
Magufuli kapata million 12.
Milioni 17 hawakupiga kura??
Hawa milioni 17 wangekuwa na imani na
Uchaguzi wasingegoma kupiga kura..
This is rejection mchana kweupe
Bila shaka Wewe ulikuwa ni mmoja kati ya mawakala waliofanya fraud ya kura for CCM.
Shame on you, God curse be on thieves and those behind the fraud.
Utopilolism!
mMEPIGWA KISAWASAWA. KWA MAWAZO YAKO MGANDO, ULIDHANI KABISA LISU ANGEPATA HATA KURA MILIONI2?Wizi ni wizi tu hata ukipakwa rangi nzuri kiasi gani utabaki kuwa wizi. Maccm ni wezi wa kura miaka yote ila safari hii wamekuwa majambazi na wameulawiti umma wa Watanzania
Wamelawitii ukoo wakoo na ww mbwa wwWizi ni wizi tu hata ukipakwa rangi nzuri kiasi gani utabaki kuwa wizi. Maccm ni wezi wa kura miaka yote ila safari hii wamekuwa majambazi na wameulawiti umma wa Watanzania
ugoro ulichanganyikana na ufyenze.
Hebu nitolee Kiingereza cha kuokoteza hapa! Wewe ni ushahidi wa ubutu wa elimu yetu!Your party cannot be proud of you at all; you’re a huge liability!
Maana yake hizi kura 17M ni za Lisu ,Magufuli kapata 12M.
Kuna scenario nyingi ila mojawapo ni kuwa kila kituo kilikuwa na kura zake prefilled already na walichofanya ni kureplace kabisa na zile kura zoote zilizopigwa kwenye vituo husika. Basically hakukuwa na uchaguzi.
Na hili liliwezekana tu kwa kuwa vituo vingi CHADEMA hawakuweka mawakala kabisa (poor organisation na/ama ukosefu wa fedha), au mawakala walizuiwa kuingia ndani, au mawakala walitolewa nje wakati wa majumuisho au mawakala wa CHADEMA walitishwa na kuhongwa fedha au mawakala walikuwa dhaifu sana (low reasoning capacity) na wakatii kinachofanyika bila kuhoji
Kuna mengi ya kujifunza ila hakuna haja ya Upinzani kushiriki tena chaguzi kwa matumaini ya kuambulia viti vichache ili Ruzuku kiduchu ipatikane
Hahahahaha ni chache ama?Yaani Magufuli apate kura Milioni 12 !!??.. Yaani yaani kabisaa..