Uchaguzi 2020 Mathematically, haiwezekani kwamba Magufuli ameshinda kwa kura bandia!

Nakuhakikishia kuwa almost katika kila kituo, waliopiga kura hawakuzidi theluthi moja.

1. Pita sehemu walipobandika matokeo angalia idadi ya walioandikishwa na waliopiga kura. HIVYO basi waliopiga kura watakuwa ni theluthi moja tu ya milioni 29.

2. Maeneo ambayo mawakala wa chadema walitolewa wakati wa kuhesabu kura usitegemee kura za Lissu kubaki kama zilivyo.

3. Kilichofanyika vituoni ilikuwa ni kuhalalisha tu, kilichotakiwa kutoka kila kituo ni idadi tu ya wapiga kura na sio matokeo kwani matokeo (kwa asilimia) walishakuwanayo (rejea matokeo ya NEWALA MJINI na TARIME MJINI yaliyofanana kila kitu)

4. Ushahidi wa kura bandia upo. Na huu ilitokana na kusajili "hewa" kwenye daftari la mpiga kura hivyo kuwa na uhakika wa idadi ya ambao hawawezi kupiga kura. Kiuhalisia nchi yenye watu milioni 60 haiwezi kuwa na watu wazima milioni 29 (karibu nusu). Haiwezekani idadi ya watoto kuwa sawa na ya watu wazima. LAZIMA watoto wawe wengi.

5. Kuzima mitandao..............
 
Vibendera Chalii
Wamebakia na wimbo ule ule Kuibiwa kura
Yaani wanamgombea Wa Hovyo wategemee kushinda
Hahaha tulisema Wakipata Kura 20% Wameshinda
Wale wa kupaka rangi dhambi....
 
ingekamatwa hata kura feki MOJA TU.
basi uchaguzi ungekuwa BATILI PIA.
acha malori yaliyokamatwa na kura feki.
Suala hizo kura wataziingiza vipi kwenye hesabu wanajua wao.
Suala ni kwanini NEC wakatae kuwa HAKUNA KURA FEKI?
 
Waliojiandikisha milioni 29
Magufuli kapata million 12.

Milioni 17 hawakupiga kura??

Hawa milioni 17 wangekuwa na imani na
Uchaguzi wasingegoma kupiga kura..

This is rejection mchana kweupe
Ukisusa sisi twala
 
Waliojiandikisha milioni 29
Magufuli kapata million 12.

Milioni 17 hawakupiga kura??

Hawa milioni 17 wangekuwa na imani na
Uchaguzi wasingegoma kupiga kura..

This is rejection mchana kweupe
Ni lini uchaguzi wa Tz turn out ilifika hata 60% tu, 2015 turn out ilikuwa chini ya 60% , mnapenda kuwajaza ujinga CHADEMA fanatics.
 
Aliyeona sehemu watu wanashangilia ushindi wa magufuli aniambie na Mimi nikashangilie.
 
Udanganyifu wa aina yoyote ungetokea ilitakiwa uchaguzi urudiwe..
Suala la kura feki CCM , magufuli na NEC wenyewe hawana sehemu ya kutokea.
Ni lini uchaguzi wa Tz turn out ilifika hata 60% tu, 2015 turn out ilikuwa chini ya 60% , mnapenda kuwajaza ujinga CDM fanatics.
 
Vibendera Chalii
Wamebakia na wimbo ule ule Kuibiwa kura
Yaani wanamgombea Wa Hovyo wategemee kushinda
Hahaha tulisema Wakipata Kura 20% Wameshinda
[emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu, mimi msimamo wangu tangu kampeni zinaanza nilisema Lisu akivusha 20% nipigwe ban ya maisha hapa jf!
 
Kila kitu kinafanywa kwa hesabu kali na ndio maana tofauti ya kura imekuwa kubwa ili kufix hilo unalo lisema wewe
 
Waliojiandikisha milioni 29
Magufuli kapata million 12.

Milioni 17 hawakupiga kura??

Hawa milioni 17 wangekuwa na imani na
Uchaguzi wasingegoma kupiga kura..

This is rejection mchana kweupe
Hata hivyo yaliyotangzwa sio ya vituoni. Ndio maana namba ziko vululuvululu
 
The probability that your IQ is below 60 is almost 84%
 



 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…