Uchaguzi 2020 Mathematically, haiwezekani kwamba Magufuli ameshinda kwa kura bandia!

Uchaguzi 2020 Mathematically, haiwezekani kwamba Magufuli ameshinda kwa kura bandia!

Kadri unavyotoa povu na matusi ndo unazidi kuthibitisha kuwa ni kweli uwezo wako Wa kufikiri ni mdogo mno.
Lakini usijali...ni uumbaji Wa Mungu tu, si unajua kazi ya Mungu haina makosa.
Na hapa ndiyo unadhihirisha jinsi gani "You're Foolish"

Of course... Ni kipaji pia... Fool...
 
kwani NEC wametoa tofauti ya karatasi zao za kupigia kura na hizo zilizokamatwa?
Hizo ni karatsi tu zinatengezwa tena watoto wadogo watundu. Nimkuuliza maswali, zina serial namba za nec? mfanano wa rangi usikubabaishe mkuu. Linganisha zile alama muhimu za siri na karatasi halisi. Kenye picha unaweza kutengezwa vyovyote watakavyo na ikaonekana halisi.
 
mwenye mamlaka NEC lakini ufafanuzi atoe aliyekamatwa nazo?..
NEC wamefanya nini kuwakamata hao mnaosema wametengeneza hizo kura feki?
mkuu, wao hawawezi kusema unavyotaka wewe. hayo maswali ni vizuri wakajibu walioonyesha. wao wana uhakika kwa ulinzi na mikakati yao, hakuna karasi yao halisi iliyopotea au kuibiwa. sasa wakujibu kuwa zimetoka wapi wao watajuaje? ndio maana wanaseama hakuna hicho kitu.
Yaani ujitenezee mwenyewe huko karatasi zako then nijibu mimi kuwa zimetoka wapi, mimi mwamposa?
 
Na Kama kuna makaratasi ya KURA yaliibiwa NEC waseme imekuwaje mpaka zikaibiwa?.
Umemjibu vizuri, wana tabia ya kudandia majibu mepesi ya wenzao na wao wanayabeba wanatembea nayo mchana kutwa!.

Eti simply bcoz kura kadhaa zilichomwa, vichwa maji wanachukulia kama kura vile zote ndio zimechomwa, wanajitahidi sana kuzunguka mbuyu lakini hawajiulizi, kama sio kura sio feki, kwanini zote ziwe na tiki kwa majina ya wagombea wa CCM ukichukulia wao na Tume yao ndio waliokuwa na hizo karatasi mpk dakika ya mwisho?

Hakuna namna wananweza kukwepa hili, wanajidanganya tu.
 
Waliojiandikisha milioni 29
Magufuli kapata million 12.

Milioni 17 hawakupiga kura??

Hawa milioni 17 wangekuwa na imani na
Uchaguzi wasingegoma kupiga kura..

This is rejection mchana kweupe
Kwahiyo Lissu hajaibiwa ila wapiga kura 17 Milion hajapiga kura kwa kutokua na imani na Tume?
 
Waliojiandikisha milioni 29
Magufuli kapata million 12.

Milioni 17 hawakupiga kura??

Hawa milioni 17 wangekuwa na imani na
Uchaguzi wasingegoma kupiga kura..

This is rejection mchana kweupe
Jumla ya kura za Wabunge zote zinalingana na kura za Uraisi Zote?
 
To cut to the chase, Lissu kapata kura ambazo hazifiki hata 2 million. Kama Lissu ni mshindi, maana yake Magufuli amejaziwa kura za bandia zaidi ya 10 million. Registered voters ni chini ya 30 million. No one knew before the fact what the voter turnout would look like.

Magufuli angejaziwa kura za bandia 10 million halafu turnout ikawa 25 million na Lissu akapata kura hata 15 million tu, fraud scheme ingepasuka kwa aibu kubwa. Nani atafanya kosa kama hilo?

Alternatively, kama kura halali za Magufuli ni chache kuliko za Lissu, maana yake voter turnout haikufika hata 4 million. This too doesn’t make any sense!

The only way to argue that Lissu won is to show that some of Lissu’s votes were thrown out or counted as Magufuli’s.

Ushauri wa bure kwa wafuasi wa Chama Cha Demokrasia ya Maendeleo (Chadema): Katika kuchangia, tambueni kuwa matusi sio substitute ya nguvu ya hoja; jengeni hoja mshawishi watu.
Ila mitandao ya kijamii wametuzimia mpaka leo. Ukijiuliza wanaficha nini? Utapata jibu....

Msiwafanye watu ni watoto wadogo...hakuna haja ya kuwa na uchaguzi Tanzania ni kupotezea muda.
 
Ni Kanuni gani ya JF unayotumia kunipangia lugha ya kutumia?

Show us your prowess as an analyst!
Ur trying too hard to hide your foolishness using English.

Lugha haioneshi intelligence ya MTU kuna matahira jiji LA London wanaongea very fluid english.
 
Kuna scenario nyingi ila mojawapo ni kuwa kila kituo kilikuwa na kura zake prefilled already na walichofanya ni kureplace kabisa na zile kura zoote zilizopigwa kwenye vituo husika. Basically hakukuwa na uchaguzi.

Na hili liliwezekana tu kwa kuwa vituo vingi CHADEMA hawakuweka mawakala kabisa (poor organisation na/ama ukosefu wa fedha), au mawakala walizuiwa kuingia ndani, au mawakala walitolewa nje wakati wa majumuisho au mawakala wa CHADEMA walitishwa na kuhongwa fedha au mawakala walikuwa dhaifu sana (low reasoning capacity) na wakatii kinachofanyika bila kuhoji

Kuna mengi ya kujifunza ila hakuna haja ya Upinzani kushiriki tena chaguzi kwa matumaini ya kuambulia viti vichache ili Ruzuku kiduchu ipatikane
Mkuu umeongea point kabisa..mimi nilikuwa wakala kituo fulani hapa DSM..vituo vingi chadema hawakuwa na mawakala.na pia hata vituo vilivyokuww na wakala wa chadema bado mawakala hao hawakuwa na uelewa wa kukinda kura.ni mawakala wa kuokoteza tuu.lakini kiukweli kura ziliibwa nilishuhudia hilo..ccm walijipia kura kabla ya mchakato.mawakala tulizuiliwa kuingia ndani ya polling station hadi saa tatu asbh muda ambao watu walikuwa washaanza kupiga kura.chadema hawana uelewa wa kulinda kura kabisa
 
Mkuu umeongea point kabisa..mimi nilikuwa wakala kituo fulani hapa DSM..vituo vingi chadema hawakuwa na mawakala..
Ulikuwa wakala wa CHADEMA? Chama kiliwalipa posho au mlijitolea bure?
..lakini kiukweli kura ziliibwa nilishuhudia hilo..ccm walijipia kura kabla ya mchakato...
So, by the time wanawaruhusu kuingia ndani mkakuta tayari masanduku yana kura za kutosha? Na mkatulia tuli?
 
Ur trying too hard to hide your foolishness using English.

Lugha haioneshi intelligence ya MTU kuna matahira jiji LA London wanaongea very fluid english.

No substance at all! You’re a typical blind follower of Chama Cha Demokrasia ya Matusi (Chadema).

Hakuna shaka kwamba mtu anenacho ni kielelezo cha ubora wa ubongo wake. Ubongo hafifu hautarajiwi kuja na mchango wa mawazo yenye tija. Hazina kuu ya ubongo hafifu ni matusi na lugha isiyo na staha!
 
To cut to the chase, Lissu kapata kura ambazo hazifiki hata 2 million. Kama Lissu ni mshindi, maana yake Magufuli amejaziwa kura za bandia zaidi ya 10 million. Registered voters ni chini ya 30 million. No one knew before the fact what the voter turnout would look like.

Magufuli angejaziwa kura za bandia 10 million halafu turnout ikawa 25 million na Lissu akapata kura hata 15 million tu, fraud scheme ingepasuka kwa aibu kubwa. Nani atafanya kosa kama hilo?

Alternatively, kama kura halali za Magufuli ni chache kuliko za Lissu, maana yake voter turnout haikufika hata 4 million. This too doesn’t make any sense!

The only way to argue that Lissu won is to show that some of Lissu’s votes were thrown out or counted as Magufuli’s.

Ushauri wa bure kwa wafuasi wa Chama Cha Demokrasia ya Maendeleo (Chadema): Katika kuchangia, tambueni kuwa matusi sio substitute ya nguvu ya hoja; jengeni hoja mshawishi watu.
That's the fact
 
No arguments, Vote rigging prevailled to the entire election making it the worst election ever in the history of independent Tanzania.

Majority Citizens no longer need CCM, it is the only CCM beneficiaries like you who would stand shylessly advocating such apparently observed nuisence only to cater your short time stomach hunger while leaving millions of Citizens suffer life hardships from the yokes of brutal dictatorship of Tanzania "Iddi Amin", no where in the world did a dictator ever end up in a good fashion and that is a historical moral, the reason being; people's Voice is God's.

So let Him be the judge.

Perceptions and reality aren’t always the same!

Dictatorship comes in many forms. Even forcing others to support your preferred candidate or assuming that whoever holds political views that deviate from yours is egocentric is a form of dictatorship.

There’s no way I can embrace the Savimbis you’re trying to force every Tanzanian to support. I would rather support an autocrat who builds bridges, schools, hospitals, airports, roads, railroads, seaports, ships, hydroelectric power plants, etc. that I know he cannot take away with him when he leaves the state house!
 
Ila mitandao ya kijamii wametuzimia mpaka leo. Ukijiuliza wanaficha nini? Utapata jibu....

Msiwafanye watu ni watoto wadogo...hakuna haja ya kuwa na uchaguzi Tanzania ni kupotezea muda.

Hivi unafahamu kwamba upo uwezekano wa chama fulani kufanya mpango wa kuvuruga uchaguzi kwa kutengeneza kura bandia ambazo mnufaika wake wa kusingiziwa ni chama kingine?

Hatupaswi kuwa na closed mind. Hapa kuna Savimbis ambao tangu kabla hata ya campaigns kuanza rasmi walionesha ishara zote za kutokukubali kushindwa uchaguzi!
 
Mkuu 'Pulchra Animal' kuna aina ya watu, wewe ukiwa mmoja wao hawana uwezo wa kuelewa ya nini kupoteza muda na watu kama nyinyi?

Mimi sio Animal, mkuu. Labda kama umeamua kunibatiza!

Kama uwezo wa kuelewa maana yake ni kuwaunga mkono vibaraka (Savimbis) mlionao na kuwa na political views zinazofanana na zenu makamanda, siwezi kujutia kutokuwa nao!

Pamoja na hayo, makamanda mlio wengi ni mzigo kwa chama chenu. Wengi wenu hamna mnachochangia zaidi ya matusi. Hivi akili zenu zinawatuma kwamba mnaweza kukuza support ya chama chenu kwa kufungulia floodgate ya matusi? That’s disservice to the party!
 
Hiyo difference ya 10milioni kulikua na vituo zaidi ya 85,000+ hivyo kila kituo namaanisha kituo sio vile sub vituo vimepiga zaidi ya kura 117 au zaidi je unazan vimeshindwa, kwa mfano kawe mtu mmoja kakutwa na kura bandia 500

Hiyo theory ya kura bandia zaidi ya 10 million sio plausible hata kidogo! Pia haiwezekeni kura halali ziwe less than 4 million (i.e., turnout rate ya 13% - 15%). Historically, hakuna uchaguzi ambao umewahi kuwa na turnout rate ya kiasi hiki!
 
To cut to the chase, Lissu kapata kura ambazo hazifiki hata 2 million. Kama Lissu ni mshindi, maana yake Magufuli amejaziwa kura za bandia zaidi ya 10 million. Registered voters ni chini ya 30 million. No one knew before the fact what the voter turnout would look like.

Magufuli angejaziwa kura za bandia 10 million halafu turnout ikawa 25 million na Lissu akapata kura hata 15 million tu, fraud scheme ingepasuka kwa aibu kubwa. Nani atafanya kosa kama hilo?

Alternatively, kama kura halali za Magufuli ni chache kuliko za Lissu, maana yake voter turnout haikufika hata 4 million. This too doesn’t make any sense!

The only way to argue that Lissu won is to show that some of Lissu’s votes were thrown out or counted as Magufuli’s.

Ushauri wa bure kwa wafuasi wa Chama Cha Demokrasia ya Maendeleo (Chadema): Katika kuchangia, tambueni kuwa matusi sio substitute ya nguvu ya hoja; jengeni hoja mshawishi watu.
Ni ngonjera zilezile kutoka viwanda vilevile vya maneno ,matusi na malalamiko wakati CCM inahubiri sera mbadala na kutekeleza!
 
Hiyo theory ya kura bandia zaidi ya 10 million sio plausible hata kidogo! Pia haiwezekeni kura halali ziwe less than 4 million (i.e., turnout rate ya 13% - 15%). Historically, hakuna uchaguzi ambao umewahi kuwa na turnout rate ya kiasi hiki!
Nilidhani unakanusha uwepo wa kura bandia, kumbe unakubali zikuwepo ila hazikufika 10mil. Na vip labda kura za TAL akapewa JPM? Je hakuna maeneo ambayo walibaki mawakala wa CCM peke yao?
 
Back
Top Bottom