Matibabu ya chemotherapy hupelekea vifo zaid kwa wenye saratani

Matibabu ya chemotherapy hupelekea vifo zaid kwa wenye saratani

Marcy

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2013
Posts
2,430
Reaction score
5,910
Wakuu kuna makala nimesoma inasema kinacho waua haraka wagonjwa wenye saratani sio saratani yenyewe
Chemotherapy ndio huwaangamiza wagonjwa wa saratani kwa haraka kwanii hupelekea kuunguza viungo ndani ya miili yetu kama moyo ini figo nk
Wagonjwa walio wengi baada ya kupiga hiyo mionzi huanza kupata matatizo ya viungo vya ndani na hili madaktari hawawez kamwe kutueleza
Na hii nilisha shuhudia kwa watu wawili wa karibu wenye saratan baada ya kupiga mionzi haikupita muda walifariki
Je kuna ukweli wowote
Kama ni kweli upi mbadala wa matibabu ya saratan
 
Sawa lakini hawachukui muda huanza kuugua magonjwa ya moyo ini figo nk
Maana yake kina madhara pia
chemotherapy pia imeokoa maisha ya watu wengi wenye saratani. Kuna njia mbalimbali za matibabu ya saratani, kulingana na aina ya saratani na hatua yake madaktari wengi naona wanatumia Radiotherapy na immunotherapy
 
Mtu akienda hospitali na saratani stage kubwa, akafanya chemotjerapy, akafariki, utajua vipi tatizo ni chemotgerapy au ni mtu kuchelewa kwenda hospitali?

Watu wetu wangapi wnafanya checkuos za kila mara na kuwahi kwenda hospitali mapema wakigundulika na saratani ya stages za awali?
 
hata ukienda india,kwa mwamposa n.k
ukishaugua kansa tu anza kutubu dhambi tayari kwa safari

Ukishajua Una kansa basi gawa Mali kama unazo na bakiza kidogo na ukile kwa Raha zako kwani kansa haina cha Ocean road wala Appolo/India kwani hiyo ni safari ya pikipiki hainaga reverse..ukikengeuka inaweza sema Bora HIV
 
Wakuu kuna makala nimesoma inasema kinacho waua haraka wagonjwa wenye saratani sio saratani yenyewe
Chemotherapy ndio huwaangamiza wagonjwa wa saratani kwa haraka kwanii hupelekea kuunguza viungo ndani ya miili yetu kama moyo ini figo nk
Wagonjwa walio wengi baada ya kupiga hiyo mionzi huanza kupata matatizo ya viungo vya ndani na hili madaktari hawawez kamwe kutueleza
Na hii nilisha shuhudia kwa watu wawili wa karibu wenye saratan baada ya kupiga mionzi haikupita muda walifariki
Je kuna ukweli wowote
Kama ni kweli upi mbadala wa matibabu ya saratan
Mkuu kabla sijachangia chochote naomba kqanza useme kama andiko lako linahusu tiba ya mionzi (radiotherapy) au matibabu ya ndani ya mwili (chemotherapy). Naona kama tayari umenichanganya.
 
Mtu akienda hospitali na saratani stage kubwa, akafanya chemotjerapy, akafariki, utajua vipi tatizo ni chemotgerapy au ni mtu kuchelewa kwenda hospitali?

Watu wetu wangapi wnafanya checkuos za kila mara na kuwahi kwenda hospitali mapema wakigundulika na saratani ya stages za awali?
Nikupe mfano wa dada .moja ambaye aliishi na saratan ya kwenye ziwa ndani ya miaka miwili lakini baada ya kufanya chemo ndani mwezi alianza kukohoa sana na baadae alifariki baada ya mapafu kushindwa kufanya kazi
Wakati mwanzo hakuwa na shida yoyote katika mapafu
Binafsi nashindwa kuelewa ndio maana nimekuja kuuliza
 
Mimi nadhani stage uliyoanzia matibabu ndio ina-determine survival yako. Ukienda stage ya tatu kwenda mbele tunamuachia Mungu, ila stage ya kwanza na ya pili tunamuachia mzungu na chemo yake.
 
Nikupe mfano wa dada .moja ambaye aliishi na saratan ya kwenye ziwa ndani ya miaka miwili lakini baada ya kufanya chemo ndani mwezi alianza kukohoa sana na baadae alifariki baada ya mapafu kushindwa kufanya kazi
Wakati mwanzo hakuwa na shida yoyote katika mapafu
Binafsi nashindwa kuelewa ndio maana nimekuja kuuliza
Wewe huoni kuishi na saratani ya ziwa zaidi ya muaka miwili tu ni tatizo?

Unamuacha ntu afike advanced stage halafu ndiyo unaenda kumpiga chemo, huoni tatizo hapo?
 
20241217_161050.jpg
20241217_160927.jpg

Hii nayo sijui ni kweli au la
 
Back
Top Bottom