Matibabu ya chemotherapy hupelekea vifo zaid kwa wenye saratani

Matibabu ya chemotherapy hupelekea vifo zaid kwa wenye saratani

Wakuu kuna makala nimesoma inasema kinacho waua haraka wagonjwa wenye saratani sio saratani yenyewe
Chemotherapy ndio huwaangamiza wagonjwa wa saratani kwa haraka kwanii hupelekea kuunguza viungo ndani ya miili yetu kama moyo ini figo nk
Wagonjwa walio wengi baada ya kupiga hiyo mionzi huanza kupata matatizo ya viungo vya ndani na hili madaktari hawawez kamwe kutueleza
Na hii nilisha shuhudia kwa watu wawili wa karibu wenye saratan baada ya kupiga mionzi haikupita muda walifariki
Je kuna ukweli wowote
Kama ni kweli upi mbadala wa matibabu ya saratan
Ni kweli, nina ushahidi.

Nina shemeji zangu wawili waliougua saratani kwa wakati mmoja. Niwaite A na B.

Huyu A ilianza kama jipu kwenye ziwa. Akakamliwa. Hali ilipozidi kuwa mbaya, alikwenda hospitali yenye matibabu ya juu kidogo. Huko ndiko walikomwambia hii ni saratani, aende hospitali husika na saratani kwani iko level ambayo wao wasingemudu kutibu. Wakati huo wote alikuwa anajimudu na kufanya kazi zake barabara, afya kama yote.

Huko alianzishiwa matibabu ambayo pia yalihusisha chemotherapy. Aisee, alikuwa akioewa hiyo tiba anatepeta kama ndo anakufa. Kilichofuata alinyonyoka nywele zote mwilini. Ninamaanisha alikuwa hana hata unywele popote katika mwili wake. Alizidi kudhoofika hadi sasa ana hali mbaya kiasi kwamba hawezi tena kumudu chemo. Na hali hadi sasa ni mbaya, lolote linaweza kutokea wakati wowote.

Nije kwa B, alikwenda hospitali akiwa hoi kabisa. Alianzishiwa matibabu ya mwanzo ya saratani.

Haikuwezekana kupewa chemo kutoka na kutokuwa na nguvu. Ikashauriwa apewe tu matibabu mengine hadi aimarike kiafya ndipo apewe chemo.

Afya yake ilipoimarika, wakamwambia arudi akala vizuri hadi afikie uwezo wa kumudu chemo.

Cha ajabu ameimarika kiasi kwamba anamudu majukumu vizuri sana na tunamshauri aishi kwa matumaini aachane na chemo.

Imekuwa kinyume, A aliannza matibabu akiwa na nguvu, sasa kawa mahututi. Wakati B tuliemkatia tamaa kwa namna alivyochoka, sasa kawa imara.
 
Chemotherapy ni njia maarufu ya matibabu ya saratani inayotumia dawa zenye nguvu kuua au kuzuia ukuaji wa seli za saratani. Inafanya kazi kwa kushambulia seli zinazojiunga haraka, jambo ambalo ni alama ya saratani. Ingawa chemotherapy inaweza kuwa na ufanisi katika kupunguza uvimbe na kuondoa seli za saratani, pia ina hasara na madhara makubwa.

Miongoni mwa athari kuu Chemotherapy ni uwezo wake wa kupunguza ukubwa wa uvimbe na kuboresha viwango vya kuishi katika aina mbalimbali za saratani. Inaweza kutolewa kabla ya upasuaji (matibabu ya awali) ili kupunguza uvimbe au baada ya upasuaji (matibabu ya nyongeza) ili kuondoa seli zilizosalia za saratani. Wakati mwingine wagonjwa wanaweza kupata remisioni, ambapo dalili na ishara za saratani hupungua au kuondoka kabisa.

Hata hivyo, Chemotherapy hasara zake. Hasara moja kuu ni athari kwa seli za afya, hasa zile zinazojitokeza haraka, kama seli za kwenye mfupa, njia ya mmeng'enyo, na nywele. Hii inaweza kusababisha madhara kama vile kichefuchefu, kutapika, kupoteza nywele, uchovu, na kuongezeka kwa uwezekano wa maambukizi kutokana na kupungua kwa idadi ya seli za kinga.

Zaidi ya hayo, chemotherapy inaweza kusababisha matatizo ya muda mrefu ya kiafya, ikiwa ni pamoja na uharibifu wa viungo kama moyo, mapafu, na figo. Wagonjwa wengine wanaweza kupata mabadiliko ya kiakili yanayojulikana kama "akili ya chemotherapy," ambayo yanaweza kuathiri kumbukumbu na umakini.

Mshindo wa kihemko wa chemotherapy pia unaweza kuwa mkubwa. Wagonjwa wengi hukabiliwa na wasiwasi na unyogovu kutokana na madhara ya kimwili na kutokuwa na uhakika kuhusu matokeo ya matibabu yao. Hivyo basi, ni muhimu kuzingatia faida zinazowezekana dhidi ya hasara hizi wakati wa kufikiria chemotherapy kama chaguo la matibabu.
 
Poleni kwakweli huyo B apambane na tiba nyingine za asili huenda akachomoka
Kwa mantiki hiyo chemo si nzuri kwa afya ya binadamu
Ni kweli, nina ushahidi.

Nina shemeji zangu wawili waliougua saratani kwa wakati mmoja. Niwaite A na B.

Huyu A ilianza kama jipu kwenye ziwa. Akakamliwa. Hali ilipozidi kuwa mbaya, alikwenda hospitali yenye matibabu ya juu kidogo. Huko ndiko walikomwambia hii ni saratani, aende hospitali husika na saratani kwani iko level ambayo wao wasingemudu kutibu. Wakati huo wote alikuwa anajimudu na kufanya kazi zake barabara, afya kama yote.

Huko alianzishiwa matibabu ambayo pia yalihusisha chemotherapy. Aisee, alikuwa akioewa hiyo tiba anatepeta kama ndo anakufa. Kilichofuata alinyonyoka nywele zote mwilini. Ninamaanisha alikuwa hana hata unywele popote katika mwili wake. Alizidi kudhoofika hadi sasa ana hali mbaya kiasi kwamba hawezi tena kumudu chemo. Na hali hadi sasa ni mbaya, lolote linaweza kutokea wakati wowote.

Nije kwa B, alikwenda hospitali akiwa hoi kabisa. Alianzishiwa matibabu ya mwanzo ya saratani.

Haikuwezekana kupewa chemo kutoka na kutokuwa na nguvu. Ikashauriwa apewe tu matibabu mengine hadi aimarike kiafya ndipo apewe chemo.

Afya yake ilipoimarika, wakamwambia arudi akala vizuri hadi afikie uwezo wa kumudu chemo.

Cha ajabu ameimarika kiasi kwamba anamudu majukumu vizuri sana na tunamshauri aishi kwa matumaini aachane na chemo.

Imekuwa kinyume, A aliannza matibabu akiwa na nguvu, sasa kawa mahututi. Wakati B tuliemkatia tamaa kwa namna alivyochoka, sasa kawa imara.
 
Wakuu kuna makala nimesoma inasema kinacho waua haraka wagonjwa wenye saratani sio saratani yenyewe
Chemotherapy ndio huwaangamiza wagonjwa wa saratani kwa haraka kwanii hupelekea kuunguza viungo ndani ya miili yetu kama moyo ini figo nk
Wagonjwa walio wengi baada ya kupiga hiyo mionzi huanza kupata matatizo ya viungo vya ndani na hili madaktari hawawez kamwe kutueleza
Na hii nilisha shuhudia kwa watu wawili wa karibu wenye saratan baada ya kupiga mionzi haikupita muda walifariki
Je kuna ukweli wowote
Kama ni kweli upi mbadala wa matibabu ya saratan
Acha upotoshaji, huna unachujua kuhusu unachojaribu kueleza. Chemotherapy si tiba ya mionzi, ni tiba ya vidonge na sindano. Mionzi ni radiotherapy
 
Acha upotoshaji, huna unachujua kuhusu unachojaribu kueleza. Chemotherapy si tiba ya mionzi, ni tiba ya vidonge na sindano. Mionzi ni radiotherapy
Asante kwa kunirekebisha ila nililenga chemo sema uandishi tu
sijaandika ili nipotoshe bali nimeendika nami nipate elimu kuhusu hayo matibabu ya chemo mgonjwa anapopatiwa afya hubadilika kuibuka matatizo baadhi ya viungo ndani ya mwili na muda wa kuishi huwa ni mfupi tofauti na ilivyokuwa mwanzo
 
Wakuu kuna makala nimesoma inasema kinacho waua haraka wagonjwa wenye saratani sio saratani yenyewe
Chemotherapy ndio huwaangamiza wagonjwa wa saratani kwa haraka kwanii hupelekea kuunguza viungo ndani ya miili yetu kama moyo ini figo nk
Wagonjwa walio wengi baada ya kupiga hiyo mionzi huanza kupata matatizo ya viungo vya ndani na hili madaktari hawawez kamwe kutueleza
Na hii nilisha shuhudia kwa watu wawili wa karibu wenye saratan baada ya kupiga mionzi haikupita muda walifariki
Je kuna ukweli wowote
Kama ni kweli upi mbadala wa matibabu ya saratan

Dawa yoyote ukiitumia ina maudhi madogomadogo (side effects). Chemotherapy nayo ni dawa kutibu saratani kwa hiyo mtu anapoitumia kuna maudhi madogomadogo (side effects) ataziona.

Mpaka sasa bado hakuna dawa mbadala wa kutibu saratani lakini kuna tafti zinazoendelea kwa hiyo huko mbeleni huenda kukawa na dawa zingine za kutibu saratani.
 
Kuna Dr aliwahi niambia hakuna mtu anapona kansa, kinachotokea ni kuchelewesha ugonjwa tu.

Mungu aniepushie na huu ugonjwa jamani nauogopa sana
 
Wakuu kuna makala nimesoma inasema kinacho waua haraka wagonjwa wenye saratani sio saratani yenyewe
Chemotherapy ndio huwaangamiza wagonjwa wa saratani kwa haraka kwanii hupelekea kuunguza viungo ndani ya miili yetu kama moyo ini figo nk
Wagonjwa walio wengi baada ya kupiga hiyo mionzi huanza kupata matatizo ya viungo vya ndani na hili madaktari hawawez kamwe kutueleza
Na hii nilisha shuhudia kwa watu wawili wa karibu wenye saratan baada ya kupiga mionzi haikupita muda walifariki
Je kuna ukweli wowote
Kama ni kweli upi mbadala wa matibabu ya saratan
Ukweli mtupu. Sema hawatakuelewa ambao hawajakumbwa na hilo. Mfano biopsy ni petrol Kwa mgonjwa wa cancer Bora hata akaachwa aendelee na maombi pamoja na dawa za maumivu ata savaivu kidogo
 
Oncogenes are bad or signals are bad ?
Swali lako liko very trickey 😃😃
Ila Oncogenes zenyewe kama Zenyewe hatuwezi kuziterm kama Ni BAD ila tunaweza kusema ni genes zinazoplay roles yake kwenye normal cellular processes kama growth, division, na survival ya Cells..

ila Shida inaanza pale ambapo oncogenes zikianza Kuwa dysregulated au zikiwa mutated, ambayo sasa zitafanya abnormal signals, na hii ndo mbaya..
Sasa Hiyo abnormal Signals au dysregulation inafanya cells "igrow uncontrollably",Kumbuka Cells itaanza Kuresist cell death, na Hiyo ndo husababisha cancer development..

Sasa Unajua Tricky inakuja Wapi?
😃😃
Kipi Ni kibaya kati ya Oncogenes or Signals..
Both are Not bad and Both are bad 😃😃🤣🤣
Inategemea na Utakaa wapi Kutetea 🤣🤣🤣
 
Ni kweli, nina ushahidi.

Nina shemeji zangu wawili waliougua saratani kwa wakati mmoja. Niwaite A na B.

Huyu A ilianza kama jipu kwenye ziwa. Akakamliwa. Hali ilipozidi kuwa mbaya, alikwenda hospitali yenye matibabu ya juu kidogo. Huko ndiko walikomwambia hii ni saratani, aende hospitali husika na saratani kwani iko level ambayo wao wasingemudu kutibu. Wakati huo wote alikuwa anajimudu na kufanya kazi zake barabara, afya kama yote.

Huko alianzishiwa matibabu ambayo pia yalihusisha chemotherapy. Aisee, alikuwa akioewa hiyo tiba anatepeta kama ndo anakufa. Kilichofuata alinyonyoka nywele zote mwilini. Ninamaanisha alikuwa hana hata unywele popote katika mwili wake. Alizidi kudhoofika hadi sasa ana hali mbaya kiasi kwamba hawezi tena kumudu chemo. Na hali hadi sasa ni mbaya, lolote linaweza kutokea wakati wowote.

Nije kwa B, alikwenda hospitali akiwa hoi kabisa. Alianzishiwa matibabu ya mwanzo ya saratani.

Haikuwezekana kupewa chemo kutoka na kutokuwa na nguvu. Ikashauriwa apewe tu matibabu mengine hadi aimarike kiafya ndipo apewe chemo.

Afya yake ilipoimarika, wakamwambia arudi akala vizuri hadi afikie uwezo wa kumudu chemo.

Cha ajabu ameimarika kiasi kwamba anamudu majukumu vizuri sana na tunamshauri aishi kwa matumaini aachane na chemo.

Imekuwa kinyume, A aliannza matibabu akiwa na nguvu, sasa kawa mahututi. Wakati B tuliemkatia tamaa kwa namna alivyochoka, sasa kawa imara.
B alikuwa anazingatia lishe ipi? Mmejaribu pia kumpatia soursop? Embu mpatieni kwa wingi kisha muone hali yake itakavyokuwa, inaweza kumsaidia sana.
 
Marcy Umeanza kuzungumzia chemotherapy then ukamalizia na radiotherapy, which is which? Unachanganya mambo.


Nakuomba hilo jarida ulilosoma uliweke hapa jukwaani
 
Marcy Umeanza kuzungumzia chemotherapy then ukamalizia na radiotherapy, which is which? Unachanganya mambo.


Nakuomba hilo jarida ulilosoma uliweke hapa jukwaani
Nililenga chemo lakin pia kwa mujiwa hiyo makala wanasema hata radio sio nzur katika mwili wa binadamu zote zina madhara
 
Back
Top Bottom