Wakati waziri Ndumbaro anapiga mkwara kuvaa jezi za Ubuntu Botho au Etisalat alianza na neno wao kama Serikali hawatanii na alienda mbali kusema nguvu ya vyombo vya dola itatumika kwa yeyote atakaeenda kinyume.
Hii italeta taswrira mbaya huko mbele, sisi kama wananchi tutakuwa tunajuaje lini Serikali inatania na lini inamaanisha? Mwisho tukidakwa kwenye mambo serious tuseme tulijua mnatania π
Busara ilikuwa kuchutama na kusema alikosea na kusonga mbele.
Your browser is not able to display this video.
Nukuu ya Ndumbaro
"Tunapotaka kusema tunasimamia uzalendo hatutanii na ndio maana tunakaa na viongozi wa Simba na Yanga ili wao nao wawaambie washabiki wao, atakaekwenda kinyume na maelekezo ya Serikali kwenye suala la uzalendo hatuna mswalie mtume nae....
Ukifanya fujo askari watakuchukua wakupeleke unapokaa upumzike mpaka mpira uishe.
Kwani lini serikali hii ilikiwa serious, bwana yule yupo hoi kitandani mkubwa wa mawaziri akasema anachapa kazi, kigamboni wakazindua mradi wa maji wakati hata mabomba chini hayajafukiwa. π, treni mpaka leo kizungumkuti.
Usimuamini mwanasiasa hata kidogo, hata akikwambia nje mvua inanyesha na kaingia ndani kalowa, usimuamini, toka nje ushuhudie, hata kama unaiona kwenue dirisha na kwenye bati inasikika, toka nje usikite amekodi faya wanamwaga maji. π€£
Wakati waziri Ndumbaro anapiga mkwara kuvaa jezi za Ubuntu Botho au Etisalat alianza na neno wao kama Serikali hawatanii na alienda mbali kusema nguvu ya vyombo vya dola itatumika kwa yeyote atakaeenda kinyume.
Hii italeta taswrira mbaya huko mbele, sisi kama wananchi tutakuwa tunajuaje lini Serikali inatania na lini inamaanisha? Mwisho tukidakwa kwenye mambo serious tuseme tulijua mnatania π
Busara ilikuwa kuchutama na kusema alikosea na kusonga mbele.
Nukuu ya Ndumbaro
"Tunapotaka kusema tunasimamia uzalendo hatutanii na ndio maana tunakaa na viongozi wa Simba na Yanga ili wao nao wawaambie washabiki wao, atakaekwenda kinyume na maelekezo ya Serikali kwenye suala la uzalendo hatuna mswalie mtume nae....
Ukifanya fujo askari watakuchukua wakupeleke unapokaa upumzike mpaka mpira uishe.
"Tunapotaka kusema tunasimamia uzalendo hatutanii na ndio maana tunakaa na viongozi wa Simba na Yanga ili wao nao wawaambie washabiki wao, atakaekwenda kinyume na maelekezo ya Serikali kwenye suala la uzalendo hatuna mswalie mtume nae....
Ni mwanasheria yule waziri?
Juzi Chadema wameshangilia ACT Wazalendo ilipoibiwa kura na CCM. Je,Chadema wanatakiwa kukamatwa na Polisi?
Waziri amechemsha.
Wakati waziri Ndumbaro anapiga mkwara kuvaa jezi za Ubuntu Botho au Etisalat alianza na neno wao kama Serikali hawatanii na alienda mbali kusema nguvu ya vyombo vya dola itatumika kwa yeyote atakaeenda kinyume.
Hii italeta taswrira mbaya huko mbele, sisi kama wananchi tutakuwa tunajuaje lini Serikali inatania na lini inamaanisha? Mwisho tukidakwa kwenye mambo serious tuseme tulijua mnatania π
Busara ilikuwa kuchutama na kusema alikosea na kusonga mbele.
Nukuu ya Ndumbaro
"Tunapotaka kusema tunasimamia uzalendo hatutanii na ndio maana tunakaa na viongozi wa Simba na Yanga ili wao nao wawaambie washabiki wao, atakaekwenda kinyume na maelekezo ya Serikali kwenye suala la uzalendo hatuna mswalie mtume nae....
Ukifanya fujo askari watakuchukua wakupeleke unapokaa upumzike mpaka mpira uishe.