Matinyi anasema waziri Ndumbaro alitania, wakati mhusika alisema 'Hatutanii'. Inaondoa uaminifu kwa Serikali

Matinyi anasema waziri Ndumbaro alitania, wakati mhusika alisema 'Hatutanii'. Inaondoa uaminifu kwa Serikali

Hasa mwanasiasa wa ccm.
Kwani lini serikali hii ilikiwa serious, bwana yule yupo hoi kitandani mkubwa wa mawaziri akasema anachapa kazi, kigamboni wakazindua mradi wa maji wakati hata mabomba chini hayajafukiwa. 😂, treni mpaka leo kizungumkuti.

Usimuamini mwanasiasa hata kidogo, hata akikwambia nje mvua inanyesha na kaingia ndani kalowa, usimuamini, toka nje ushuhudie, hata kama unaiona kwenue dirisha na kwenye bati inasikika, toka nje usikite amekodi faya wanamwaga maji. 🤣
 
Tena Cha ajabu, eti huyo Ndumbaro, tunaaminishwa kuwa ana shahada ya PhD ya Sheria!

Hivi inawezekanaje Kwa mtu kama huyo tunayeaminishwa kuwa amebobea kwenye Sheria, atoe matamshi, ambayo anajua fika kuwa ni kinyume Cha Sheria?🙆
PHD ya kuingia na nondo kwenye chumba cha mtihani madhara yake ndiyo hayo.
 
Nashangaa sijui kwa nini WAZIRI mwenyewe hatoki mbele kuomba radhi
 
Kwani lini serikali hii ilikiwa serious, bwana yule yupo hoi kitandani mkubwa wa mawaziri akasema anachapa kazi, kigamboni wakazindua mradi wa maji wakati hata mabomba chini hayajafukiwa. [emoji23], treni mpaka leo kizungumkuti.

Usimuamini mwanasiasa hata kidogo, hata akikwambia nje mvua inanyesha na kaingia ndani kalowa, usimuamini, toka nje ushuhudie, hata kama unaiona kwenue dirisha na kwenye bati inasikika, toka nje usikite amekodi faya wanamwaga maji. [emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom