WALOLA VUNZYA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 7,154
- 7,155
Kwani lini serikali hii ilikiwa serious, bwana yule yupo hoi kitandani mkubwa wa mawaziri akasema anachapa kazi, kigamboni wakazindua mradi wa maji wakati hata mabomba chini hayajafukiwa. π, treni mpaka leo kizungumkuti.
Usimuamini mwanasiasa hata kidogo, hata akikwambia nje mvua inanyesha na kaingia ndani kalowa, usimuamini, toka nje ushuhudie, hata kama unaiona kwenue dirisha na kwenye bati inasikika, toka nje usikite amekodi faya wanamwaga maji. π€£
PHD ya kuingia na nondo kwenye chumba cha mtihani madhara yake ndiyo hayo.Tena Cha ajabu, eti huyo Ndumbaro, tunaaminishwa kuwa ana shahada ya PhD ya Sheria!
Hivi inawezekanaje Kwa mtu kama huyo tunayeaminishwa kuwa amebobea kwenye Sheria, atoe matamshi, ambayo anajua fika kuwa ni kinyume Cha Sheria?π
Mkuu nina wake wawili na watoto wadogo sana, niache kwanza.Kumbe we muoga hivi?
Inasikitisha sana.Nchi imejaa mazuzu kuanzia juu hadi chini.
Ilikuwaje ukaongeza mke wa pili?Mkuu nina wake wawili na watoto wadogo sana, niache kwanza.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwani lini serikali hii ilikiwa serious, bwana yule yupo hoi kitandani mkubwa wa mawaziri akasema anachapa kazi, kigamboni wakazindua mradi wa maji wakati hata mabomba chini hayajafukiwa. [emoji23], treni mpaka leo kizungumkuti.
Usimuamini mwanasiasa hata kidogo, hata akikwambia nje mvua inanyesha na kaingia ndani kalowa, usimuamini, toka nje ushuhudie, hata kama unaiona kwenue dirisha na kwenye bati inasikika, toka nje usikite amekodi faya wanamwaga maji. [emoji1787]