Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Titties, boobies, cantaloupes, watermelons, puppies, and twins. That's what's cooking. Now do you smell what O.P.P. is cookin'?
looks like we hav had an unprecedented metamorphosis here.......
Why do you say that?
ooh c'mon now...lemme have a look....dayum i have been 'overwhelmed' by these non-nonsensical issues away from here...? Sorry buddy!
Matiti ni mali yangu mwenyewe!!! Ninayaruhusu kutumiwa na mwingine (mtoto, mume) kulingana na mahitajio na mazingira. Full stop!!!!
Matiti ni hoteli ya mtoto.akikua basi yanaendelea kuwa ya mama.Sasa nyie wakubwa wazima mnataka matiti ya nini? Mnatia aibu kugombaniana na watoto matiti.wapeni nafasi yao jamani......
Mie najua kushikilia vizuri mwaya, hayataangua, I promise!oops sorry babu,nilitaka kusema yangu yananyonywa na ambao bado hawajaota meno.pamoja na hayo ni mali yangu hata hao ambao hawajaota meno nikiona watayaangusha ntawanyima.
Mbona hujafafanua hapa sasa mammy, huu ushirika ni wa kununuliwa kama hisa au nkivipi? na mie niko humo au thimo?swali gumu mmmmmmmhhhhhhhhh mali ya shiria.. :grouphug:
Wengine wameoa sababu ya matiti.
Hahahahahahahahahaha......lolWanawake wote habari senyu.........:hungry::hungry:....... samahani kwa hii off topic, hivi mtoto akinyonya nyonyo mnajisikia vilevile kama akinyonya baba watoto? Nauliza kwasababu sijawahi kuwasikia mkiguna kimahaba wakati watoto wakinyonya. Samahani kama nimewakwaza.:whoo::whoo::whoo:
Hivi umiliki wa matiti haujafikia muafaka?
ahahahahahaha!
duduuuuuuuuuuuuuuuuuuuuzzz
OKAY OKAY WAJAMENI,
basi kwa haraka haraka kidogo hebu tuhabarishane nini hapa vile kinajadiliwa?
Kwa hiyo mnataka kuniambia bado hamjakonkludi kuwa nani mwenye hisa kubwa zaidi ya umilikaji wa matiti?
kabatin kwa mama bg kuna ata kilemba chako?