SI KWELI Matiti ya mwanamke hudondoka yanapoguswa guswa na viganja vya wanaume

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Manyonyo kusimama, kuanguka, ukubwa ama udogo wake huwa ni genetics, hayo mengine uliyoyataja yanachangia % ndogo sana; sawa na kwa wanaume size ya shipa huwa ni kurithi (genetics)
 
Kimboka tiptop sugar ray uwanja Sufi.nk wakuje hapa
 
Sio kweli, hiyo inaendana na maumbile ya mtu husika, mimi binafsi kuna changudoa nilianza kutafuna mwaka jana, hadi leo hii ana chuchu dodo.
 
Umeeleweka Mkuu, Tatizo ni hao Vijana wahovyo huko mtaani hii elimu itawafikiaje ?
kwasab wadada wengi wenye umri WA Kati na Mdogo wanapigwa vibuti Kwa sababu saa zao hazisom saa 6 wakichukuliwa kama wamesoma kilomita nyingii
 
Mtakuja na tafuti chonganishi eti na mbupu nazo zikilegea ni kunyonywa sana
 


Hainiongezei au kunipunguzia kitu
 
inategemea na maumbile matiti kuwa ndala inaletwa na maumbile na sio kushikwa Mimi Mdogo wangu tumuite Mwasope yeye kawekewa ulinzi Kama wa JWTZ wenye A47K lakini titi zimelala je Nani kaziliza na yupo around 17 yrs tu
Kam analindw 24/7 Nd Lete hoja Ila Kam kuna muda anakuw kivyake bas wajuba washamsanukia
 
AsaNte kwa taarifa wengine tutawaondea ukakasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…