Hawachi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 12,010
- 54,194
Unataka jibu gani zaidi la hilo mpendwa yaani kuhusu maumbile huwezi kusema why niko hivi ukaeleza kwa ufasaha.Haijafungwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka jibu gani zaidi la hilo mpendwa yaani kuhusu maumbile huwezi kusema why niko hivi ukaeleza kwa ufasaha.Haijafungwa
Unaweza kuta ana watoto 6
OK tuje kwenye maziwa unazuiaje yasilaleKuna vitu tunaweza vizuia mapema , havihusiani kabisa na maumbile ya kuzaliwa.
Mfano mtu kuwa bonge,
OK tuje kwenye maziwa unazuiaje yasilale
Sawa nadhani hujaelewa swali. Maziwa kulala ji kawaida ila unakuta wengine baada ya kuzaa maziwa yanakua makubwa hadi sidiria ya kuvalisha kuipata ni mbinde.Mimi nijuavyo maziwa yaliyosimama ni ya
1.Binti mdogo anayeanza kuvunja ungo,
2. Mwanamke anayepiga deki
Na
3. Mwanamke aliyevaa brazia.
Kinyume na hapo maziwa yote ya waliobakia yamelala
Ukute ata ya ng'ombe hajayaona we msaidie ti[emoji23][emoji23]Umeona ya wangapi?
Sawa nadhani hujaelewa swali. Maziwa kulala ji kawaida ila unakuta wengine baada ya kuzaa maziwa yanakua makubwa hadi sidiria ya kuvalisha kuipata ni mbinde.
Wengine baada ya kuzaa utakuta bado vimejaa
Wengine maziwa yanalala kabisa utadhani tissu yote ya ziwa imekamuliwa.
nimekuelewa sana mkuu.. suala hili linajibiwa kisayansi zaidi na si kimtazamo wa nje... nikipata muda wa kutosha leo nitakujibu na namna inavyoweza kupunguzwa na sio kuisha kabisa maana kinahusisha zaidi ni hormone katika miili yetu ahsanteHujaelewa swali.. kutepeta kwa matiti ni kawaida lakini kwanini wengine baada ya kuzaa yanakuwa makubwa hadi yanawalemea?
Haya Ndiyo Yanayotuchelewesha Kwenye MaendeleoSasa hivi ndiyo tumeanza kujadili hadi matiti ?Kweli maendeleo hayapendagi mavyama.