Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutoka namba moja mpaka 400 unaona ni kawaidaKwa sie tusioangalia mtoto ameshika namba ngapi au shule imeshika namba ngapi, naweza kusema matokeo ni mazuri maana 78% ya wanafunzi wamepata Division 0ne ambao wote wana uhakika wa kwenda chuo kikuu (mchawi ni bodi ya mkopo na mzazi kushindwa kulipa ada tu). Na hao wa Division 3 huenda kuna kadhaa nao wanaweza wakapata nafasi chuo kikuu kama wana D mbili na wengine wanaobaki wanapiga Diploma
Hio 400 umeitoa wapi?Kutoka namba moja mpaka 400 unaona ni kawaida
Tuwekee na ushahidi wa hio nafasi ya 400+...watu hawana div 4 wala zero 400 wamefikaje? Shule ya kata kutokua na div 0 or 4 tena huko mkoani wamejitahidi sana. Kuna Shule kubwa tu hapa jijini hayo matokeo hawana.
Tuwekee na ushahidi wa hio nafasi ya 400+...watu hawana div 4 wala zero 400 wamefikaje? Shule ya kata kutokua na div 0 or 4 tena huko mkoani wamejitahidi sana. Kuna Shule kubwa tu hapa jijini hayo matokeo hawana.
Hiyo 78% ya division one umeipataje…?Kwa sie tusioangalia mtoto ameshika namba ngapi au shule imeshika namba ngapi, naweza kusema matokeo ni mazuri maana 78% ya wanafunzi wamepata Division 0ne ambao wote wana uhakika wa kwenda chuo kikuu (mchawi ni bodi ya mkopo na mzazi kushindwa kulipa ada tu). Na hao wa Division 3 huenda kuna kadhaa nao wanaweza wakapata nafasi chuo kikuu kama wana D mbili na wengine wanaobaki wanapiga Diploma
Ngoma ya watoto haikeshi aisee nimeamini🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tupe hayo matokeo ambayo ilishika namba moja tuyaone
Wamejitahidi sana,hawana 4 wala ziro
Hiyo nafasi ya kwanza nayo atupe link yakeHio 400 umeitoa wapi?