Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,503
- 13,463
Safi sana!Tupe hayo matokeo ambayo ilishika namba moja tuyaone
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi sana!Tupe hayo matokeo ambayo ilishika namba moja tuyaone
Sorry nilimaanisha Division 1 and 2 ni 78% na ndio maana Division 3 nikawatenga, naona kichwa kilikuwa mbele kuliko kuandikaHiyo 78% ya division one umeipataje…?
Hebu tufanyie hesabu utuambie na division 2 zipo asilimia ngapi boss…!!
Namba 400 lakini asilimia kubwa wametimiza kigezo cha kuingia chuo kikuu, hicho ndio cha msingi. Na matokeo haya yanaweza kutumika kama chachu ya kuwahimiza wanafunzi waliopo waweze kufanya vizuri kama wale ambao walisababisha shule kuongozaKutoka namba moja mpaka 400 unaona ni kawaida
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Angalia trend bro,kutoka 1 mpaka 400 mwakani watakuwa 800 wanapotea hivyoNamba 400 lakini asilimia kubwa wametimiza kigezo cha kuingia chuo kikuu, hicho ndio cha msingi. Na matokeo haya yanaweza kutumika kama chachu ya kuwahimiza wanafunzi waliopo waweze kufanya vizuri kama wale ambao walisababisha shule kuongoza
Sijakataa mkuu ila ni fursa ya kujifanyia tathimini pia kuangalia wapi wamekoseaAngalia trend bro,kutoka 1 mpaka 400 mwakani watakuwa 800 wanapotea hivyo
Una uhakika ishaikuwa namba moja!?Angalia trend bro,kutoka 1 mpaka 400 mwakani watakuwa 800 wanapotea hivyo
Kwani hapo wamefeli wangapi, ukute unaewadisc una cheti Cha itKutoka namba moja mpaka 400 unaona ni kawaida
Chato sec school haijawahi kuwa ya Kwanza wala top ten wakubwa!!!! Hebu tupeni mwaka yani walifanikiwa kias hicho?Angalia trend bro,kutoka 1 mpaka 400 mwakani watakuwa 800 wanapotea hivyo