Hahahaaa. Kama naona watakavyokuvaa na Povu ndugu zangu wa Nguvu Moja.
Ikitokea tumeshinda Leo mtani, na alhaly akampiga vita ama Ku draw nae tunajitingia zetu robo fainal Leo Leo hii. Majirani mtatafuta sehemu ya kujificha kwa mdaYah Mtani. Na kama leo mi ni Mualgeria kabisaaaaa.
😅😅😅sIMBA ANAKUFA NYING SI CHINI YA GORI 4
Hahaaaa. Yamebaki masaa machache tu Mtani.Ikitokea tumeshinda Leo mtani, na alhaly akampiga vita ama Ku draw nae tunajitingia zetu robo fainal Leo Leo hii. Majirani mtatafuta sehemu ya kujificha kwa mda
Baadae ntakuita hapa boss, usije ukajificha
Tutawafungia hofo, zile 3. Kavu tulizowapiga kwa mchina bado wana kumbu kumbu nazoHahaaaa. Yamebaki masaa machache tu Mtani.
Hapo sijui nani atajificha kesho.
Huyo atakuwa roho mtakavituRoho mtakatifu kaniambia Simba na Ahyl ndo watasonga mbele.
Tusubiri tuone Mtani usije potea tu tusikuoneTutawafungia hofo, zile 3. Kavu tulizowapiga kwa mchina bado wana kumbu kumbu nazo
Hahahaaaaa. Umekuwa kama Ghazwat unavyojipa moyo na kisahau kule sio Uwanja wa Lipuli wala Stand Mtani.Baadae ntakuita hapa boss, usije ukajificha
Kihemu hemu kipo mtani, si unajua waarabu kwa fitna wana tuchezesha usiku wa SAA 4 tena wenye baridi kaliHahahaaaaa. Umekuwa kama Ghazwat unavyojipa moyo na kisahau kule sio Uwanja wa Lipuli wala Stand Mtani.
Maana yule Nguvu moja mwenzio Simba ikifungwa huwa anapita kimya kimya na nahisi anapataga homa. 🙈
You will see today. As vita anashindwa,Simba anashinda.
Umeonaee. Na msisahau kwamba kwa Mkapa mliwafanya nini ni dhahiri nao watataka kulipiza na kujiweka katika nafasi nzuri pia.Kihemu hemu kipo mtani, si unajua waarabu kwa fitna wana tuchezesha usiku wa SAA 4 tena wenye baridi kali
Hawataki kuamini kwamba Leo tunamaliza kila kitu, mechi yetu na vita pale kwa mchina itakuwa kama ya kirafiki tuYou will see today. As vita anashindwa,Simba anashinda.
Umeonaee. Na msisahau kwamba kwa Mkapa mliwafanya nini ni dhahiri nao watataka kulipiza na kujiweka katika nafasi nzuri pia.
Mara paap hichi ulichoandika kitimie.........Usiyasubiri matokeo ya Al Ahl na Saoura,kesho tunafunga file la group D. Saoura anakula kichapo kwao, Al Ahl atampa at least draw AS Vita. Kama unabisha jifanye kama unajikuna
Woow! habari njema hii ngoja tusubiri tuone.Roho mtakatifu kaniambia Simba na Ahyl ndo watasonga mbele.