Matokeo As Vita vs Al Ahaly yaweje?

Matokeo As Vita vs Al Ahaly yaweje?

Watoke Droo,Kisha Simba ashinde,Simba atakuwa na point 9,point zitakazoweza kufikiwa na kupitwa na Al ahly tu,Vita na Saoura watakuwa na point 5 hata wakishinda game zao za mwisho wataishia point 8 ambazo zitakuwa zimeshapitwa na Simba,kifupi wakitoka droo na Simba ikashinda tutaenda airport kuwapokea Simba kama mashujaa

Sent using Jamii Forums mobile app
wacha wee
 
Back
Top Bottom