Matokeo Biharamulo: Chadema yaongoza Mijini, CCM vijijini!


pole sana Mkuu
labda wamepata kutoka Tume maana hapa taarifa tunazopata ni kuwa tume imetangaza ila chadema wamekataa na hivyo bado kuna malumbano
 
Mzee hivyo ndivyo...afadhali mugabe siyo mnafiki hawa CCM bado watajipendekeza kwa donors ...wameshawazunguka...sijui kama sauti zetu zitaungwa mkono ..obviously (viongozi wa upinzani) wafanye move ambayo italeta impact to the world media otherwise jamaa watatuumiza sana chini kwa chini..wapemba unakumbuka walichofanywa...afadhali mombasa ni karibu..
 
hivi kwanini Muungwana, hajahudhuria hata kampeni moja ya uchaguzi mdogo si kiteto, tarime, mbeya busanda, magogoni wala bhmulo au zote zinafanyika akiwa angani kwenda kualika wawekezaji kama Steve Seagal, barrick. Au anaogopa zomea zomea ya maskini
 
pole sana Mkuu
labda wamepata kutoka Tume maana hapa taarifa tunazopata ni kuwa tume imetangaza ila chadema wamekataa na hivyo bado kuna malumbano

jamani ebu ni habarishene vizuri maana naona mna nichanganya hapa.CCM wameshinda au hawajashinda? kama tume imetangaza CCM imeshinda kuna malumbano ya nini tena,si ndio kawaida yao kulalamika then wananyamaza?
 
2010 serikali haina majeshi ya kuweza kuzuia fujo bara na visiwani, na waamini wa ZNZ lazima watakiwasha na kikiwaka ZNZ na bara lazima kiwake
Mwakani kutakuwa na ratiba tofauti za uchaguzi za ZEC na NEC wewe utaona moja ya sababu itakuwa security ili wathibiti eneo moja la muungano wapange matokeo then waende eneo jingine ...I gues tusibiri tuone..
 
Mwakani kutakuwa na ratiba tofauti za uchaguzi za ZEC na NEC wewe utaona moja ya sababu itakuwa security ili wathibiti eneo moja la muungano wapange matokeo then waende eneo jingine ...I gues tusibiri tuone..

Ilishatokea hiyo Mkuu unakumbuka? na ina impact kubwa sana
 
Naona umenyofoa thread yangu.....umeigeuza update
 
kwa nini ccm ikishinda si democracy?

Haishindi inatumia janja ya nyani wajue wanajipalia makaa umeona mwenyewe haya malalamiko ,huu ni uwakilishi tuu ,ukeli ni kuwa hasira za watu wengi ziko kama unavyoshuhudia hapa
 

Ad hominem at its best! sasa Masatu kishakuwa mada! familia yangu, kipato changu, elimu yangu vinakuhusu nini wewe? I can be hypocrite but you are STUPID! kwa kutoheshimu demokrasia unayo jidai kuipigania.

CCM ina wenyewe granted! Chadema je? au wewe unatoka kwenye house of Mbowe, Ndesamburo, Mtei etc? Shame on you big and bad loser!
 
Ilishatokea hiyo Mkuu unakumbuka? na ina impact kubwa sana
Kwa ustaarabu wa kura tutasubiri sana mageuzi ya kweli...kwanini hawa viongozi wa upinzani (CUF na Chadema) wasiandae wananchi wa Tanzania tukafanya green revolution tunadai
a) katiba mpya
b) tume huru before 2010
Mimi naona wakati ndio huu everyone is so angry in this country maendeleo yatoke wapi?? kila mtu apigwa kivyake kama siyo kwa ufisadi basi kwa kura kuibwa nk...
 
Tume ya Uchaguzi imetangaza ndoto ya Kikwete aliyoota usiku. Kama unaamini ndoto za Raisi ni reality basi CCM wameshinda Biharamulo na Tume haijabadilisha matokeo ya baadhi ya vituo.
 
They are very crap!! No human in there; there plastics with a breath or unthinking robot; where death of its people is ceremony for them; shame on CCM and its alies; someone must get us out of these mud; we are stack; nation with no focus; im afraid the coming of this country; are these guys here and ready to kill ( if possible) their own people!! Shame on them in name of GOD
 
Last edited:
Kuamrisha Tume ya Uchaguzi kutangaza chama cha Rais kimeshinda ni utawala mbovu. Shame on you Kikwete!
 
Imejidhihilisha wazi kuwa ccm , ni nambari wani kweli kweli, Wana Kagera wameelimika hawawezi kuichagua ndio maana Chadema wameyakataa matokeo,

najiuliza na sisi wote tujiulize, kila mahali wanashinda wao na upinzani wanapinga, nani mkweli na nini kifanyike?
 
Wizi mtupu na ufisadi mpaka kwenye uchaguzi hivyo mambo yote yana mwisho wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…