Matokeo Biharamulo: Chadema yaongoza Mijini, CCM vijijini!

Matokeo Biharamulo: Chadema yaongoza Mijini, CCM vijijini!

CUF na TLP walikuwa wasindikizaji kwenye mbio hizi... Kura zao zinaashiria kuwa walikuwa wanapoteza muda tu, baadhi ya vituo walikuwa wanapata kura 0!

Nimesoma kitu kimoja tangu chaguzi ndogo zianze, CHADEMA na CCM sasa hivi ushindani ni kama CUF na CCM Zanzibar.

Tunaenda vizuri kwa maoni yangu!!!

CHADEMA inatakiwa kupata resources tu za kutosha na akina Kitila Mkumbo waombe likizo wakasaidie Chama. especially akaungane na Benson Kigaila... hivi ndio vichwa ninavyoamini pale CHADEMA.
 
Hongera CHADEMA.

Hizi ni salaam kwa wabunge wa CCM kwamba 2010 inabidi wakae sawa, siyo kama zamani kwamba mtu akiteuliwa na CCM basi anajitwalia jimbo kiulaini. Sasa itabidi watu wasimame na wahesabiwe kwamba wako kwa maslahi ya chama chao ama maslahi ya wananchi/Taifa?
 
CUF na TLP walikuwa wasindikizaji kwenye mbio hizi... Kura zao zinaashiria kuwa walikuwa wanapoteza muda tu, baadhi ya vituo walikuwa wanapata kura 0!

CUF nao kwisha habari yake. Viongozi wajifunze kusimamia integrity zao na waache kuambatana na mafisadi. Maana kitendo cha Lipumba na Hamadi kuegemea upande wa fisadi RA wakati wa ugomvi wa mafisadi papa na fisadi nyangumi kimewa-put off wananchi.
 
Samahani kuwa Sheikh Yahya kwa hili.

Nadhani tukubaliane kwamba CUF is over!!!
 
Kasheshe,

Upinzani Tanzania Bara unaonekana kuwa baina ya CCM na CHADEMA... CUF inaanza kupoteza umaarufu kwa kasi tu, hapa ndipo naikumbuka topic moja hoja moja hapa JF inayouliza "Nini tatizo la CUF"
 
CUF na TLP walikuwa wasindikizaji kwenye mbio hizi... Kura zao zinaashiria kuwa walikuwa wanapoteza muda tu, baadhi ya vituo walikuwa wanapata kura 0!

Mkuu hii inatia aibu. Tunapoelekea ni Tanzania kuwa na two parties kama Marekani sasa. Haingii akilini vyama ambavyo vina simamisha wagombea wa uraisi kufanya vibaya kiasi hiki. Walipo ambiwa wamsimamishe mgombea mmoja wa Chadema wakaweka ngumu kumbe hata there support was not needed. Bonge la aibu kwa Mrema.
 
Samahani kuwa Sheikh Yahya kwa hili.

Nadhani tukubaliane kwamba CUF is over!!!

CUF ni Maalim Seif + Pemba mazee.... sehemu nyingine za Tz ni wasindikizaji tu...Nadhani ingekuwa busara kama wangekubali kuunganiasha nguvu zao na CHADEMA, (ikiwa wataweza kuweka uislam pembeni)
 
kumbe siwapendi CCM......najihisi kama vile nina furaha
 
Kasheshe,

Upinzani Tanzania Bara unaonekana kuwa baina ya CCM na CHADEMA... CUF inaanza kupoteza umaarufu kwa kasi tu, hapa ndipo naikumbuka topic moja hoja moja hapa JF inayouliza "Nini tatizo la CUF"

Viongozi wa CUF hawana misimamo ya kueleweka na hii inatia wasiwasi sana. Pia huwa wanadandia issues na kuzitolea misimamo bila kutafakari madhara yake.
 
CUF nao kwisha habari yake. Viongozi wajifunze kusimamia integrity zao na waache kuambatana na mafisadi. Maana kitendo cha Lipumba na Hamadi kuegemea upande wa fisadi RA wakati wa ungomvi wa mafisadi papa na fisadi nyangumi kimewa-put off wananchi.



Asante Mungu kujibu maombi ya waja wako, nikiwemo mimi binafsi niliye kuomba jana uwape Hekima wana B'mlo kutoa adhabu stahiki kwa watu wazima na akili zao kuamua kusimamia uongo kwamba Oscar ni raia ili hali wanaujua ukweli!. Asante wana B'mlo kwa kufanya kile ambacho wale waongo hawakukitegemea.

Mbassa, fanya kazi uliyo iomba uwasaidie wana B'mlo kupata maendeleo, la msingi kaa jimboni kwako, banana na hao viongozi wa halmashauri ilipesa zinazo elekezwa huko zifanye kazi iliyo kusudiwa.

Mbarikiwe sana wote mlijitolea kutuhabarisha.
 
Kama kweli CUF ina nia njema na ukombozi wa watanzania waungane na chadema kiwe chama kimoja kwani CUF bado wanakampumzi Zanzabar na Chadema wanapuma kwa kasi Tanganyika itaweweka pazuri sana kupambana na CCM la sivyo Cuf itakufa taratibu kama NCCR na TLP.
 
Hongereni sana wana CHADEMA..... mjue hii ni dalili ya mvua na hivyo inabidi kuanza kuangalia na kujipanga for 2010.... nadhani hawa walipo madarakani kwa sasa nao wameanza kupata wasiwasi hivyo ni kufunga mkanda.......
 
Viongozi wa CUF hawana misimamo ya kueleweka na hii inatia wasiwasi sana. Pia huwa wanadandia issues na kuzitolea misimamo bila kutafakari madhara yake.

...taratibu mzee, unamaanisha Prof. Lipumba akikaa na laptop yake pale Buguruni anaandika na kuita waandishi wa habari na kusemea lolote analotaka akisema ni msimamo wa chama chake?
 
Dr. Mbassa nakuombea maisha salama na .kabana na baba mdogo wa taifa akupe mbinu za kupambana na fitna za sisiem.

THANK YOU THE TRUE GOD, THANK YOU
 
CUF ni Maalim Seif + Pemba mazee.... sehemu nyingine za Tz ni wasindikizaji tu...Nadhani ingekuwa busara kama wangekubali kuunganiasha nguvu zao na CHADEMA........

Hamna haja ya kuunganisha nguvu tena. Kama unavyo ona matokeo ya B'mulo hata kama CUF ingeungana na Chadema wala wasinge badilisha chochote. Labda tuseme tuu waungane ili wawe na mgombea kwa visiwani.
 
CUF ni Maalim Seif + Pemba mazee.... sehemu nyingine za Tz ni wasindikizaji tu...Nadhani ingekuwa busara kama wangekubali kuunganiasha nguvu zao na CHADEMA, (ikiwa wataweza kuweka uislam pembeni)

Ndugu, watawekaje uislamu pembeni?? waache kuwa-waislamu khaa...huko chadema hakuna uislamu ebo mbona balaa sasa...onyesheni uso zenu...uislamu ni zaidi ya chama/siasa... be infomed.
 
CUF nao kwisha habari yake. Viongozi wajifunze kusimamia integrity zao na waache kuambatana na mafisadi. Maana kitendo cha Lipumba na Hamadi kuegemea upande wa fisadi RA wakati wa ugomvi wa mafisadi papa na fisadi nyangumi kimewa-put off wananchi.

rmashauri..
Kwenye dini ya kiislam unapoona muislam mwenzako anapambana na mgalatia ni mwiko kabisa kumtupa hata kama unajua ametenda makosa mabaya... hivyo usitegee Game theory amseme vibaya Ustaadhi Idrisa wa tanesco au Prof. Lipumba amseme vibaya sheikh Rostam Aziz...
 
Ngoja nikatume salamu redio maria....
 
Back
Top Bottom