Semilong
JF-Expert Member
- Mar 5, 2009
- 1,711
- 220
nimeenda kulala najua chadema wameshinda, nimeamka nikasema ngoja niangalie kuna nini kipya sherehe za hushindi n.k, mara naona kicha cha habari kingine kulikoni...
nilivyoona jimbo la biharamulo magharibi nikazania jana kulikuwa na chaguzi mbili moja ya biharamulo na nyigine ya biharamulo magharibi kwa hiyo chadema wameshinda biharamulo na ccm biharamulo magharibi kumbe ni hilo jimbo moja, I am shocked
kila nchi imemwaga damu ili kupata demokrasia na Tanganyika sio tofauti, ZNZ wameshamwaga damu tiyari angalau kura za pemba haziibiwi
Tanganyika wakati wa kuamka ndio sasa, lakini kinachonishangaza kuna watu wengi ambao ni fukara na washabiki wa kubwa wa ccm je hawajiulizi ccm imewafanyia nini
upinzani usikubali kuingia bungeni, ugomee kuingia bungeni...
wabunge wa ccm hawawezi kukaa peke yao
nilivyoona jimbo la biharamulo magharibi nikazania jana kulikuwa na chaguzi mbili moja ya biharamulo na nyigine ya biharamulo magharibi kwa hiyo chadema wameshinda biharamulo na ccm biharamulo magharibi kumbe ni hilo jimbo moja, I am shocked
kila nchi imemwaga damu ili kupata demokrasia na Tanganyika sio tofauti, ZNZ wameshamwaga damu tiyari angalau kura za pemba haziibiwi
Tanganyika wakati wa kuamka ndio sasa, lakini kinachonishangaza kuna watu wengi ambao ni fukara na washabiki wa kubwa wa ccm je hawajiulizi ccm imewafanyia nini
upinzani usikubali kuingia bungeni, ugomee kuingia bungeni...
wabunge wa ccm hawawezi kukaa peke yao