Matokeo darasa la Saba 2021: Kagera yaporomoka, Kilimanjaro mambo safi

Matokeo darasa la Saba 2021: Kagera yaporomoka, Kilimanjaro mambo safi

Kushuka kitaaluma kwa mkoa husika si jambo la kulichukulia haraka haraka. Ukianza kutafiti kidogo kidogo utapata sababu za msingi.

Kuna morale ndogo ya masomo, sera mbovu za mkuu wa mkoa, usimamizi mbovu wa shule n.k
Umesahau aina ya wanafunzi wa mwaka husika (kuna mwaka unalamba vilaza darasa zima)
 
Hebu tazama hiki kijiji huko bukoba




Nyie bakini na takwimu zenu ..oh kagera ni maskini.


Watu wanajijenga hatari huko bukobaView attachment 1992550View attachment 1992551View attachment 1992553View attachment 1992554
Huko uchagani makazi ya vijijin ni Bora kwa 90% Tena tangu zamani kwahilo Wala Hakuna jipya kwetu hata maghorofa migombani yamejaa labda uji compete na watani zako kigoma ndio mpo level moja[emoji2]
FB_IMG_16336928880157549.jpg
1083589743.jpg
FB_IMG_16256296756671646.jpg
 
Wageni wanatoka wapi? Dar na Pwani bado wenyeji Wana make most of population. Learn to appreciate other people success!
Dar wazaramo wapo kwa 20% tu 80% ni wageni kila idara kwanzia matajiri,wasomi,wanafunzi etc
 
Kagera ni million tano ya nyoko[emoji23]


Jiji gan mnalo nyinyi zaidi ya vilabu vya mbege vya miatano....


Moshi pamoja na kuwa na stendi lakin bado pameduwaaa Kama Tanga
Vilabu haata bukoba vipo vya rubisi
Kama imeduwaa mbona inakusanya hela nyingi KULIKO bukoba? Hela inakaa palipoduwaa? [emoji2][emoji2]
 
Braza acha kujiaminisha na tafiti zako za uongo. Dar asilimia kubwa ni wenyeji,wageni ni wachache sababu wenyeji hawaongei kiswahili. Na kwa taarifa yako wenyeji sio wazaramo peke yake kuna Wandengereko. Jivunie kwenu Kishumundu acha kujipachika mikoa ya watu.
Dar wazaramo wapo kwa 20% tu 80% ni wageni kila idara kwanzia matajiri,wasomi,wanafunzi etc
 
Braza acha kujiaminisha na tafiti zako za uongo. Dar asilimia kubwa ni wenyeji,wageni ni wachache sababu wenyeji hawaongei kiswahili. Na kwa taarifa yako wenyeji sio wazaramo peke yake kuna Wandengereko. Jivunie kwenu Kishumundu acha kujipachika mikoa ya watu.
Kwetu najivunia ndio maana KILIMANJARO ipo vizuri idara zote
Ila kwa dar huwez niambia wwnyeji wame dominate nikakubali hebu nitajie watu maarufu wanaovuma dar ambao ni wwnyeji iwe KWENYE elimu,uchumi nk
 
Kwetu najivunia ndio maana KILIMANJARO ipo vizuri idara zote
Ila kwa dar huwez niambia wwnyeji wame dominate nikakubali hebu nitajie watu maarufu wanaovuma dar ambao ni wwnyeji iwe KWENYE elimu,uchumi nk
Hatuna huo ujinga wa kukariri watu wenye elimu,utajiri,pesa, umaarufu na kuwalamba miguu kama watu wa mikoani.
 
Hatuna huo ujinga wa kukariri watu wenye elimu,utajiri,pesa, umaarufu na kuwalamba miguu kama watu wa mikoani.
Nyie dar ni kama vibarua tu wenye hela zao ni wakuja,wageni wamewanunua wamewasukuma mkuranga na kisarawe pale mjini 95% ya watu maarufu ni wageni huo ndio ukweli
 
Nyie dar ni kama vibarua tu wenye hela zao ni wakuja,wageni wamewanunua wamewasukuma mkuranga na kisarawe pale mjini 95% ya watu maarufu ni wageni huo ndio ukweli
Endelea kukataa kwenu....Alafu utakuta upo Kimara umekimbilia kulima ndizi Kishumundu,unaona aibu kutambulisha kijiji kwenu unapotoka!😀 Unang'ang'ania Dar. Anyway Mkuranga,Kisarawe,Kibaha, Rufiji,Kibiti,Bagamoyo,Mafia,Temeke,Kinondoni,Ubungo,Ilala na Kigamboni kote ni nyumbani kwa Wadar es salaam. Dar Ni Center/mji mkuu wao.
 
Endelea kukataa kwenu....Alafu utakuta upo Kimara umekimbilia kulima ndizi Kishumundu,unaona aibu kutambulisha kijiji kwenu unapotoka![emoji3] Unang'ang'ania Dar. Anyway Mkuranga,Kisarawe,Kibaha, Rufiji,Kibiti,Bagamoyo,Mafia,Temeke,Kinondoni,Ubungo,Ilala na Kigamboni kote ni nyumbani kwa Wadar es salaam. Dar Ni Center/mji mkuu wao.
Tupo kote kote KILIMANJARO kuna nyumba Kali vijijin KULIKO hata baadhi za dar
Sisi hatukai eneo moja kama mimba tunasambaa duniani kote ila Kilimanjaro ndiko kwetu na tumeboresha sana hasa vijijin makazi ya kisasa ni 90% mijengo ya balaa
Njoo December Kilimanjaro kwa mwaliko wangu uweze kuthibitisha nachosema
 
Back
Top Bottom