Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,775
- 29,746
Wakuu kwema?
Yanga leo imefikia kilele cha Wiki wanayoiita wenyewe ya Wananchi. Wametambulisha wachezaji wao wa timu ya wakubwa huku timu zao zote 3 (Wakubwa, Vijana na Wanawake) zikicheza michezo ya kirafiki.
Sasa timu ya vijana ilifungwa na timu ya Cambiaso Academy Sport inayofundishwa na Mecky Mexime. Timu ya Wanawake ikasuluhu 1-1 na Ilala Princess. Na ya Wakubwa mpaka sasa ishachapwa 2-1 na Zanaco ya Zambia.
Yaan mechi tatu wamefungwa mbili, wakasuluhu moja. Hii inaashiria nini? Ndio mwanzo mbaya wa matokeo Yale yale?Je pamoja na kusajili Sana kutakua na maendeleo yoyote kwa watani zetu hawa?
Au tuwape tu moyo kua hizi ni mechi za kirafiki lakini wako vizuri?
Yanga leo imefikia kilele cha Wiki wanayoiita wenyewe ya Wananchi. Wametambulisha wachezaji wao wa timu ya wakubwa huku timu zao zote 3 (Wakubwa, Vijana na Wanawake) zikicheza michezo ya kirafiki.
Sasa timu ya vijana ilifungwa na timu ya Cambiaso Academy Sport inayofundishwa na Mecky Mexime. Timu ya Wanawake ikasuluhu 1-1 na Ilala Princess. Na ya Wakubwa mpaka sasa ishachapwa 2-1 na Zanaco ya Zambia.
Yaan mechi tatu wamefungwa mbili, wakasuluhu moja. Hii inaashiria nini? Ndio mwanzo mbaya wa matokeo Yale yale?Je pamoja na kusajili Sana kutakua na maendeleo yoyote kwa watani zetu hawa?
Au tuwape tu moyo kua hizi ni mechi za kirafiki lakini wako vizuri?