Liz Senior
JF-Expert Member
- Apr 19, 2007
- 483
- 53
mkuu dodoma sec bado inagoma ila inawezekana midamida ikakubali ,so ikikubali nitakuwekeaJamani naombeni mtu aniwekee hapa .doc ya dodoma secondary S.0306
Net hapa inasumbua kufungua page za hiyo wizara....
mkuu bado haujafanikiwa?
u r welcome!Ungekuwa karibu ningekununulia mzinga mmoja....asante mkuu hata kama nilichoambiwa nikiangalie nimekuta matatizo
Jamani naombeni mtu aniwekee hapa .doc ya dodoma secondary S.0306
Net hapa inasumbua kufungua page za hiyo wizara....
S0262 AMANI GIRLSNitashukuru sana nikipta matokea ya amani secondary school
Jitegemee Secondary School Nimeyaweka hapa:mkuu naomba uweke ya jitegemee
pia mkuu naomba unisaide shule moja yenye namba S3674.. ni st .. millenium.
Mama umekosea; kuna shule hizi:invisible naomba uniwekee nzunzuri sec school
Mama umekosea; kuna shule hizi:
S0606 ZUNZULI na P0606 ZUNZULI CENTRE
Ipi wahitaji?
Mimi niwekee makongolosi sec school, chumvi wazazi
Vipi requests zimeisha? Yanafunguka haraka au ndio yaleyale?hii katastrofi hii si mchezo
Mkuu tunaendelea kukushukuru kwa kazi ya ziada unayoifanya baadhi ya matokeo mengine yanafunguka na mengine ndio mchezo uleule. Naomba uniwekee matokeo ya IYUNGA TECH. SCHOOL P0112 Natanguliza shukrani halafu nitagonga thanks nyingine.Vipi requests zimeisha? Yanafunguka haraka au ndio yaleyale?
asante sana invisible,yanafunguka haraka ila matokeo ni mabaya sana ndo maana nikasema hii ni katasTrOfi.naomba uniwekee uhuru sec na rajani secVipi requests zimeisha? Yanafunguka haraka au ndio yaleyale?
Mkuu tunaendelea kukushukuru kwa kazi ya ziada unayoifanya baadhi ya matokeo mengine yanafunguka na mengine ndio mchezo uleule. Naomba uniwekee matokeo ya IYUNGA TECH. SCHOOL P0112 Natanguliza shukrani halafu nitagonga thanks nyingine.Vipi requests zimeisha? Yanafunguka haraka au ndio yaleyale?