Matokeo Kidato cha Nne 2013 yatangazwa

Matokeo Kidato cha Nne 2013 yatangazwa

Matokeo tayari yametangazwa na safari hii kumekua na B+ na B plain pia wameweka E katika matokeo hayo pia ufaulu umeongezeka mpaka kufikia zaidi ya nusu ya wanafunzi kufaulu nasjindwa kuapload hapa coz naona server yangu inazingua kidogo nikitulia nitayaweka hapa msiwe na hofu na safari hii tano bora ya kitaifa ni wanawake tupu wanaume mmetuaibisha maana katika overrall kumi bora wanaume ni 3 tu
 
Matokeo yametangazwa na Kaimu Katibu Mtendaji wa NECTA Dr. Charles Msonde hivi punde. Ufaulu umepanda kwa 58%. Vijana ni muda wa kuingia kwenye mtandao wa baraza la mitihani (www.necta.go.tz) na kuvuna kile ulichopanda.

wewe inaonekana ni mgeni huku jf...habari za uzushi na uongo ishia nazo hukohuko fb
 
Matokeo tayari yametangazwa na safari hii kumekua na B+ na B plain pia wameweka E katika matokeo hayo pia ufaulu umeongezeka mpaka kufikia zaidi ya nusu ya wanafunzi kufaulu nasjindwa kuapload hapa coz naona server yangu inazingua kidogo nikitulia nitayaweka hapa msiwe na hofu na safari hii tano bora ya kitaifa ni wanawake tupu wanaume mmetuaibisha maana katika overrall kumi bora wanaume ni 3 tu

embu acha umbea mkuu.
 
we sema umbea halafu uyakute namna hyo kama hujaja kukalia kitu cha nyama sijui mkoje kwan unachobisha hapo ni nini yapo tayari na yameshatangazwa au kama vp nipe namba yako nikutajie una ngapi na sitaki uje kwenye PM njoo hapa hadharani ili siku nyingine mkiambiwa mnatulia
 
hiii tabia ya kukurupuka ni mbaya sana alafu huyu ni mgeni wa mtandao,ameona imeandikwa news bas kaja huku mbiooo,,,poor!
 
Leteni matokeo au link brabra hatutaki, enyi watz tutajua lini kufikisha habari.
 
Wote mliopinga na mliotukana huo ni mtazamo wenu na nauheshimu pia. Kuhusu kufunguka au kutofunguka mimi sio fundi mitambo wa mitandao ya internet. Nilichosema yametangazwa huko si jukumu langu.

Ahsanteni sana.
 
Kazi kweli kweli nawasiwasi na taarifa hii kwa asilimia 100
 
Wote mliopinga na mliotukana huo ni mtazamo wenu na nauheshimu pia. Kuhusu kufunguka au kutofunguka mimi sio fundi mitambo wa mitandao ya internet. Nilichosema yametangazwa huko si jukumu langu.

Ahsanteni sana.

ina maana iyo website imefunguka kwako tu....duh! Labda necta yako iyo mkuu
 
kila mtu anaeza kupost anachotaka na kwa kutumia jina lolote so siaminiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
kule jukwaa la elimu kunamtu aliweka same post ,ila alisema ndio wapo kwenye press conference
 
ni kweli matokeo out na kwa kweli sio kama mwaka jana mwaka huu kuna angalau wtt hawajafail kivile.angalizo hakuna div 5,zero kama kawa.
 
Back
Top Bottom