Siafu na Manga
JF-Expert Member
- Aug 5, 2013
- 2,884
- 8,956
Sasa kuna madaraja A.B.B+.C.D.E Huku kuna point mpaka 45
Hatimaye matokeo ya form four mwaka 2013 yametangazwa huku yakiwa na taswira ya division five...Ufaulu umechakachuliwa ambapo viwango vya ufaulu vimeshushwa!
Mbona sijaona div 5, labda kuhusu ufaulu kweli siyo mzuri haswa katika shule zile maaru kama za KATA, hapa vijana wengi wataishi kuwa waendesha pikipiki tu.
sio 45 anko zimefika hadi point 49... duuuu hii ndio tz bwana mmmmhhhhh majanga afu bado utakuta madogo yanafeli tuu
Matokeo yametangazwa na Kaimu Katibu Mtendaji wa NECTA Dr. Charles Msonde hivi punde.
Ufaulu umepanda kwa 58%.
Vijana ni muda wa kuingia kwenye mtandao wa baraza la mitihani (www.necta.go.tz) na kuvuna kile ulichopanda.
B ya Kiswahili itakuwa ndio imembeba.Wandugu nisaidieni kwa nini hawa waliopata points sawa mmoja yuko Div zero na mwingine yuko division four?
[TABLE="width: 70%"]
[TR]
[TD="width: 13%, bgcolor: transparent"][/TD]P4352/0009
[TD="width: 3%, bgcolor: transparent"][/TD]F
[TD="width: 6%, bgcolor: transparent, colspan: 2"][/TD]44
[TD="width: 3%, bgcolor: transparent"]0[/TD]
[TD="width: 70%, bgcolor: transparent, colspan: 3"]CIV - 'E' HIST - 'F' GEO - 'F' B/KNOWL - 'E' KISW - 'E' ENGL - 'D' BIO - 'F' B/MATH - 'F' [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 13%, bgcolor: transparent"][/TD]P4352/0015
[TD="width: 6%, bgcolor: transparent, colspan: 2"][/TD]F
[TD="width: 8%, bgcolor: transparent, colspan: 3"][/TD]44
[TD="width: 6%, bgcolor: transparent"]IV[/TD]
[TD="width: 63%, bgcolor: transparent"]CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'B' ENGL - 'E' BIO - 'F' B/MATH - 'F' [/TD]
[/TR]
[/TABLE]