chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 20,834
- 26,217
MATOKEO KIDATO CHA 4
Baraza la Mitihani nchini(NECTA) latangaza matokeo ya kidato cha nne kwa mwaka 2016. Wavulana wafaulu kwa 73.26% na Wasichana 67%.
- Feza, St. Francis na Kaizerege zaendelea kutamba kileleni, Dar yaburuza mkia.
Wanafunzi 277,283 (asilimia 70.09) waliofanya mtihani 2016 wafaulu.
Soma Pia Matokeo ya miaka mingine kuanzia 2008
Shule za Dar zaongoza washika mkia matokeo ya kidato cha Nne.
Matokeo yote yapo hapa >> http://41.188.136.77:8080/matokeo/2016/csee/index.html
=====
Mada hii ilisomwa kwenye Jamii Leo ya JamiiForums; Kuona mada nyingine zilizosomwa angalia video hii hapa chini:-
Baraza la Mitihani nchini(NECTA) latangaza matokeo ya kidato cha nne kwa mwaka 2016. Wavulana wafaulu kwa 73.26% na Wasichana 67%.
- Feza, St. Francis na Kaizerege zaendelea kutamba kileleni, Dar yaburuza mkia.
Wanafunzi 277,283 (asilimia 70.09) waliofanya mtihani 2016 wafaulu.
Soma Pia Matokeo ya miaka mingine kuanzia 2008
Matokeo yote yapo hapa >> http://41.188.136.77:8080/matokeo/2016/csee/index.html
=====
Mada hii ilisomwa kwenye Jamii Leo ya JamiiForums; Kuona mada nyingine zilizosomwa angalia video hii hapa chini:-