Betri yenye chaji
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 743
- 642
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si wanashinda instagram na facebook unategemea wafanye nini?Hawa wanafunzi wa Dar mbona wamedunda hivi jamenii khaa
si mdogo wako amefanya pepaHilo link haifunguki mkuu
Na wamevuna walichopanda na mateam ushuzii ya instagram!!Si wanashinda instagram na facebook unategemea wafanye nini?
Badala ya yatoe ajira za walimu kwanza wao wanatoa matokeo.Shule 10 bora hakuna shule ya serikali
Weka matokeo haya mkuuMtoto wa Mchechu amechupa... hongera saaana.
shule za kikatoliki.....wapwan wanao soma ktk hizo shule ni wa kuhesabu. ungewekwa utaratiba wenyeji wapewe vipaumbele ktk hizo shulePwani imeamua
Ndio Mkuusi mdogo wako amefanya pepa
Ngoja waendelee kufatilia maisha ya zari na dimond kwanza wakimaliza watajua nini cha kufanya.Na wamevuna walichopanda na mateam ushuzii ya instagram!!
Kwani Shamsiye ni ya kanisa?Kama kwenye TopTen hakuna shule za Kiislam kuna namna hapo
Ndakichako atumbuliwe
Ndio Mkuu