Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaingia labda Google . Unaandika shule uliyofanya. Watakuletea. Hata ukiandika number ya mtihani na shule watakuletea. Ni simple tu.Nisaidieni,ukitaka kuangalia matokeo ya private candidates unaangaliaje?
Mkuu hizi shule nazo zimegeuka biashara, mafather hawaangalii tena sifa na vigezo za kujiunga seminary, kinachofanyika sasa ni aibu, mwenye mpunga ndo anapata nafasi..!Seminary cku hizi hazifaulishi tena kama zawani
Maua,Uru, St James, USA Seminary......sizikiii tena, What went wrong? ....................................................What went What? What went Wrong
Wakati tunasoma Mazengo Technical Secondary school enzi zile, ulikuwa unawaza hivi "'sijui nitachomoka na ONE ya ngapi!?Sijui dogo atachomoka [emoji45][emoji45]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]ASANTE YESU LINDI NA MTWARA ZIMEPONA
Sure mkuu..hawa wadogo zetu wanashida saana.Wakati tunasoma Mazengo Technical Secondary school enzi zile, ulikuwa unawaza hivi "'sijui nitachomoka na ONE ya ngapi!?
GOD help boys and girls of these days. Mtoto wa form one anaijua na ni member kwenye mitandao yooote ya kijamii!
Mitihani ilidhibitiwa wamebaki wa ukweli!Tusiime inazidi kupotezwa
Mnajifunza kungfu badala ya kusoma[emoji12] [emoji12]Nyie Wagalatia mna namna zenu bana
Mbona shule zetu waislam ni Mikia tu kiila mwaka?
Tusiime inazidi kupotezwa
Great Haya ya wapi? Great Haya wanatoka Kiziba/Kanyigo... Nshomile per se![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Lindi in da house[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]