Matokeo Kidato cha Nne 2016 yatoka, Feza Boys yaongoza!

Matokeo Kidato cha Nne 2016 yatoka, Feza Boys yaongoza!

[emoji310][emoji310][emoji310][emoji310]PATA ADMISSION ZA 2017/2018 KATIKA VYUO BORA NA VYA ADA NAFUU NCHINI CHINA.KWA KOZI ZA MEDICINE NA FOUNDATION COURSES WASILIANA NASI SASA KWA MAELEZO ZAIDI. KIDATOCHA NNE,KIDATO CHA SITA [emoji310][emoji310][emoji310][emoji310]
Wanawasiliana vipi na wewe
 
hao tbl mabenki etc siyo mali ya mtu mmoja bali group of people na taasisi za ndani na nje ya nchi.
ila hawa wauza juisi ndio wazawa wenye kulipa kodi kubwa na uwekezaji mkubwa nchini
Kodi anayolipa airtel peke yake ni ya azam mara 6
 
Sitaki tena kusikia habari za makonda wala dawa nimechoka, tumepoteza mda mwingi sana tumeshindwa kujadili mambo ya msingi kama elimu ya tanzania, vichwa vyote vimegeukia kwenye hoja za kijinga kabisa.

Mh. Ndalichako vipi tathimini yako hukusu kufeli kwa shule za serikali au ndiyo na wewe umejificha kwenye kichaka cha makonda, mimi bado niko na wewe sikuachi.

Mwisho kabisa uliingia kwa mbwembwe mara hakuna kuvaa majoho, mara sayansi ni ladhima n.k. tunaomba majibu kwasababu tuko mwaka 2017 bado miezi michache tu form wafanye paper tena.
 
Sitaki tena kusikia habari za makonda wala dawa nimechoka, tumepoteza mda mwingi sana tumeshindwa kujadili mambo ya msingi kama elimu ya tanzania, vichwa vyote vimegeukia kwenye hoja za kijinga kabisa.

Mh. Ndalichako vipi tathimini yako hukusu kufeli kwa shule za serikali au ndiyo na wewe umejificha kwenye kichaka cha makonda, mimi bado niko na wewe sikuachi.

Mwisho kabisa uliingia kwa mbwembwe mara hakuna kuvaa majoho, mara sayansi ni ladhima n.k. tunaomba majibu kwasababu tuko mwaka 2017 bado miezi michache tu form wafanye paper tena.
Hahhaahhaa, watu wameingia mitini na madawa ya kulevya.


Asee noma kwelikweli
 
Sasa mkuu kwa akili yako feza ada yao ni 8m wewe wa kayumba hata laki 5 haifiki alafu unataka kuja kuwa TO kweliiiii
 
Back
Top Bottom