Hajto
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 5,646
- 5,606
Mbona hao wakawaida sana,Hao ubora wao upo kwa darasa la saba tuTusiime inazidi kupotezwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona hao wakawaida sana,Hao ubora wao upo kwa darasa la saba tuTusiime inazidi kupotezwa
Namsubiria kauli ya mama yetu ndalichako na elimu bureShule 10 bora hakuna shule ya serikali
basi hiyo shule si ya elimu bure.DIV-I = 48; DIV-II = 16; DIV-III = 7; DIV-IV = 1; DIV-0 = 0
Hivi tamisemi si ndio wanao simamia shule za sekondari ambapo muwakilishi wa tamisemi ni local goverment ya sehemu husikaMheshimiwa Makonda naona vijana wako wamekudharaulisha,Pole sana mkuu wetu,Mwambie kamanda Sirro awakamate wakuu wote washule awasweke ndani,
Mkuu kulikuwa hamna haja ya kutoa kejeli zote hizi!Ungeniuliza Kama ni school candidate ama Private candidate! Ni S.0474S. or P ?
Kwanini usiingie web ya Necta?
Kwanini unapenda mtelezo?
Utaweza kweli Kwenda form 5 kwenye masomo kama kuangalia tu matokeo hujui?
Hiyo ni Kilakala, elimu bure.basi hiyo shule si ya elimu bure.
Hivi mkuu kuna kitu gani kinaendelea huko.elimu imeshuka sana huko siku hizi....kwanini???aah kilimanjaro wametuangusha aiseee
Simu yako inatumia android version gani,app hii ni kwa simu zenye Android 4.1( jelly bean) na kuendeleaMkuu hyo app mbona inafail installation kwangu?
Naomba unisaidie matokeo ya huyu mtu ananisumbua mno
S.2345/0035
Naomba unisaidie matokeo ya huyu mtu ananisumbua mno
S.2345/0035