Matokeo Kidato cha Nne 2016 yatoka, Feza Boys yaongoza!

Matokeo Kidato cha Nne 2016 yatoka, Feza Boys yaongoza!

we unataka kupata matokeo yako...?? nitajie shule na namba yako ya mtihani nakutumia sasa hivi hapa hapa jukwaani au hata PM , ni bure sihitaji hata senti tano.Twende kazi.
Naomba niangalizie mkuu kihonda secondary S.1029/0371
 
Ndugu wanabodi, naomba kujitolea kuwapa matokeo yao wale wote ambao huko waliko wanashindwa kuyapata kwa haraka kutoka na mtandao husika wa NECTA kuzidiwa na watumiaji kwa sasa. Mimi nime ya download kabisa hapa . hivyo ni dakika sifuri tu nakupa matokeo yako kisha unajitathmini mwenyewe. Maana mpaka mtandao ukae sawa labda kesho au usiku mnene.
Wadogo zetu msiwaze sana kwani mlio wengi mmefaulu na wale ambao hawajafanikiwa kufaulu wajue kuwa kuna maisha baada ya shule.

Mahitaji muhimu ni : Jina la shule pamoja namba yako ya mtihani >
NB:Matokeo haya wametumia namba za mitihani kutoa matokeo , hivyo usijali kuwa utajulikana jina lako.
nitakutumia PM au hata ukitaka hapa hapa jukwaani.
GHARAMA: NI BURE KABISA. sihitaji hata namba yako ya simu wala e mail.
Karibuni tujuzane matokeo ya kidato cha nne 2016.
Tafadhali ndugu. ..

Kihonda secondary
S.1029/0371
 
Nasemaje anaye taka matokeo m namtumia shule nzima atakayo
Note. Unalusha buku baada ya uduma . wote walio pata uduma kwang wanainyoya....
Saidia wenzio hata bure pale inapobidi mkuu, hii ndio faida ya Forum, maana kuna vitu vingi sana unavipata hapa JF wala hujawahi kutozwa hata shilingi kumi.


Stop being selfish!
 
MIE TOKA JANA KILA NIKIJARIBU KUFUNGUA HAITAKI KUFUNGUKA SIJUI KWANINI
 
What i can do to your bro is to help your how can open it..... Paradox of many people they don't know how to fnd altativ
Know install thl then every thng is there....
 
Mkuu napataje uthibitisho wa ulichoniambia tafadhali
Screenshot_20170201-135001.png
 
Acha tuu hiki kizazi cha Social network huwa wadogo zetu wanakuwa na mambo sana hawashindwi kuomba kupiga snapchat ndani ya examination rum na wakiambiwa watafute "X" kwenye majibu ndo utacheka ufe

Sent from my GT-N7105 using JamiiForums mobile app
Hahaa, kizazi hiki bila hawa madogo kujitambua basi kizazi kitawatambua!!
 
Mheshimiwa Makonda naona vijana wako wamekudharaulisha,Pole sana mkuu wetu,Mwambie kamanda Sirro awakamate wakuu wote washule awasweke ndani,
 
Back
Top Bottom