LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,483
- 3,369
🙁🙁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba niangalizie mkuu kihonda secondary S.1029/0371we unataka kupata matokeo yako...?? nitajie shule na namba yako ya mtihani nakutumia sasa hivi hapa hapa jukwaani au hata PM , ni bure sihitaji hata senti tano.Twende kazi.
Tafadhali ndugu. ..Ndugu wanabodi, naomba kujitolea kuwapa matokeo yao wale wote ambao huko waliko wanashindwa kuyapata kwa haraka kutoka na mtandao husika wa NECTA kuzidiwa na watumiaji kwa sasa. Mimi nime ya download kabisa hapa . hivyo ni dakika sifuri tu nakupa matokeo yako kisha unajitathmini mwenyewe. Maana mpaka mtandao ukae sawa labda kesho au usiku mnene.
Wadogo zetu msiwaze sana kwani mlio wengi mmefaulu na wale ambao hawajafanikiwa kufaulu wajue kuwa kuna maisha baada ya shule.
Mahitaji muhimu ni : Jina la shule pamoja namba yako ya mtihani >
NB:Matokeo haya wametumia namba za mitihani kutoa matokeo , hivyo usijali kuwa utajulikana jina lako.
nitakutumia PM au hata ukitaka hapa hapa jukwaani.
GHARAMA: NI BURE KABISA. sihitaji hata namba yako ya simu wala e mail.
Karibuni tujuzane matokeo ya kidato cha nne 2016.
Saidia wenzio hata bure pale inapobidi mkuu, hii ndio faida ya Forum, maana kuna vitu vingi sana unavipata hapa JF wala hujawahi kutozwa hata shilingi kumi.Nasemaje anaye taka matokeo m namtumia shule nzima atakayo
Note. Unalusha buku baada ya uduma . wote walio pata uduma kwang wanainyoya....
Shule za serikali chalii,hii ni aibu kubwa sana.
Mkuu hyo app mbona inafail installation kwangu?Nayacheki sasa hv kwa app ya n3cta![]()
Naomba unisaidie matokeo ya huyu mtu ananisumbua mnoNayacheki sasa hv kwa app ya n3cta![]()
Hiyo shule wamefungiwa matokeoNaomba unisaidie matokeo ya huyu mtu ananisumbua mno
S.2345/0035
Mkuu napataje uthibitisho wa ulichoniambia tafadhaliHiyo shule wamefungiwa matokeo
Mkuu napataje uthibitisho wa ulichoniambia tafadhali
Duh sawa mkuu
Hahaa, kizazi hiki bila hawa madogo kujitambua basi kizazi kitawatambua!!Acha tuu hiki kizazi cha Social network huwa wadogo zetu wanakuwa na mambo sana hawashindwi kuomba kupiga snapchat ndani ya examination rum na wakiambiwa watafute "X" kwenye majibu ndo utacheka ufe
Sent from my GT-N7105 using JamiiForums mobile app
ndo zilishazoe kushika mkia! doh matokeo yasikie kwa mwenzio unaweza kudata! nashukuru wangu amefaulu aiseengoja tabora na shinyanga zipumue
Wadau msaada wa matokeo ya shule 0474