Ushajibiwa mkuunaomba msaada wa s.3134/014 na s.3135/004
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushajibiwa mkuunaomba msaada wa s.3134/014 na s.3135/004
S3134/0014naomba msaada wa s.3134/014 na s.3135/004
1 ya 17,,biology,mathematics, kiswahili na English ana B,mengine yalobaki amepata Cmkuu niangalizie na hii s0101/225 Azania secondary school
Acha tuu hiki kizazi cha Social network huwa wadogo zetu wanakuwa na mambo sana hawashindwi kuomba kupiga snapchat ndani ya examination rum na wakiambiwa watafute "X" kwenye majibu ndo utacheka ufeAtakuwa katoboa tu, humuamini??
Wanafunzi wote bora wanaotoka feza ni wakristoFeza siyo ya waislam, haina uhusiano na taasisi yoyote ya kiislam Tanzania! Ni ya mwekezaji wa uturuki, ni ya binafsi japo mmiliki wake ni mwislam!
Wauza ice cream, maji, juice, Sabuni na sembe, ndo wamiliki uchumi wa tz, vip kuhusu wa ma benk, kampuni za simu, viwanda vya tbl, tcc, sbl, na migodiHamna ambaye hapendi shule, ila ni ujinga eti kufaulu kuanza kuwapkndawenzako kwa kisingizo cha dini, wakati hao wenzako wanamiliki asilimia 80 ya uchumi wa nchi
.....dah nimependa AVATAR YAKOOOOO my dada ...ngja nije pmHizi shule za kata kufanya vibaya tatizo huwa ni nini hasa?
Wanafunzi?
Waalimu?
Mazingira ( miundombinu)?
Yap mkuu Pwani imeamua.Pwani imeamua
Mkuu halali unawaza matokeo tu'Ningekua' Waziri ningeangalia namna ya kurudisha Ada mashuleni ili zisaidie kuboresha mazingira ya shule.
Zingeteuliwa shule chache tu za bweni. (Sio zile zilizokua vipaji maalum)
Hizo Shule angalau 10-20 kwa Tanzania nzima. Ziwe Maalum kama kina Olympio na Diamond.
Zinaboreshwa mazingira halafu zinatoza ada KUBWA. Kubwa sio Milioni.
300,000-600,000 hivi kwa mwaka. Pesa inayopatikana inagaiwa Ruzuku kwenye zile shule zingine za bure ili angalau kuboresha elimu.
Hali ni mbaya.
Pia shule za Kutwa kwa Dar ni changamoto na huu utandawazi. Watoto kutwa na simu mitandaoni hawana cha maana wanachofanya.
SIMU NA INTERNET CAFE HAZIWASAIDII KIMASOMO, ZINAWAPOTOSHA.
Walimu pia wangepangwa tu kikanda. Kuna maana gani kumpangia mtu Tarime au Kibondo anaamua kuacha kazi wakati anatoka Ruvuma na kuna Shule Nyasa haina Mwalimu?
Si huwa wanapewa Mikoa ya Kuchagua?
Wapeni Wilaya wajaze.
Wilaya za walimu wengi zisiwepo kwenye chaguzi
shule za kikatoliki.....wapwan wanao soma ktk hizo shule ni wa kuhesabu. ungewekwa utaratiba wenyeji wapewe vipaumbele ktk hizo shule
Washukuru hizo shule za kanisa hapo, otherwise ingekuwa anguko
Shule Zetu Za Masjid Ngap Zipo Top Ten?
Thubutuuuu!!!
Na hao wengine matajiri ni wapi?
Huyo Ali Mafuruki amewaajiri wakristo wangapi?
Pwani imeamua
Mkuu hiyo avatar ni wewe ?Sasa ndio ujiulize wewe kwanini huyaoni
Wauza ice cream, maji, juice, Sabuni na sembe, ndo wamiliki uchumi wa tz, vip kuhusu wa ma benk, kampuni za simu, viwanda vya tbl, tcc, sbl, na migodi
P1602/0011Msaada Jaman nahitaj kuangalia matokeo ya dada yangu alikua anarisiti please kwangu imegoma huku number yake ni p1602.0011