Mediocrist
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 1,709
- 981
jaman nsaidied matokeo namba hiyo s.3867
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jaman nsaidied matokeo namba hiyo s.3867
Umewasahau na waislam feza boys imewatoa kimasomasoHongera masista wa St. Aloysius...hii shule ni mpya kabisa..
Hongera Kanisa Katoliki...Shule zenu zimeongoza tena..
Feza boys nayo ni st.?Naona St. Tu ndo zinaongozaga kwann
Uko sahihi mkuu, Kwa idadi ya wanafunzi ktk hizo shule zao, nawapongeza kuliko hata feza BoyzMarian wanatisha
Mkuu nisaidie hizi shule nimejaribu mpaka kichwa kinauma nimeshindwa kua access matokeoNitakuletea Top 100.... Nafikiri 90%ni shule za Kanisa Katoliki..Tumsifu Yesu Kristo
Idadi ya wanafunzi chini ya 40 huwa zinapangwa kivyaoSeminary cku hizi hazifaulishi tena kama zawani
Maua,Uru, St James, USA Seminary......sizikiii tena, What went wrong? ....................................................What went What? What went Wrong
Ww jamaa nimejaribu kufuatilia comments zako inaonekana una chuki za wazi kabisa na watu wenye imani tofauti na yako,bila Shaka ww utakuwa ni wale wakata surualiSasa we una division one unatembelea sijui spacio wenye zero wanasukuma mikebe ya maana, halafu unaanza kujisifia mbele ya wanaume ambao wakiuza site mirror ya mikebe yao tu wananunua spacio unayotembelea.
Sent from my HTC Desire 626GPLUS dual sim using JamiiForums mobile app
Hivi unajua shule za feza ni za shirika gani?Thubutuuuu!!!
Marian wanatisha