Wengi wanaosoma Sheria nowdays ni vilaza grade oneKile ni chuo mkuu matokeo ya jumla sio muhimu.
Wanafunzi wa lawschool hawajitumi kusoma, wametoka vyuo wakiwa watupu unategemea nini... Lawama kibao Kwa walimu ila wengi wa wanafunzi ni vilaza grade one.
[emoji1787][emoji1787]Law School ni chuo cha ajabu!! Mwanafunzi huwa hapewi continuous assessment, anafanya mtihani wa mwisho bila kujua ana alama ngapi kwenye continuous assessment!! Matokeo ya mwisho ndo unaambiwa continuous assessment ulikuwa na grade gani!!
Jamaa yangu amechungulia akaunti yake akakuta amekandwa masomo yote!!
Amepata alichostahili.Wanafunzi wengi hawasomi wala kujituma siku hizi kwa nini wasifeli?Law School ni chuo cha ajabu!! Mwanafunzi huwa hapewi continuous assessment, anafanya mtihani wa mwisho bila kujua ana alama ngapi kwenye continuous assessment!! Matokeo ya mwisho ndo unaambiwa continuous assessment ulikuwa na grade gani!!
Jamaa yangu amechungulia akaunti yake akakuta amekandwa masomo yote!!
[emoji15][emoji1787][emoji1787]Kile ni chuo mkuu matokeo ya jumla sio muhimu.
Wanafunzi wa lawschool hawajitumi kusoma, wametoka vyuo wakiwa watupu unategemea nini... Lawama kibao Kwa walimu ila wengi wa wanafunzi ni vilaza grade one.
Ni wengi tena karibia wote ,pale bora usome full ukiwa ukiwa umeomba ruhusu ile ni zaidi ya Masters kwa level yao haitaki ubabaishaji....Pale unatakiwa usome ukweli .Unataka kutuambia wengi wa wanaojikwaa hapo LS huwa wako "busy" kufanya kazi zao nyingine ?!!![emoji15]
Duh! Kazi ipo!Kile ni chuo mkuu matokeo ya jumla sio muhimu.
Wanafunzi wa lawschool hawajitumi kusoma, wametoka vyuo wakiwa watupu unategemea nini... Lawama kibao Kwa walimu ila wengi wa wanafunzi ni vilaza grade one.
Yaani kichwa kufanya mambo mengi kwa wakat8 mmoja ni hatari sana.Hii nayo ni Hoja mkuu , maan unakuta job unatingw na familia inakutnga sio poA
Ruhusa maofis NI mtiti
Lakn bado elimu ya Bongo NI kukomoana , umemalz Bachelor of law school of law iwe kipengele ni nn zaid
Hakika kusoma hawataki matokeo yakitoka eti wanakamatwa makusudi? Seriously?Hawasomi watoto wa siku hizi I have 3people wametoboa law school,msuli wa pale sio wa kitoto,km umezoea chabo na janja janja usiende law school kasome Mass com hukooo n.k
Yaani kuna mawakili vilaza kwenye soko hadi wana buruzwa na ma layman kwenye mfumo wa sheria, law school wako sawa hakuna upendeleo kwenye kufaulu,maana wakituletea hayo ma mabomu huku mtaani waathirika wakubwa watakua wananchi wa kawaida!!Wengi wanaosoma Sheria nowdays ni vilaza grade one
Kabisaaa dear nna wazee wenzangu wamesoma na wametoboa wanasoma km CPA vileee hawa watoto waliozoea chabo kukariri law school waiache Kuna mmoja dogo tu katoboa yuko serious na shule kinomaaWengi wanaosoma Sheria nowdays ni vilaza grade one