Matokeo Law School Cohort ya 35 yametoka: Sijui matokeo ya jumla yakoje, maana hutoka kimya kimya kila mtu anachungulia akaunti yake tu!!

Mnafanyiwa utapeli tu hapo Law School, huwezi kuniambia kozi ya sheria ni ngumu kuliko Uhandisi au Udaktari wa Binadamu, lakini bado watu wanasomea kazini na wanafaulu vizuri tu.
Kwa ufupi Law School ni chuma ulete iliyochangamka.
-Tatizo ni mtihani inakuwa migumu sana ndiyo maana watu wanafeli
-Medical Council of Tanganyika wanatunga mitihani rahisi ndiyo maana unakuta wanafeli wachache compared to Law school
-hatuzungumzii ugumu wa Sheria huko kwenye vyuo vya digrii, tunazungumzia Law school
 
Mfano mwaka huu, mitihani ya MCT (MEDICAL COUNCIL OF TANGANYIKA) wamefaulu 43%, hii haiwezi kutokea hata kwa NBAA kutoka CPA za kumwaga, licha ya Law School
 
Ndugu kiuhalisia roho mbaya ya mtu mweusi inajidhihirisha wazi hapo Law school, kinachofanyika sio kwamba kweli watu wanashindwa kutoboa kwenye hiyo mitihani, bali kinachofanyika ni kubalance number ya Mawakili katika soko wakihofia kuporomoka kwa thamani ya taaluma yao ikiwa watafurika wengi sokoni.
Kitu ambacho kiuhalisia hakileti tija katika taaluma, nasikia ujinga huo pia ulikuwepo mwingi wakati watu wanatafuta CPA, japo kwa kiasi kikubwa wao wamekwisha toka huko.
 
- hili ulilosema Sina ushahidi nalo
 
Cha ajabu katika Law school wahadhiri wengi sio mawakili,ujinga wa mtu mweusi unajidhihirisha wazi pasi kuacha shaka Katika Uzi huu.

Yaani watu wanaona sifa kundi kubwa la watu kufeli,ndio maana ule utafiti ulibaini kwamba katika race zote dunia waafrika ndo race yenye low IQ kuliko zote.
 
Usijidanganye NBAA bado wananyoosha watu Kama kawa.Utofauti Ni kwamba Sasa hivi watoto wanaotoka chuo(Freshers) Ni wengi na wameshajua pale sio pa mchezo mchezo.Wanapiga kitabu si polepole.
 
Mtu mweusi ni mtu hatari pale law school watu. Wanajisifu ujinga kuwa kuwafelisha watu ndo ujanja.
 
Sio kweli,
Kila taaluma Ina vilaza, sio sheria tu
Inaonekana Pengine ulifeli Law school
BTW mimi Nina CPA
Mimi sio mwanasheria
Ila nimesoma Sheria kama supporting module kwenye degree na mastaz yangu,so ninaujua msuli wa Sheria
Na baba watoto wangu ni mwanasheria,so Nina basic understanding ya law

Ila aliyekwambia mie nilifel law school ni nani?
Sijawahi hudhuria law school
Baba watoto alikwenda mwaka 2020 na alitoboa vizuri tu.
 
Tatizo wanaolaumu hawajawahi kujiunga Lawa School, na wanaokejeli siyo wanasheria
 
Na ninyi ndiyo mnaosumbua. Mkiambiwa changamoto za LST mnaleta ujuaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…