Matokeo mabovu ya elimu Mtwara, serikali msipotafuta ufumbuzi mnatengezeza bomu la baadae

Matokeo mabovu ya elimu Mtwara, serikali msipotafuta ufumbuzi mnatengezeza bomu la baadae

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Ufanyike uchunguzi kwanini watoto wa Mtwara wana poor performance. Jibu likipatikana ifanyiwe mkakati wa kuinua elimu Mtwara. Kama ni kuanzisha madarasa ya Jumamosi nje ya syllabus. Serikali itenge fungu maalum la kuinua elimu Mtwara.

Hali ikiachwa hivi, hii jamii itakua imetengwa sana kimaendeleo. Ninakumbuka Nyerere alifanya mkakati wa kuwapeleka shule wa Irak mkoa wa Arusha enzi hizo. Vijana waliomaliza darasa la saba walipelekwa shule za sekondari za serikali. Wengine walikataa kwenda kwani walikua wameshaoa lakini walihakikishiwa mshahara wa kima cha chini kila mwezi kama allowance. Nyerere hakutaka ile jamii ije itengwe huko mbele.

Jamii ya walioelimika ni rahisi hata kupeleka maendeleo na wakayaendeleza. Watu wasio na elimu ni shida hata kufuata ushauri wa daktari wakiwa wagonjwa. Matokeo yake ugonjwa unachukua muda mrefu kupona na gharama kuongezeka.

Jamii inapokosa elimu ni rahisi kujikinga na matendo ya kihalifu, kwa kushawishiwa au kwa kuongeza kipato. Kwa kifupi kuwa na jamii iliyokosa elimu ni sawa na bomu linaweza kukipuka muda woeste.
 
Byakanwa, kwa kihaya Mambo ya mdomoni, alisikika mlevi mmoja anaitwa mulokozi.
Ndiyo maana ya Hilo jina.
 
Byakanwa, kwa kihaya Mambo ya mdomoni,alisikika mlevi mmoja anaitwa mulokozi.
Ndiyo maana ya Hilo jina.
Hili ni tatizo la kutafutiwa ufumbuzi si kulaumiana. Kama ufumbuzi usipodanyiwa mkakati wa kuwafimia wananchi hapo ndiyo tumlaumu Byakanwa.

Watu wa utafiti jamii wapewe jukumu la kufanya utafiti.
 
Kwani enzi za Mkapa akiwa Rais ilikuwaje...
Ntwala kweli serikali isogee pale..
 
Ufanyike uchunguzi kwanini watoto wa Mtwara wana poor performance. Jibu likipatikana ifanyiwe mkakati wa kuinua elimu Mtwara. Kama ni kuanzisha madarasa ya Jumamosi nje ya syllabus. Serikali itenge fungu maalum la kuinua elimu Mtwara.

Hali ikiachwa hivi, hii jamii itakua imetengwa sana kimaendeleo. Ninakumbuka Nyerere alifanya mkakati wa kuwapeleka shule wa Irak mkoa wa Arusha enzi hizo. Vijana waliomaliza darasa la saba walipelekwa shule za sekondari za serikali. Wengine walikataa kwenda kwani walikua wamesha oa lakini walihakikishiwa mshahara wa kima cha chini kila mwezi kama allowance. Nyerere hakutaka ile jamii ije itengwe huko mbele.

Jamii ya walioelimika ni rahisi hata kupeleka maendeleo na wakayaendeleza. Watu wasio na elimu ni shida hata kufuata ushauri wa daktari wakiwa wagonjwa. Matokeo yake ugonjwa unachukua muda mrefu kupona na gharama kuongezeka.
Hayo matokeo yanayosambazwa ya Mtwara Ni ya mwaka 2016 siyo ya 2020. Fuatilia jedwali la NECTA uone. Mtwara kwa Sasa inafanya vizuri Sana. Kidato Cha 6 iliongoza, halmashauri kwa mfano, Manispaa ya Mtwara kwenye matokeo haya imeingia top ten kwa form 2 & form 4. Hizo zingine ni siasa tu.

Gelasius Byakanwa wenyewe wakimuita GB, Yuko vizuri sana ktk kuhimiza elimu. Alishawahi kufanikiwa ktk kampeni ya shule ni Choo baada ya kugundua uwepo wa Choo duni mashuleni. Na Choo chá mfano kikajengwa Kambarage primary Shangani, nendeni mkapest. Teamwork ni kubwa Sana ukiongeza uwepo wa Ma DC wake kama Dustan Dominic Kyobya (DDK), DED Col Mwaigobeko, DED Mwenyeheri Erica Ephafras Yegela, Malkia wa nguvu (kwa kuwataja wachache)
Kwa ujumla Mtwara hii ya Sasa Ni ya viwango vingine.

MC
 
Hayo matokeo yanayosambazwa ya Mtwara Ni ya mwaka 2016 siyo ya 2020. Fuatilia jedwali la necta uone. Mtwara kwa Sasa inafanya vizuri Sana. Kidato Cha 6 iliongoza. halmashauri kwa mfano, Manispaa ya Mtwara kwenye matokeo haya imeingia top ten kwa form 2 & form 4. Hizo zingine ni siasa tu. Gelasius Byakanwa wenyewe wakimuita GB, Yuko vizuri sana ktk kuhimiza elimu. Alishawahi kufanikiwa ktk kampeni ya shule ni Choo baada ya kugundua uwepo wa Choo duni mashuleni. Na Choo chá mfano kikajengwa kambarage primary shangani, nendeni mkapest. Teamwork Ni kubwa Sana ukiongeza uwepo wa Ma DC wake kama Dustan Dominic Kyobaya (T2020DDK), DED Col Mwaigobeko, DED Mwenyeheri Erica Ephafras Yegela, Malkia wa nguvu ( kwa kuwataja wachache)
Kwa ujumla Mtwara hii ya Sasa Ni yaviwango vingine.

MC
Umenena vizuri sana, Mtwara kwa sasa ipo vizuri sana, hao wanaosambaza matokeo ya miaka ya nyuma Wana nia ovu na Mtwara, ombi langu kwa mh Rc Byakanwa atoke hadharani kukanusha hii habari maana imesambaa sana
 
Umenena vizuri sana, Mtwara kwa sasa ipo vizuri sana, hao wanaosambaza matokeo ya miaka ya nyuma Wana nia ovu na Mtwara, ombi langu kwa mh Rc Byakanwa atoke hadharani kukanusha hii habari maana imesambaa sana
Ni sahihi. Ila ngoja Kwanza wajinga waongezeke ili wapewe majibu kwa pamoja
 
Ufanyike uchunguzi kwanini watoto wa Mtwara wana poor performance. Jibu likipatikana ifanyiwe mkakati wa kuinua elimu Mtwara. Kama ni kuanzisha madarasa ya Jumamosi nje ya syllabus. Serikali itenge fungu maalum la kuinua elimu Mtwara.

Hali ikiachwa hivi, hii jamii itakua imetengwa sana kimaendeleo. Ninakumbuka Nyerere alifanya mkakati wa kuwapeleka shule wa Irak mkoa wa Arusha enzi hizo. Vijana waliomaliza darasa la saba walipelekwa shule za sekondari za serikali. Wengine walikataa kwenda kwani walikua wameshaoa lakini walihakikishiwa mshahara wa kima cha chini kila mwezi kama allowance. Nyerere hakutaka ile jamii ije itengwe huko mbele.

Jamii ya walioelimika ni rahisi hata kupeleka maendeleo na wakayaendeleza. Watu wasio na elimu ni shida hata kufuata ushauri wa daktari wakiwa wagonjwa. Matokeo yake ugonjwa unachukua muda mrefu kupona na gharama kuongezeka.
Usikurupuke! No research no right to speak!

Haya ndo matokeo halisi ya shule zilizozagaa mitandaoni kuwa zimekuwa za mwisho katika mitihani ya kidato cha nne 2020.

1. S 3110 Chingungwe ina div I 1, II 1, III 8, IV 27, 0 2. Na imeshika nafasi ya 21/33 na 669/986.

2. S 3727 Malocho divI 0, II 1, III 0, IV 24, 0 24. Imeshika nafasi ya 109/109 kimkoa na 3894/3956 kitaifa.

3. S 4469 Nywelo ina div I 1, II 2, III 5, IV 13, 0 6. Imeshika nafasi ya 32/79 kimkoa na 711/986 kitaifa. (Tanga)

4. S 3718 Naputa ina div I 1, II 4, III 7, IV 37 0 3. Imeshika nafasi ya 65/109 kimkoa na 2505/3956 kitaifa.

5. S 4100 Salama ina div I 0, II 1, III 3, IV 26, 0 15. Imeshika nafasi ya 108/109 kimkoa na 3784/3956 kitaifa.

6. S 3704 Chanikanguo ina div I 1, II 1, III 2, IV 31, 0 13. Imeshika nafasi ya 104/109 kimkoa na 3563/3956 kitaifa.

7. S 3434 Mtiniko ina div I 1, II 4, III 4, IV 52, 0 9. Imeshika nafasi ya 91/109 kimkoa na 3250/3956 kitaifa.

8. S 1435 Michiga ina div I 0, II 5, III 12, IV 27, 0 8. Imeshika nafasi ya 51/109 kimkoa na 2123/3956 kitaifa.

9. S 1655 Msimbati ina div I 0, II 2, III 5, IV 33, 0 9. Imeshika nafasi ya 99/109 kimkoa na 3500/3956 kitaifa.

10. S 4888 Lukokoda s/s ina div I 0, II 1, III 5, IV 15, 0 2. Imeshika nafasi ya 27/33 kimkoa na 737/986 kitaifa.
 
Umenena vizuri sana, Mtwara kwa sasa ipo vizuri sana, hao wanaosambaza matokeo ya miaka ya nyuma Wana nia ovu na Mtwara, ombi langu kwa mh Rc Byakanwa atoke hadharani kukanusha hii habari maana imesambaa sana
Kwani kwenye matokeo ya sasa hivi Ntwara ni ya ngapi kitaifa?.
 
Kwani kwenye matokeo ya sasa hivi Ntwara ni ya ngapi kitaifa?.
Kwani wewe siyo raia? Ingia necta utaona. Tulichomjibu hapa nikutokana na maelezo yake kwamba mtwara inamatokeo mabovu akirejelea matokeo ya 2016 yanayosambaa mitandaoni bila kujua kwamba matokeo yaliyotangazwa Jana Ni ya 2020 ambapo Mtwara imefanya vizuri ukiwakilishwa na Manispaa ambayo imeingia top ten kwa F2&4.
Fuatilia matokeo ya Mtwara utaona ilivyotusua tokea Abbey, Rahaleo, Shangani, mpaka Mtwara Sisters
 
Kwani wewe siyo raia? Ingia necta utaona. Tulichomjibu hapa nikutokana na maelezo yake kwamba mtwara inamatokeo mabovu akirejelea matokeo ya 2016 yanayosambaa mitandaoni bila kujua kwamba matokeo yaliyotangazwa Jana Ni ya 2020 ambapo Mtwara imefanya vizuri ukiwakilishwa na Manispaa ambayo imeingia top ten kwa F2&4.
Fuatilia matokeo ya Mtwara utaona ilivyotusua tokea Abbey, Rahaleo, Shangani, mpaka Mtwara Sisters
Oh!!!, Hongera!!, Ntwara kucheleeee.
 
Back
Top Bottom