Matokeo mabovu ya elimu Mtwara, serikali msipotafuta ufumbuzi mnatengezeza bomu la baadae

Matokeo mabovu ya elimu Mtwara, serikali msipotafuta ufumbuzi mnatengezeza bomu la baadae

Naona siasa imeingizwa kwenye performance ya matokeo ya mitihani.

Badala ya kutafuta kupata ufafanuzi wanamwambia jamaa akanushe, halafu naye amekanusha kweli.

Kwani haiwezekani taarifa ikawa overlooked lakini kumbe ni sahihi?!

Inasikitisha.
 
Tuwe tunafatilia mambo kabla ya kupost jamani. Mtwara imefanya vyema kwenye matokeo ya 2020.
Sasa hizi habari za kutunga za nini humu.

Moderator ondoa uzi huu umekosa hadhi ya kuwa Jf.
 
Wanajaribu kupata mafuta kwa mgongo wa chupa kutaka kujiridhisha Eti siku hizi wanafanya vizuri,

Ambapo kwa mwerevu ukweli ukiwa wazi ni rahisi watu wakahamasika kutafuta ufumbuzi wa njia gani zifanyika ili hamasa ya kusoma iongezeke na kuonekana kwenye matokeo.
 
Wewe mtoto akiwa Mdogo tu darasa la kwanza sijui la pili anachezwa ngoma [emoji108][emoji108]

Akijavunja ungo anachezwa mwali anaanza kuwmbiwa mambo ya kikubwa [emoji108][emoji108]
 
Khaaaa!!!,mada si inazungumzia kuhusu taaluma mbovu Mtwara,Sasa hbr ya kufanya vizuri kitandani inakujaje hapa?

Mkuu nianze kukufundisha kusoma namna ya kuelewa hizi nyuzi ? mbona hii comment yangu ni reply ya comment ya bwana mangifera indica ? Mkuu sikunyingine anza kuelewa kwanza au sio ? usijue kabla hujajua au nakosea ndugu yangu ?
 
Hili ni tatizo la kutafutiwa ufumbuzi si kulaumiana. Kama ufumbuzi usipodanyiwa mkakati wa kuwafimia wananchi hapo ndiyo tumlaumu Byakanwa.

Watu wa utafiti jamii wapewe jukumu la kufanya utafiti.
sidhani kama hata huo muda wanao waliowengi na ukijumlisha na wanasiasa mmhhh sijui labda
 
Wewe mtoto akiwa Mdogo tu darasa la kwanza sijui la pili anachezwa ngoma [emoji108][emoji108]

Akijavunja ungo anachezwa mwali anaanza kuwmbiwa mambo ya kikubwa [emoji108][emoji108]
maeneo mengi ya pwani watu ni wavivu kwahiyo kuna factor nyingi nyuma ya pazia
 
pia mwitikio wa waalimu kwenda sehemu za kusini kufundisha pia ni changamoto sana maana mmhh unajiuliza kwann hawapendi kuja mtwara au klusini kwa ujumla huelewi
 
pia mwitikio wa waalimu kwenda sehemu za kusini kufundisha pia ni changamoto sana maana mmhh unajiuliza kwann hawapendi kuja mtwara au klusini kwa ujumla huelewi
Japo sijui unaandika ukiwa wapi, ila hilo jambo kwa sasa ni historia tu na halipo. Siyo walimu tu Bali watumishi wanavutiwa sana kwenda kusini. Miundombinu ishakamilika. Kuna gari mpaka la saa 8 Mtwara Dar, ni full luxury buses. gari za mbeya Mtwara, songea mtwara, tanga Mtwara, Dodoma Mtwara. Sasa waogope Kuna nn?
Kuhusu walimu Mtwara Kuna vyuo 3 vya walimu ( SAUT, Mtwara TTC kawaida, Mtwara TTC Ufundi) na Cha nne Nachingwea TTC, Cha tano Matogolo TTC, Songea. Kwa Hawa kusoma kusini wakishapangwa kusini hawakatai kwani maZingira wanakuwa tayari wameyafahamu vizuri. hivyo shida ya walimu inatoka wapi
 
Naona siasa imeingizwa kwenye performance ya matokeo ya mitihani.

Badala ya kutafuta kupata ufafanuzi wanamwambia jamaa akanushe, halafu naye amekanusha kweli.

Kwani haiwezekani taarifa ikawa overlooked lakini kumbe ni sahihi?!

Inasikitisha.
Hoja ilikuwa ni Mtwara kutoa shule 9 Za mwisho kitaifa wakati haipo kwenye kumbi Za mwisho ila Wapo kwenye top ten. So, nihalali kuambiwa wakanushe na ndiyo maana wamekanusha. Sasa hapo siasa imeingiaje man! Unachuki binafsi na Wana Mtwara. Nenda kaombe kitalu Cha gas uwekeze
 
Wanajaribu kupata mafuta kwa mgongo wa chupa kutaka kujiridhisha Eti siku hizi wanafanya vizuri,

Ambapo kwa mwerevu ukweli ukiwa wazi ni rahisi watu wakahamasika kutafuta ufumbuzi wa njia gani zifanyika ili hamasa ya kusoma iongezeke na kuonekana kwenye matokeo.
Hamasa ishatolewa Sana ndo maana wanafanya vizuri mpaka top ten ya Taifa. Taja halmashauri yako na shule ya kijijini kwenu tuone inashindana na ipi Mtwara. Aidha, nakuomba fuatilia matokeo kwenye jedwali la necta uelewe vizuri. Mtwara haipo kwenye kumi za mwishooooo
 
pia mwitikio wa waalimu kwenda sehemu za kusini kufundisha pia ni changamoto sana maana mmhh unajiuliza kwann hawapendi kuja mtwara au klusini kwa ujumla huelewi
Tatizo la walimu kukataa mwenda kusini likijulikana litafutiwe ufumbuzi.
sidhani kama hata huo muda wanao waliowengi na ukijumlisha na wanasiasa mmhhh sijui labda
kule mwalimu ukimuadhibu mtoto, usiku unaipata fresh. Katika hili ninadhani kuwaelimisha watoto wao wenyewe na kuwapa ajira ya uwalimu huko itasaidia.
 
Kuna mdau hapo juu amejibu kwa hoja kabisa kwamba matokeo yanayojadiliwa sio ya mwaka huu bali ya 2016 na kwamba kwa sasa Mtwara ipo vizuri kiasi cha halmashauri yake moja kuwa top ten ya kidato cha 2&4.
Cha ajabu mnaendelea na uzi kama vile hamuoni hizo hoja.
 
Back
Top Bottom