Matokeo vyuoni ni dissaster



hope ni 1st year apa aru,,kozi gani mkuu?
 
Mnisaidie mie jamani nadhani matokeo yanayotolewa sasa ni kwa muhula mmoja tu bado wa pili, sasa nikiambiwa mtu amedisco kwa semester moja nasita kidogo kuelewa maana mkusanyiko wa masomo na overall GPA bado!!!
Mkuu ni kwamba Mzumbe unaweza disco kwa semister 1 coz ukifel kuanzia masomo 4 imekula kwako
 
Me cjaelewa,ina maana mzumbe wanafunzi huwa wanadisco kwa matokeo ya semister ya kwanza au utaratibu wao ni tofauti na wa vyuo kama udsm na sua?

kuna masomo matano katika kila kozi isipokuwa sheria na education, katika masoma matano ukipata supp masomo manne yaani ukipata chini ya 50% wewe ni kwa heri ya kuonana au kama semister ya kwanza ukapata supp 2, na semister ya pili ukapata tena 2 jumla 4 pia unadisco. Hapo suala ni kupata supp 4 katika mwaka mmoja wa masomo. Sijajua kama utaratibu huu umebadilika lakini mpaka tuliomaliza mwaka jana ulikuwa unatumika.
 
Madogo someni!kipindi chenu kina mambo mengi sana
 
Mnisaidie mie jamani nadhani matokeo yanayotolewa sasa ni kwa muhula mmoja tu bado wa pili, sasa nikiambiwa mtu amedisco kwa semester moja nasita kidogo kuelewa maana mkusanyiko wa masomo na overall GPA bado!!!

mzumbe haudisco kwa kuangalia G.P.A tu, ukipata supp 4 katika mwaka mmoja wa masomo, hvyo kama semista ya kwanz kuna masomo matano yanayosomwa hvyo ukilamba supp 4 huna haja kuendelea semista nyingne kwani unakuwa na supp 4 tayari,wewe unarudishwa maskani tena hata haucheleweshi na jina lako linawekwa pale NAH(sijui wamebadil jina) kuwa ume disco.
 

hakuna kitu kama hicho mzumbe ,we mtu anasoma masomo matano then yote anapata supp harafu aruhusiwe kwenda mbele, kila chuo na utaratibu wake na ndio maana kuna chuo kina Main campus mwanza wao huwa hawadisco, utarudia miaka wewe mpaka utaamua ukajipumzishe home kama unaendelea kufeli.
 

Wako kibiashara
 

nimesoma UOA(UNIVERSITY OF ARUSHA).
 
mkuu kwani udsm uwezi uka dsco kwa matokeo ya semister moja?...let say first year first semister huwa hawa dsco?...

yah,udsm huwa hakuna kudisco kwenye semister ya kwanza,mayb itokee mwanafunzi husika alidakwa na vibuti au hakufanya baadhi ya mitihani,hapo ndo itapelekea yeye kudisco bt ktk hali ya kawaida kwa udsm kudisco ni hadi semister ya pili ukiwa na gpa less than 2.
 
Well said Alumni Perry

 
Last edited by a moderator:
MBONA HATA hao Wahadhiri wapo kwenye mgomo wa kufundisha,watu wapo bize na kuaanda tafiti wakaziuze ulaya
 
mkuu vyuo vingi ka ARDHI..UDSM nk wanacalculate gpa wa wanaevaluate uwezo wa wanafunzi per year na si semester..so ni utaratibu wa kawaida na ndio common zaidi kwny vyuo vingi tz

Kwa hiyo mkuu unataka kuniambia UDSM unaweza ukafeli masomo yote (kama ni 7; unafeli yote 7) na bado ukaendelea na semester ya pili? is it??
 
Politics ishaingilia uendeshaji wa vyuo. I assure you if you were lucky to put glance on students scripts in universities, I believe you would cry. It is hard to believe but the common saying "waangalieni angalieni tu muwapitishe hivyo hivyo, vinginevyo wata disco wengi" is dominating. I do believe if lecturers should stick on principles and be strict, half of students in universities would have discontinued from studies. It sounds strange to hear that UDSM alone discontinue almost 500-800 students per year, but this can exceed if no political intervention.
Lack of matriculation exams can be one of the causes to poor students placement and enrollment in universities. May be we should raise voice to authorities (TCU) to re-think on bringing the Matriculation exam into place. At least it can help (my presupposition)
 

ndo maana mnajifanya mnaakili sana kumbe vilaza tu inatakiwa waangalie na sup pia sio gpa tu nadhan udsm mkiwekewa sup mtakwisha wote na pale coet ndo kabisaa ikifuatiwa na wale wanaovaa tshirt nyeusi zimeandikwa hr managerz hahahaha aka udbs
 
Kwa hiyo mkuu unataka kuniambia UDSM unaweza ukafeli masomo yote (kama ni 7; unafeli yote 7) na bado ukaendelea na semester ya pili? is it??

yaah unapeta tu hahaha vilaza hawa ndo wanajiita wasomi!!!! wakati vyuo wanavyoviita vya kata ukipata sup nne kwa semester unafunga vilago.tuheshimiane jamani
 

nawapongeza mzumbe hicho ndicho kipimo kizuri kwa mwanafunzi sio mpaka usubiri mwaka uishe ndo ujue kama unaendelea au huendelei mzumbe oyeeee
 
ndo maana mnajifanya mnaakili sana kumbe vilaza tu inatakiwa waangalie na sup pia sio gpa tu nadhan udsm mkiwekewa sup mtakwisha wote na pale coet ndo kabisaa ikifuatiwa na wale wanaovaa tshirt nyeusi zimeandikwa hr managerz hahahaha aka udbs

yaelekea ulikua na hamu sana ya kuvaa hzo tshirt nyeuc ila kutokana na kuchemsha form 6,ukaishia kwenda kusoma ualimu wa grade A...mzumbe wana utaratibu wao,saut wana utaratibu wao na udsm nao wana utaratibu wao..
 
vijana acheni kukariri elimu bora haipatikani kwenye jina kubwa bali ni jinsi gani ww utaitafuta hiyo elimu bora, hata ukisoma chini ya mti utafanikiwa tuu uwapo una malengo. Wewe kisa upo cjui chuo gani chenye jina halafu usihudhurie lectures or seminars halafu ukifeli unadai oooh cie elimu yetu ngumu tunakamatwa,,that is what u have score my dear usijidanganye bwana. kiukweli hii elimu yetu cjui mzumbe cjuii udsm mtadisco tuuu kama hamtajua kilichowapeleka huko. Vijana amkeni na mtambue wajibu wenu la sivyo mtaishia kulia huku kwenye mitandao ya kijamii na mwisho wa siku ile kwenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…