Matokeo vyuoni ni dissaster


hahahaha ndo maana nikakwambia tuheshimiane mkuu hata ukinitukana haita saidia na hunijui sikujui ila acha majigambo na ungenijua wala usingedhubutu kuandika hizo pumba zako. NAKUSAMEHE KWA VILE HUJAKUA UKIKUA UTAACHA!!!
 
hahahaha ndo maana nikakwambia tuheshimiane mkuu hata ukinitukana haita saidia na hunijui sikujui ila acha majigambo na ungenijua wala usingedhubutu kuandika hizo pumba zako. NAKUSAMEHE KWA VILE HUJAKUA UKIKUA UTAACHA!!!

huna lolote zaidi ya kuwa mwalimu wa nursery..
 

well said mkuu nadhani umeyasoma mawazo yangu
 

we acha hizo,ina maana hata ukifeli vipindi vyote unaendelea tu au ndo unajipa moyo???
 
Kwa hiyo mkuu unataka kuniambia UDSM unaweza ukafeli masomo yote (kama ni 7; unafeli yote 7) na bado ukaendelea na semester ya pili? is it??

swali zuri!!!,hawa jamaa wanajipa moyo tu!!!
 
hujakua wewe mimi sio level yako.upo udsm mwaka wa ngapi na course gani?? Nakuhitaji pm kama hutojali??

kama usingekua level yangu,unakimbilia PM kufanyaje?afu me huwa sibishani na walimu wa UPE..
 
kama usingekua level yangu,unakimbilia PM kufanyaje?afu me huwa sibishani na walimu wa UPE..kaa mbali na mie we msengerema.

kelele za nini kijana njoo pm na ujibu hayo maswali yangu.sio maneno ni action nataka nikuonyeshe walimu wa upe tunavyofanya kazi
 
dawa yako inachemka kijana utaingia king tu.hata uandishi wako unaonekana sio mwanafunzi wa udsm.mwanafunzi anayejielewa hawezi andika uchafu kama wako

sibishani na watu kama wewe..huniwezi kwa lolote.
 
time will tell ndugu

hakuna cha time wala nin,kwanza unatakiwa uone aibu,kwa mtu mzima kama wewe kuzozana na katoto kama mie..jiheshmu nawe utaheshimiwa,vinginevyo utabaki kulalama kila cku kuwa watoto wa siku hizi hawana adabu,kumbe we mwenyewe ndio hujiheshimu.
 


Asante
 

Mzee embu fafanua mbona hauweleweki kwa mzumbe ni first year au second year??
 
Tatizo wasomi mnataka kuwa wengi wakati mimi baba yenu serikali sina pakuwaajiri.
 

Kawaida ya MU 1st year lazima utikiswe ukikaa sawa mambo swadakta.
 
Mkuu ina maana wewe chuo ulichosoma (na assume umefika chuo) semester ya kwanza kama ulikuwa na masomo let say 8, ukifeli 7 ilikuwa unaendelea tu?

Kah hiki chuo cha namna hiyo ni burudani sup zote hzo bado unabaki chuo?!
 

Wazo zuri, but i think labda itatokea baadae sana.
 
Wanafunzi wa sasa hivi ni balaa tupu, hawasomi kabisa.Heri ya wanafunzi walosoma shule za kata wanajitahidi kuliko hao waliosoma shule za English Medium. Nasema haya kwa ushahidi kabisa maana nipo katika eneo hili la ualimu.
 

mfumo huko hivii. Wanachoangalia ni kwamba corse work na ue unazaidi za 40/100 iwapo moja wapo ukateleza una sup hko kigezo cha kingine kila somo average yake iwe kuanzia 40/100 kuendelea yaan C and above. Na tatu gpa inakuwa calculated in every semister ya mwaka mzima inakuwa ni average gpa. Na lingine unaruhusiwa kuwa na sup hadi 3 kwa semister sio kwa mwaka, inamaanisha unaruhusiwa kukomboa masomo ma 3 tu kwa mwaka kama tu ukapata sup ya 4 au 4 kwa kipindi chochote you are disqualify. Ni mfumo wa chuo na kila chuo unamfumo wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…