Nimekukubali Mkuu uchambuzi makini sana huu!Mimi siyo shabiki wa simba wala yanga lakini ninauona ukweli unaoendelea kati ya simba na yanga;
KWA YANGA
Kiukweli timu inafanya kazi ktk mazingira magumu sana ya kuyumba kiuchumi tangia mwenyekiti wao tajiri aingie ktk misuko suko ya kumalizwa kiuchumi.
Licha ya hali hiyo, wachezaji na kocha wamekuwa wakijituma kuhakikisha wanafanya vizuri hata kama wakishinda njaa,,, basi wananitahidi wanapata ushindi na kwa huo uzalendo nawapongeza. Ukiangalia mechi ya jana yanga walivyokuwa wakicheza wanaanguka anguka kama mateso waliyopata kwenye ile ligi ya sport pesa basi utaamini kuwa wanafanya kazi ktk hali ngumu sana, pengne mshahara mdogo, usiopatkana kwa wakati, chakula dhaifu kisicho patikana kwa wakati nk. Ukiangalia Jana makambo, ngasa, veissa salum na wengne vgingi wa timu kuwaangusha tu ilikuwa kugusa, so itoshe tu kusema inatosha na kazi tuiachie management ili kuboresha hali ya kiuchumi na pia washukuliwe TFF kwa kuwapa timu nyingi mchezee nyumbani vinginevyo nafasi ya alliance ingekuwa ya jangwani.
KWA SIMBA
Nianze kusema tu kwamba mwenzako akinyolewa zako tia tia maji.... Naendelea...
Kwanza niwaombe tu mzidi kuomba mungu MO D awe salama na asisumbuliwe ktk mambo yake kwakuwa akikwama tu basi mjue mtakuwa mmeanguka na kifo chenu kitakuwa cha kishindo.
Ikumbukwe mmefanya usajili wa wachezaji wageni wasio na uzalendo kwa timu kuanzia wawa, kagere, salamba, chama, salamba, na hao mnaotamba nao.. Mkiyumba tu mjue hao wote watayumbia pengine na si ajabu wakatimkia chamazi au jangwani, kama watakuwa wameshakuwa sawa kiuchumi.. Maana mnaishi maisha ya visasi kama vile ligi yote ni simba na yanga tu mnasahau kuwa ligi ni ya vilabu 20 na kila kilabu ina haki ya kuchukua ubingwa.
Na niwashauri tu mjipe moyo kwa sasa licha ya utajiri mlionao lakini mpunguze kuwaza kuchukua ushindi msimu huu kwakuwa mkizidi kuwaza ushindi msimu huu mjue mtazidi kuchuma dhambi za bure kufanya mfanyayo kuhakikisha eti yanga itoke sare , azam itoke sare na nyie mshinde tu.
Mwisho nimalize kwa kusema kuwa "Hapa duniani ushindi ni pesa na pesa ndo ushindi "
Mungu bariki Mpira wa Tanzania ila tumechoka usimba na uyanga maana unaua mpira wa timu ya taifa.
Saiz mmeanza kutafuta visababu vya kimbumbumbu,mwanzo mlisema sijui hawatoki leo eti unachange gia anganiMbeya city na Azam hawatakuacha salama
Soooooo.... SomaaaaaaaaaUshindi wa mazabe na bahati, kwa hisani ya mbeleko ya refa
Sikubaliani nawe kwamba pesa ndio ushindi,si kila nyakati hiwa hivyoMimi siyo shabiki wa simba wala yanga lakini ninauona ukweli unaoendelea kati ya simba na yanga;
KWA YANGA
Kiukweli timu inafanya kazi ktk mazingira magumu sana ya kuyumba kiuchumi tangia mwenyekiti wao tajiri aingie ktk misuko suko ya kumalizwa kiuchumi.
Licha ya hali hiyo, wachezaji na kocha wamekuwa wakijituma kuhakikisha wanafanya vizuri hata kama wakishinda njaa,,, basi wananitahidi wanapata ushindi na kwa huo uzalendo nawapongeza. Ukiangalia mechi ya jana yanga walivyokuwa wakicheza wanaanguka anguka kama mateso waliyopata kwenye ile ligi ya sport pesa basi utaamini kuwa wanafanya kazi ktk hali ngumu sana, pengne mshahara mdogo, usiopatkana kwa wakati, chakula dhaifu kisicho patikana kwa wakati nk. Ukiangalia Jana makambo, ngasa, veissa salum na wengne vgingi wa timu kuwaangusha tu ilikuwa kugusa, so itoshe tu kusema inatosha na kazi tuiachie management ili kuboresha hali ya kiuchumi na pia washukuliwe TFF kwa kuwapa timu nyingi mchezee nyumbani vinginevyo nafasi ya alliance ingekuwa ya jangwani.
KWA SIMBA
Nianze kusema tu kwamba mwenzako akinyolewa zako tia tia maji.... Naendelea...
Kwanza niwaombe tu mzidi kuomba mungu MO D awe salama na asisumbuliwe ktk mambo yake kwakuwa akikwama tu basi mjue mtakuwa mmeanguka na kifo chenu kitakuwa cha kishindo.
Ikumbukwe mmefanya usajili wa wachezaji wageni wasio na uzalendo kwa timu kuanzia wawa, kagere, salamba, chama, salamba, na hao mnaotamba nao.. Mkiyumba tu mjue hao wote watayumbia pengine na si ajabu wakatimkia chamazi au jangwani, kama watakuwa wameshakuwa sawa kiuchumi.. Maana mnaishi maisha ya visasi kama vile ligi yote ni simba na yanga tu mnasahau kuwa ligi ni ya vilabu 20 na kila kilabu ina haki ya kuchukua ubingwa.
Na niwashauri tu mjipe moyo kwa sasa licha ya utajiri mlionao lakini mpunguze kuwaza kuchukua ushindi msimu huu kwakuwa mkizidi kuwaza ushindi msimu huu mjue mtazidi kuchuma dhambi za bure kufanya mfanyayo kuhakikisha eti yanga itoke sare , azam itoke sare na nyie mshinde tu.
Mwisho nimalize kwa kusema kuwa "Hapa duniani ushindi ni pesa na pesa ndo ushindi "
Mungu bariki Mpira wa Tanzania ila tumechoka usimba na uyanga maana unaua mpira wa timu ya taifa.
Senario Kama ya Leicester city hutokea Mara chache Sana kwenye football ila uwekezaji wa pesa Ni kila kitu. Kumbuka mwaka juzi Monaco alikuwa bingwa was ufaransa lakini sasahivi anapambana asifushuke daraja, PSG na pesa zake kabaki anatambaSikubaliani nawe kwamba pesa ndio ushindi,si kila nyakati hiwa hivyo
Leicester city amechukua ubingwa mbele ya wenye mapesa mengi pale England
Sasa hv man u,man city na chelsea pamoja na kuwa na mapesa yao lkb wanachezea mara kwa mara
Madrid anahustle Spain na mapesa yake
PSG na mapesa yake lkn kila siku anaishia robo fainali uefa
By the way mtu akikusoma btn the lines anajua kuwa ww ni shabiki wa msimbazi police center, usihofu blaza
Haka kapost bwuaanaMkuu ume overreact ndo Kwanza mechi 13 Kati ya 38 Sasa gep la points 5 unaogopa nin? Ligi bado mbichi Sana na ni makosa kuanza kujihusisha Yanga na ubingwa
Jumamosi uko na Mbeya city
Unamjua eliud Ambokile? Anakusubiri
Unajuwa refa wa mikia jana aliwapa dakika 100.na mkashindwaUshindi wa mazabe na bahati, kwa hisani ya mbeleko ya refa
Mkuu una moyo wa chuma, bado unaamini ulichoanzisha hapa jukwaaniJumamosi uko na Mbeya city
Unamjua eliud Ambokile? Anakusubiri
Simba anaviporo vingi na ndio tofauti iliyopo Hadi Sasa Simba akishinda viporo tofauti inabaki ile ile ya points 5Mkuu una moyo wa chuma, bado unaamini ulichoanzisha hapa jukwaani
Tangu uanzishe haka kauzi, mikia mmeshapoteza game ngapi na Yanga amepoteza ngapi?
Kati hizo timu mbili nani anayetegemea upepo kupata matokeo?
Swali ni kwamba atashinda hizo mechi?Simba anaviporo vingi na ndio tofauti iliyopo Hadi Sasa Simba akishinda viporo tofauti inabaki ile ile ya points 5
Simba siku zote viporo anavika Bila shida hapo usiwe na ShakaSwali ni kwamba atashinda hizo mechi?
Maana Mashujaa ni timu ya daraja la kwanza imewapiga
Mna uhakika gani mtawafunga timu za ligi kuu kama biashara na nyingine, ili hivo viporo visichache?
BACK TO THE POINT
Timu gani inayoshinda kwa upepo kati ile ambayo haijafungwa tangu uanzishe Uzi na ile ambayo imepoteza mechi tatu tangu uanzishe Uzi? Jibu swali mkuu
Mechi za Shirikisho zilishachezwa na timu nyingine, wewe kwako ilikuwa ni kiporo.....Simba siku zote viporo anavika Bila shida hapo usiwe na Shaka
Yanga Bado anashinda kwa mazabe kwa kikosi kile Cha kupitisha bakuli