Matokeo wanayopata Yanga kwa sasa ni upepo tu

Very soon mta experience the difference
Ila msije tu mkashikiana mapanga pale jangwani
Mkuu jaribu kuheshimu professional za watu. Hata Roma haikujengwa siku moja. Matokeo unayoyaona sasa ni kazi nzuri ya Camarade Mwinyi Zahera. Ameondoa U father kwenye timu kiasi kwamba kila mchezaji anajiona anaweza. Kabla ya ya ujio wa Zahera uliwaona watoto kama Paul Godfrey, Gwamaka Edward, Shaibu (Ninja) na Kabwili (kutaja wachache) wakiwa na viwango walivyonavyo kipindi hiki? Soon Timu fulani yenye kuua vipaji vya wachezaji itaanza kuwataka. Na wakienda huko hawatacheza kama walivyo Yanga sasa.
 
Acha umavi wa matakoni kwako wewe na uroho uliotukuka, kama upepo na nyie so muuite huko kwenu ili mshinde...
Eti timu inakikosi kibaya marudufu, basi hichohicho kikosi kibaya ndo kinachoshinda kila mechi na hutoweza kuamini pindi tutakapobeba kombe.. Mpambane tu na hali yenu..
Sie ni mdogomdogo wala hatutumii nguvuu..
PESA HATUNA,
TUNANJAA,
OMBAOMBA,
KAMBINI TUNAKULAGA MAKANDE,
Ila tunashinda...
 
Sisi tunasonga mbele tu.
 
Soon utaelewa ninachosema
 
Mpira huwa haubahatishi ili ushinde lazima ucheze mpira kama ingekuwa ni kubahatisha timu nyingi zingebahatisha ndiyo maana mpira unachezwa hazarani unashuhudiwa na watu zaidi ya 50,000 simba chezeni mpira na mjue jinsi yakutupia ktk nyavu na siyo kupiga usawa wa goli linakuwa goli kuna ufundi wa kufunga
 
 
Nimeipenda Yanga jinsi inavyo cheza kwa mipango mulua ya kupata ushindi.
Hakika Yanga wanaelekea kuchukua kombe la TPL.
Kocha Zahera ni kocha mwenye mbinu nyingi za ushindi.
Simba bakini na ushindi wa matumaini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…