JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
yule mtoto mjapanan ni football brain ni Viungo wachache sana wanauwezo kama yule dogoHii game city kapigiwa mpira mwingi sana, Endo, mac Allister waliwapoteza kina debruyne na Rodri Huyo Diaz awee
Habari zako nyingi unazopost ndio huwekwa kwenye chanel ya JF kule Whatsapp. Unaupiga mwingi na jamaa zako wanajua kukubebaMchezo kati ya Liverpool dhidi ya Manchester City umemalizika kwa sare ya 1-1 kwenye Uwanja wa Anfield, matokeo ambayo yanaipa faifa Arsenal kubaki kileleni katika Premier League kwa faida ya magoli mengi ya kufunga
Magoli yaliyoamua mechi ya leo Machi 10, 2024 yamefungwa na John Stones kwa City na Alexis Mac Allister kwa Liverpool.
Baada ya matokeo hayo, Arsenal inaongoza ikiwa na pointi 64 sawa na Liverpool wakati Man City ipo nafasi ya tatu kwa kuwa na alama 63, timu zote zikisaliwa na michezo 10 kukamilisha msimu wa 2023/24 katika EPL.
Kwann? Bado ana game na arsenalBado karata yangu ya ubingwa anayo Man City
Hizi ndo mambo napenda kuona city na liver wakiuana wenyewe kwa wenyeweMchezo kati ya Liverpool dhidi ya Manchester City umemalizika kwa sare ya 1-1 kwenye Uwanja wa Anfield, matokeo ambayo yanaipa faifa Arsenal kubaki kileleni katika Premier League kwa faida ya magoli mengi ya kufunga
Magoli yaliyoamua mechi ya leo Machi 10, 2024 yamefungwa na John Stones kwa City na Alexis Mac Allister kwa Liverpool.
Baada ya matokeo hayo, Arsenal inaongoza ikiwa na pointi 64 sawa na Liverpool wakati Man City ipo nafasi ya tatu kwa kuwa na alama 63, timu zote zikisaliwa na michezo 10 kukamilisha msimu wa 2023/24 katika EPL.
hayatabiriki wapi mzee acha kuficha ficha city akika juu pale Ni ngumu sana kumsusha tuacha tu unafiki jamaa anaenda tena kubeba ubigwaKweli mpira tumezidiwa leo,ila bado sioni kama City tutapoteza ubingwa,na huu ndio uzuri wa Epl mambo hayatabiriki
Liver akikaa juu nae ni mgumu sana maana ni mshindani haswahayatabiriki wapi mzee acha kuficha ficha city akika juu pale Ni ngumu sana kumsusha tuacha tu unafiki jamaa anaenda tena kubeba ubigwa
mh wasindikazaji FC hamna lolote una game na spurs tena ugenini una game na city tena ugenini una game na united ugenin mzee hizi game ndio zitakazo kutoa kwenye mbio za ubigwaTembo hashuki mtini.
Narudia, sijaona team ya kututoa pale juu. Hakuna.mh wasindikazaji FC hamna lolote una game na spurs tena ugenini una game na city tena ugenini una game na united ugenin mzee hizi game ndio zitakazo kutoa kwenye mbio za ubigwa
Hapa umepuyanga mkuumh wasindikazaji FC hamna lolote una game na spurs tena ugenini una game na city tena ugenini una game na united ugenin mzee hizi game ndio zitakazo kutoa kwenye mbio za ubigwa
Nimepuyanga Nin mzee humfungi united pale old trafford umesahau last season kakufanyeje na unakumbuka mara ya mwisho liniHapa umepuyanga mkuu