Wakipekee
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 6,194
- 10,711
Ndugu itakua hua huangalii game za LiverpoolYule luis diaz mechi ya leo inaweza kuwa alitumia madawa ya kuongeza nguvu maana sio kwa kasi ile
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu itakua hua huangalii game za LiverpoolYule luis diaz mechi ya leo inaweza kuwa alitumia madawa ya kuongeza nguvu maana sio kwa kasi ile
next week city anakutoa tutarudi apa jumamosiNarudia, sijaona team ya kututoa pale juu. Hakuna.
Kweli sio kila game yake huwa nacheki ila hii ya leo huyo jamaa alikuwa na kasi sanaNdugu itakua hua huangalii game za Liverpool
Save hiyo replynext week city anakutoa tutarudi apa jumamosi
tuombe uzimaSave hiyo reply
Arsenal kushinda OT sahau ilo mzee rekodi zinambeba UnitedArsenal ana mechi ngumu tati chelsea Emirates pale,man UTD OT,na mancity Etihad!
Nampa maximum point 4 kati ya tisa!!yaani Arsenal anafungwa na man city ,anashinda Moja kati ya Chelsea au man UTD halafu Moja ana droo!!
Chukua soda hapo nitalipa. Huyu tutakuja kumto...mb pale OT kwa hiyo ataishia kiwa topufooUSIJE IAMINI ASENO HATA SIKU MOJA
kama unabet Bingwa Wa Msimu huu Weka Either Liverpool au Man City.
Kwakweli nikifaa cha siku zijazo ktk tasnia ya mpira, jana nimejifunza ktk mechi ya jana Mpira sio lelemama ni uwekezaji wa hali ya juu sana na matayarisho sio ya waganga bali ni miundo mbinu na kuwajenga wachezaji kuelewa majikumu yao ni nini uwanjani na nnje ya uwanja.yule mtoto mjapanan ni football brain ni Viungo wachache sana wanauwezo kama yule dogo
Asee yule mcolombia ni mtu na nusuNdugu itakua hua huangalii game za Liverpool