Matokeo ya CO mwaka wa pili yashikiliwa NACTE Tanzania nzima

Ni sawa na kusema bruda aitwe padre kwa sababu anachapa kazi vizuri. Au mchanganya zege aitwe engineer kwa sababu anachapa kazi sana. Wengi wanaomfananisha CO na MD, mara nyingi ni CO wenyewe kwa sababu hawajui MD kasoma nini.
Unatoa maelezo ya kueleweka ila naona ma CO wanakaza shingo.
 
Mada ilikuwa kufutwa kwa matokeo lakini hoja zilizojadiliwa ni Nani ni Nani Kati ya afisa tabibu na daktari dah! Nchi ngumu hii hatari...
 
Mada ilikuwa kufutwa kwa matokeo lakini hoja zilizojadiliwa ni Nani ni Nani Kati ya afisa tabibu na daktari dah! Nchi ngumu hii hatari...

[emoji38][emoji38][emoji38]....mada imerukwa kabisaa
 
Mitihani haijavujishwa na vyuo kwakuwa kwa level 5&6 mitihani na marking scheme hailetwi vyuoni isipokuwa level 4.
Tayari Wizara kwa maelekezo ya Nacte wameshakaa vikao vyao na wametoa taarifa ya kurudiwa kwa mitihani kuanzia January 2022 wakati wa mitihani ya supplementaries ikiendelea.
 
Vilaza bila kuiba paper hawatoboi, hawa ndo wanakuja kutusumbua wanaprescribe ampiclox asubuhi mpaka jioni hamna dawa nyingine wanajua
 
unaelewa unachoandika lakini ? mi sikuelewi bwana mganga
Drsn kuna wanao elewa mwalimu na wasio elewa! ni kawaida!!!..... si unaona MD wanaelewa somo hakuna wa kujibu hii!! inajitosheleza......
 
Hii kada ilikuwa inaheshimika sana zamani lakini siku hizi magumashi anajipenyeza kabisa na kumaliza tena MD kabisa wakati zamani ukisoma PCB tu usipokaa vizuri unakuwa mwehu.
Mimi ni mhenga. Tukiwa pale KHS mwenzetu mmoja alitaka kuhifadhi kile kitabu cha Biology kilichoandikwa na Vines and Reeds. Matokeo yake akili zilifyatuka akawa chizi kabisa. Hili ni kweli tupu na Mungu anisaidie.
 
Mimi ni mhenga. Tukiwa pale KHS mwenzetu mmoja alitaka kuhifadhi kile kitabu cha Biology kilichoandikwa na Vines and Reeds. Matokeo yake akili zilifyatuka akawa chizi kabisa. Hili ni kweli tupu na Mungu anisaidie.
Mkate volume 1 and two sii mchezo. Siku hizi vijana wa madesa na biological science, too simplified wanaenda muhimbili na wanatoboa😀😀😀
 
MD=general practitioner...hana tofaut na CO ..GP kaz yake kuandika referral kwenda kwa specialist.... kama MD unataka respect au kucompete na CO au kujifanya bora... kasome specialization...Over
You killed it
 
Basi ndo hivi hivi walikuwaga wanafanya kuuza watumwa!!! ukionekana unaakili sana kwenye Milki ya mfalme wanakupangia kukukamata ukauzwee!!

Damu hii ya umimi haija ishaga!! na wala siyo kwamba Africa ni maskini km wanavyo fikiiri wengi, ila roho za kwa nini ni nyingi mnooo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…